#COVID19 BBC na Corona: Kenya tayari ina deni la $ 1.5 bilion za Marekani, Tanzania haina deni lolote hadi sasa

BBC Dira ya Dunia imefanya tathmini ya mikopo waliyopewa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki ili kukabiliana na janga la Corona ikiwemo uhifadhi na usafirishaji salama wa chanjo.

BBC imegundua kuwa Kenya na Rwanda ndio zimepewa mikopo mikubwa na nchi wahisani na hivyo kuwaongezea kwa kiasi kikubwa deni la taifa.

Kwa mujibu wa BBC hadi sasa Tanzania ndio nchi pekee isiyodaiwa mkopo wa Corona popote pale duniani.

Source: BBC Dira ya Dunia

Mungu ni mwema wakati wote!

Hivi mkopo sio deni?? "Serikali ya Tanzania imepata mkopo wa Trillion 1.2 kwa ajili ya kupambana na corona."
 
BBC Dira ya Dunia imefanya tathmini ya mikopo waliyopewa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki ili kukabiliana na janga la Corona ikiwemo uhifadhi na usafirishaji salama wa chanjo.

BBC imegundua kuwa Kenya na Rwanda ndio zimepewa mikopo mikubwa na nchi wahisani na hivyo kuwaongezea kwa kiasi kikubwa deni la taifa.

Kwa mujibu wa BBC hadi sasa Tanzania ndio nchi pekee isiyodaiwa mkopo wa Corona popote pale duniani.

Source: BBC Dira ya Dunia

Mungu ni mwema wakati wote!
Takwimu zetu tunazijua wenyewe
 
Twambie watu wangapi tulizika usiku na watu wangapi Kenya ilizika usiku ili tulinganishe thamani yake vizuri.
Katika hao waliozikwa usiku yupo ndugu yako hata mmoja alizikwa miongoni mwao...??
Kama hayupo basi tambua hy kuzikana usiku yawezekana unaisema ww mwenyewe.
Binafsi hmn ndugu yang au mtu wng wa karb alizikwa usiku..
 
Na hii J&J walioleta tumechanja laki 3. Na kama walitukopesha basi iliyobaki tunarudisha maana vijana walimwambia mama 'tunachanjwi'.
 
BBC Dira ya Dunia imefanya tathmini ya mikopo waliyopewa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki ili kukabiliana na janga la Corona ikiwemo uhifadhi na usafirishaji salama wa chanjo.

BBC imegundua kuwa Kenya na Rwanda ndio zimepewa mikopo mikubwa na nchi wahisani na hivyo kuwaongezea kwa kiasi kikubwa deni la taifa.

Kwa mujibu wa BBC hadi sasa Tanzania ndio nchi pekee isiyodaiwa mkopo wa Corona popote pale duniani.

Source: BBC Dira ya Dunia

Mungu ni mwema wakati wote!
Hiyo mikopo ya corona ni msaada wa kiuchumi wenye masharti nafuu,Tzn tumechelewa Sana kuuupata ndio maana wenzetu wamepewa mara mbili mbili kwa sababu ni nafuu kuliko kukopa kwenye benki za kibiashara.
 
Back
Top Bottom