BBC: Dr. Ulimboka yuko ICU (yuko kwenye koma) anasaidiwa na mashine

huyu hata aishie tu huko india arudishwe hapa tumzike kama tunavyowazika wengine wanaokufa kwa mgomo wake....hana maana kabisa ulimboka...na sidhani kama katika maisha yake atakuja afanye kitendo cha kipumbav kama icho....kule kutolewa bikra ya 0713, kungófolewa kucha na meno laivu na kichapo kile ni fundisho kwake, kama hakuwahi kufunzwa na mamaye basi ulimwengu umemfunza....tunaongea hivi lakini kuna watu tumepoteza ndugu zetu kwasababu ya mgomo huu huu, sasa na yeye si aende tu akawaunge mkono ndugu zetu ambao wameshatangulia kwa kafara ya mgogoro kati ya serikali na hawa walevi madoctor? kwani kama madoctor wanagombana victim si ndugu zetu.....wenyewe wanawatoa kafara ndugu zetu ili serikali iwape wanachotaka, hawana tofauti na watoa kafara wowote wale duniani.....hata akifa huyu mimi nitaona kawaida tu, wala sitotoa hata tone la chozi.
 
Kwa ishue kama ya dockta Ulimomboka mbona hata mimi ningechukua soku 1 tu kuwa na suspects wangu kolokoloni??

Docta anayo namba yake ya cm....ambayo alimpigia Abel...then cheki contacts zoote za abel alizowasiliana siku docta anakamatwa...ya muhimu ni kuunganisha ile ya mwisho, around docta alipokamatwa..... then Unganisha ile cm na mawasiliano yote ya cku nzima, nikiwa na mamlaka ile kesho yake tu...wooote wangekuwa central

Haujataka kufikiri....tumia MATRIX tu bro!!!!

Problem ni whether our registration system is such sufficient one, that hakuna mtu anayeweza kuweka fake name. I know pia wakati mtu ukipiga simu, kuna certain registration code (as I hear) ya simu husika, ambayo inakua attached. Sasa kwa mtu ambaye ameamua, and the fact that nyumbani mtu unaweza ukanunua simu at any time, ni rahisi sana kukwepa kumbu kumbu. Mimi nakumbuka nilivyofanyiwa registration, kishkaji sana. Lakini huku kwa wenzetu... aah wapi.. so hapo ndio tatizo linaanzia. Wenzetu wameacha siasa wamepiga maendeleo... Sisi, hata assuming kwamba sio state wanahusika, technology ya Polisi ndigo sana!
 
huyu hata aishie tu huko india arudishwe hapa tumzike kama tunavyowazika wengine wanaokufa kwa mgomo wake....hana maana kabisa ulimboka...na sidhani kama katika maisha yake atakuja afanye kitendo cha kipumbav kama icho....kule kutolewa bikra ya 0713, kungófolewa kucha na meno laivu na kichapo kile ni fundisho kwake, kama hakuwahi kufunzwa na mamaye basi ulimwengu umemfunza....tunaongea hivi lakini kuna watu tumepoteza ndugu zetu kwasababu ya mgomo huu huu, sasa na yeye si aende tu akawaunge mkono ndugu zetu ambao wameshatangulia kwa kafara ya mgogoro kati ya serikali na hawa walevi madoctor? kwani kama madoctor wanagombana victim si ndugu zetu.....wenyewe wanawatoa kafara ndugu zetu ili serikali iwape wanachotaka, hawana tofauti na watoa kafara wowote wale duniani.....hata akifa huyu mimi nitaona kawaida tu, wala sitotoa hata tone la chozi.

inaonekana hufahamu vitu vingi, huu mgomo sio wa Ulimboka huu ni mgomo wa madaktari! hata wakati hakuna mgomo kuna ndugu zetu wanakufa kwa kukosa huduma inayo stahili.
 
huyu hata aishie tu huko india arudishwe hapa tumzike kama tunavyowazika wengine wanaokufa kwa mgomo wake....hana maana kabisa ulimboka...na sidhani kama katika maisha yake atakuja afanye kitendo cha kipumbav kama icho....kule kutolewa bikra ya 0713, kungófolewa kucha na meno laivu na kichapo kile ni fundisho kwake, kama hakuwahi kufunzwa na mamaye basi ulimwengu umemfunza....tunaongea hivi lakini kuna watu tumepoteza ndugu zetu kwasababu ya mgomo huu huu, sasa na yeye si aende tu akawaunge mkono ndugu zetu ambao wameshatangulia kwa kafara ya mgogoro kati ya serikali na hawa walevi madoctor? kwani kama madoctor wanagombana victim si ndugu zetu.....wenyewe wanawatoa kafara ndugu zetu ili serikali iwape wanachotaka, hawana tofauti na watoa kafara wowote wale duniani.....hata akifa huyu mimi nitaona kawaida tu, wala sitotoa hata tone la chozi.

