Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,438
Hii ni baada ya timu hiyo kupokea kipigo cha mbwa koko kwenye mechi ya Jumamosi ugenini kwa Eintracht Frankfut ambako walitandikwa bao 5 -1.
Je, ni nani atapewa kazi ya kukinoa kikosi hiki?
hana loloteKama nawaona Arsenal wanavyomuwahi huyu kocha.
Hao wanajitambua, si Arsenali na Unai.View attachment 1253357
Hii ni baada ya timu hiyo kupokea kipigo cha mbwa koko kwenye mechi ya Jumamosi ugenini kwa Eintracht Frankfut ambako walitandikwa bao 5 -1.
Je, ni nani atapewa kazi ya kukinoa kikosi hiki?