malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,778
- 2,703
Neno la ki terminology la bawasiri kwa maana hat silielewi hilo nitakusaidiaje sasaHabari wadau kuna ndugu yangu ana Bawasiri anahitaji kujua gharama za Operesheni yake madawa ya akiasiri kaulizia 80,000.
Upasuaji Hospiata beigani.
Usiamishe uzi.
Habari wadau kuna ndugu yangu ana Bawasiri anahitaji kujua gharama za Operesheni yake madawa ya akiasiri kaulizia 80,000.
Upasuaji Hospiata beigani.
Usifikie kwenda hospital, mimi nimepona hata mwezi haujaisha , nilienda hospital nikapewa yale madawa ya kuinsert, yakanishinda jinsi ya kuyaweka,Habari wadau kuna ndugu yangu ana Bawasiri anahitaji kujua gharama za Operesheni yake madawa ya akiasiri kaulizia 80,000.
Upasuaji Hospiata beigani.
Uliugua Kwa muda gani.Usifikie kwenda hospital, mimi nimepona hata mwezi haujaisha , nilienda hospital nikapewa yale madawa ya kuinsert, yakanishinda jinsi ya kuyaweka,
nikampigia mama yangu na kumueleza ugonjwa nilio nao,eeh nikashangaaa alivyonijibu simpo tu, nunua glyceline paka, ile yenya maleb lebo ya blue, nikaanza kupaka asubuhi na jioni, bawasili ikasinyaaa na ikaisha.ila ugonjwa huu una tabu jamani, kasheshe maumivu ni makali mnno, kuelezea daktarin nayo ni shida kama ndo unakutoketea kwa mara ya kwanza, yaani utapata stress mpka basi.
WEEK TATU, NILIZIONA KAMA MIAKA MIWILI,KUKAA SHIDA, KULALA SHIDA, SEMA ILIKUWA HAIJAWA KUBWA SANAUliugua Kwa muda gani.
Anatakiwa atibu kwa Tiba lishe coz baada ya operation wengi hili tatizo hurudi tena huku likiwa na hali mbaya zaidi kuliko ya mwanzo na hii ni kutokana na matibabu ya operation kutotibu chanzo kuna tiba lishe ambayo imewaondolea watu wangi sana tatizo hiliHabari wadau kuna ndugu yangu ana Bawasiri anahitaji kujua gharama za Operesheni yake madawa ya akiasiri kaulizia 80,000.
Upasuaji Hospiata beigani.
Ni tiba lishe gani iyo mkuuAnatakiwa atibu kwa Tiba lishe coz baada ya operation wengi hili tatizo hurudi tena huku likiwa na hali mbaya zaidi kuliko ya mwanzo na hii ni kutokana na matibabu ya operation kutotibu chanzo kuna tiba lishe ambayo imewaondolea watu wangi sana tatizo hili
njoo DM , kuhusu tiba lisheAnatakiwa atibu kwa Tiba lishe coz baada ya operation wengi hili tatizo hurudi tena huku likiwa na hali mbaya zaidi kuliko ya mwanzo na hii ni kutokana na matibabu ya operation kutotibu chanzo kuna tiba lishe ambayo imewaondolea watu wangi sana tatizo hili
Inapatikana wapi?Tumia dawa za kihaya karanda lugo mixed with akatashuba nyuma utarudi hapa kunishukuru week mbili tu utaona matokeo. Kuna mmoja humu humu ananishukuru sana
Ni ugonjwa ambao kuna kinyama kinaota kwa ndani karibu na sehemu ya kujisaidia haja kubwa,mtu akiwa anajisaidia haja kubwa anahisi maumivu makali Sana.Hiv bawasil. Ni kitu gan asaa unajua huwa sielew
Nashukuru mkuu...vipi kama ipo ndani yaan kwenye utumboAkontroo uzito.
Anywe maji mengi mara kwa mara
Ale matunda kama maembe, papai..
Atumie Ndizi za kupikwa
Aepuke Nafaka kama Ulezi, mtama
Atumie mboga mboga, Nyama
Asikae na haja kubwa muda mrefu.
Bawasari izo hata kama ukiziondoa kwa upasuaji, ukishindwa kubadili maisha yako hususan Ulaji, Zinarudi kama kawaida .
Hazina dawa za kuponyesha tatizo.
Kubwa ni kubadili mfumo wa maisha ,zitapotea na hazirudi, ila akirudi kulekule aiseee nazo zinarudi.
Kwasasa atumie dawa za maumivu pia aendelee kutumia maji ya uvuguuvugu kujikanda njia ya haja kubwa .
#bawasiri zisikie tu, maumivu yake sio ya nchi hii!!