Bahati nzuri wewe si Mungu! Wewe ni mmoja kati ya wateja wa wanasiasa, mmetekwa, mmekubali akili ndogo iongoze akili kubwa. Nyie ndio mnaokimbilia kutatua tatizo bila kujua kiini cha tatizo husika. Ndio maana tupo hivi tulivyo. Naunga mkono mgomo wa madaktari kwa kuwa ndugu zangu wengi wamekufa kwa kukosa huduma za afya kijijini, wengine wamekufa wakijifungua kwa sababu hakukuwa na gloves! Wengine wamekufa kwa malaria kwa sababu hospitalini hakukuwa na dawa za malaria, wengine wamekufa kwa kushindwa kufika hospitali kwa wakati kwa sababu ipo umbali wa km 60 miundombinu mibovu kafia njiani.....ni wengi ni wengi ni wengi hata bila mgomo wanakufa! Nani katufikisha hapa?

Mwenyezi Mungu amponye Dr. Ulimboka haraka ili arudi kuungana na wenzie ktk kutetea uboreshwaji wa huduma za afya nchini!
 
........Ni kweli kwamba yeye si mtumishi wa Serikali, hivyohakustahili kuwa sehemu ya majadiliano haya. Kulikuwa na rai ya kutaka asiwepo,lakini nilisema wamuache maadam Madaktari wanamuamini kuwa anaweza kuwasemeavizuri zaidi kuliko wao wenyewewalioajiriwa na Serikali.' [/FONT][/COLOR]
[/QUOTE]

Hayo maneno ndiyo yanayothibitisha masahibu yaliyompata Dr. Uli yalipangwa! Walitaka kumuua kwa sababu kwao amekuwa mwiba, anawazindua wajinga ili wajitambue, kwao amekuwa kiherehere as if pilipili usiyoila yakuwashiani? Walikasirishwa na mtu asiyekuwa mtumishi wa serikali kuisumbua serikali! Kumbe hiyo inaonyesha uzalendo wake wa kweli, kwamba taaluma yake ilimsuta kuona vifo vya watu ambavyo vingeweza kuzuilika vikitokea. Hata maslahi yangeboreshwa yeye yasingemsaidia ila aliamini yangesaidia madaktari wenzie kufanya kazi kwa ufanisi hivyo kuokoa watz wengi. Maskini, hilo wauaji halikuwaingia akilini! kwao alikuwa kero.

Mwenyezi Mungu mponye Dr. Ulimboka!
 
Alichosema na anachofanya kamanda Kova ni cha kisheria zaidi na haikitegemei ametumwa na nani. Jeshi la polisi lipo kikatiba na lina taratibu zake na kwa kawaida si kila wakati linahitaji kuelekezwa nini cha kufanya. Ndio maana leo unaweza kuwa kiongozi likakulinda na kesho ukawa mhalifu likakutia nguvuni. Tulitakie jeshi hili utendaji mwema na lijiepushe na udini, uanaharakati:flypig: na itikadi za kisiasa.
 
“Mh. Mbowe, kwanza tukio la Ulimboka sio mfano mzuri sana kwa sababu hakuna mwenye ushahidi wa serikali kuhusika kumteka na kumpiga Dk. Ulimboka," alisema Pinda akijibu swali la Mbowe.

Kioja cha serikali dhaifu. Kama hakuna mwenye ushahidi, Rais Kikwete aliyataka wapi aliposema serikali haikuhusika wakati hakuna uchunguzi wowote uliofanyika?
 
Sijawahi kuongea lolote kuhusu Dr Ulimboka ingawa nafuatilia habari hii. Natoa pole zangu kwa Dr kwa maumivu aliyonayo na familia yake kwa usumbufu walioupata.

