Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 859
- 1,012
Inauma sana kiongozi.
Yaani mtu anacheza na maisha yetu hivi hivi! Alafu wanazidi kusifu na kuabudu. Labda tu nikuulize kitu, ivi unaweza ukamtafuta mwizi wakati hakuna aliyeibiwa?. Leo hii wanafanya uhakiki ili kugundua wezi wa korosho za wakulima kwani Ulisikia siku moja mkulima analalamika kuwa ameibiwa korosho zake?? Naomba unijibu haraka iwezekanavyo
Sent using Jamii Forums mobile app