Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Katika mahojiano na BBC Leo asubuhi, waziri mkuu wa Kenya amesema serikali ya umoja wa kitaifa siyo serikali iliyopatikana kidemokrasia. Amesema Ni serikali ya dharura inayotokana na kushindwa kwa demokrasia ya kweli na udanganyifu katika Uchaguzi. Kwamba Uchaguzi wa haki na huru ukifanyika ni lazima apatikane mshindi na msindwa kihalali. Siyo demokrasia vyama vyenye sera zinazopingana kuendesha serikali pamoja