hivo vinyama vinasababishwa na nini?
Riwa nakushukuru sana kwa maelezo uliyotoa hapa nahisi nahitaji kumuona daktari. Maana uvimbe wangu ni mkubwa sana na kwa grade ulizoainisha hapa nipo grade 3.
Na mimi ugonjwa huu unanisumbua sana tu,kwa sasa umri wangu ni miaka hamsini na mara nyingi napoenda haja kubwa najikamua sana mpaka huwa nasikia kizunguzungu.Miaka 4 iliyopita nilipimwa Buganso na wakagundua vivimbe hivo na nikafanyiwa procedure inaitwa lords,lakini hivi sasa naona kama tatizo limerudi tena so kuna wakati na bleed sana wakati wa haja kubwa na kuna wakati si bleed nimepimwa kila vipimo kukgundua kuna tatizo gani laknini majibu yako ok sasa nifanyeje,naomba ushauri
Mkuu hiyo dawa uliyoitaja unaijua vizuri lkn? Naona unataka huyo msichana atoke mbio akiwa uchi maana atasikia kitu inawaka moto.Hiyo haishauriwi kuwekwa kwenye open wound na maumbile ya mwanamke hayana tofauti sana na open wound ndo maana ukimpaka pilipili kwenye nyeti zake basi utakuwa umezua balaa kubwa.
By the way kama tatizo ni warts basi zinatakiwa zichomwe kwa kutumia Caustic pencil(silver nitrate pencil) ambayo inatakiwa ifanywe na daktari mwenyewe.Otherwise please consult a medical doctor immediately.