Bayern Munich yamtimua kocha Niko Kovac

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,377
217,438
Niko Kovac's time as manager of FC Bayern Munich has come to an end. ( 1350 X 1080 ).jpg


Hii ni baada ya timu hiyo kupokea kipigo cha mbwa koko kwenye mechi ya Jumamosi ugenini kwa Eintracht Frankfut ambako walitandikwa bao 5 -1.

Je, ni nani atapewa kazi ya kukinoa kikosi hiki?
 
Back
Top Bottom