sasa media zinatuchanganya. maana PJ wa clouz alikuwa anasoma kwenye gazeti moja kuwa nao wamegundua kuwa Dr Uli hayuko sauzi bali yuko ujerumani, eti kule sauz ndege ilipita tu kisha ikaelekea ujerumani. sasa huyu mhariri wa gazeti hili na hao BBC nani anaongea ukweli? Kama toka afike huko kwa mujibu wa BBC anapumulia mashine basi itakuwa kama nyerere maana nae ilikuwa ivo ivo. Please media tunaomba msitumix mix kwenye isue sensitive kama hii inayohusu maisha ya mtu.