Huu mgogoro wa madaktari wala haukupaswa kufika hapa. Honestly, umekuwa mishandled somehow. Nikiuliza swali tu, ktk bajeti ya mwaka huu, imeshindikana nini kama hatua za dharura kununua baadhi ya vifaa wanavyotaka madaktari, mf CT scan hata kwenye referral hospitals au Xrays hospital zote za Mkoa ziwepo? Mbona hata km serikali haitaki kuwapa ujiko madaktari si inaweza tu ku hijack agenda zao kirahisi?

Speech ya June ya Rais angesema tumeongeza salaries kiasi hiki na vifaa tumenunua au tunapanga kununua kiasi hiki, then anawasuta kwa wananchi. Hiko nalo ni gumu kumshauri Rais au waziri husika? Huu mgomo sio fair kwa serikali, madaktari wala wananchi. Imagine mwanamke na tumbo lake anaenda na hakuna wa kumzalisha.

Don't we have people who can think jamani? Kabisa kabisa pande zote za mgogoro hayo ndiyo tunayoyawaza? Ndo tumefika mwisho wa kufikiria? Ndiyo basi yani, hatuna short wala long term strategies? Kubadili sheria hakusaidii wala kuwabana madaktari kisheria hakusaidii, nimeshawahi kutubiwa na Dr asiye na morale, usiombe.

Siamini kama Rais anaamua mambo mwenyewe, washauri wake mnamsaidiaje? Can't u think outside the box? Mbona hili jambo si gumu kama linavyowekwa? Hamjui hata dynamics za group la madaktari? Hamjui hata kubuni some quick wins to solve this issue. What a shame!

Wish u a quick recovery, Dr Ulimboka.
 
nakumbuka wakati niko nchi fulani nilichati na mtu akaniripoti abuse then next baada ya wiki nikaitwa police ila walinieleza tu watu wengine wako sensitive na niwe makini kwani wameretreave chat history na huyo aliyeniripoti hawakuona tatizo sema yeye hakuelewa lugha
 
Wewe mbona ueleweki kila muda unakuja na habari za kushtua auminiki jinsi unavyoleta habari inawezekana unaongeza na yako, jana tumeambiwa anaendelea vizuri na figo zake zimeanza kufanya kazi.

Wengine wanasema Dr Ulimboka yupo Ujerumani.

kAKA HII YOTE NI KAZI YA USALAMA WA TAIFA.KUTOA TAARIFA ZA KUKANGANYA,TAARIFA ZA KUGOMA NA KURUDI KAZINI MWISHO WA SIKU MADAKTARI WATAGAWANYIKA KAZI YAOITAKUA IMEKWISHA
 
Kwa ishue kama ya dockta Ulimomboka mbona hata mimi ningechukua soku 1 tu kuwa na suspects wangu kolokoloni??

Docta anayo namba yake ya cm....ambayo alimpigia Abel...then cheki contacts zoote za abel alizowasiliana siku docta anakamatwa...ya muhimu ni kuunganisha ile ya mwisho, around docta alipokamatwa..... then Unganisha ile cm na mawasiliano yote ya cku nzima, nikiwa na mamlaka ile kesho yake tu...wooote wangekuwa central

Haujataka kufikiri....tumia MATRIX tu bro!!!!
Nakubaliana na wewe uko sawa
 
Hizo nilizokuwekea rangi nyekundu ndio nini? fafanua.
zomba unanifurahisha sana unavyowaumbua hawa watu wasiojua hata lugha yao....

Kuna siku ulirusha thread ya Nyelele....majamaa yakadakia na kusema sio "Nyelele" ni "Nyerere!!"....nilicheka sana na

kushangaa kwa nini ktk hilo jina huwa hawakosei kutamka hata ukiwaamsha saa tisa ya usiku...lol
 
zomba unanifurahisha sana unavyowaambua hawa watu wasiojua hata lugha yao....

Kuna siku ulirusha thread ya Nyelele....majamaa yakadakia na kusema sio "Nyelele" ni "Nyerere!!"....nilicheka sana na

kushangaa kwa nini ktk hilo jina huwa hawakosei kutamka hata ukiwaamsha saa tisa ya usiku...lol

Uliona eeh! hiyo ilikuwa ni kuwaonesha kuwa wawache kusudi zao za kutuharibia lugha yetu tamu ya Kiswahili. Utafikiri kuwa wanakosea lakini la hasha, huwa wanafanya makusudi kabisa kukiharibu na kukitoa Kiswahili kwenye asili yake, wao wanafikiri wanatangeneza hawajui kuwa wanaharibu.
 
Back
Top Bottom