Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
kwa uweza wa jina kuu lipitalo majina yote nakemea roho ya mauti, ishindwe kwa jina la yesu! tuna imani yesu u mkuu bwana, nakuomba sasa tenda muujiza wako kwa ndugu yetu huyu, anakwenda kuamka sasa, mapafu na figo zinawekwa mpya! oooh jesus, your doing it! isee, jesus! jesus! jesus! yes yes! dot it for us our lord! nguvu za giza za watawala wa dunia zinakwenda kushindwa sasa, ooh! karaboooo sarabaine &*(&(((*&&*( jesus! asante yesu kwa kunisikia!!!!!!