Mabusu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 776
- 994
Mimi niliumwa doctor ila nimekunywa mlonge nimepona, naweza kukuonyesha?Na wakati mwingine tuwe tunasema ni sisi wenyewe ndio tunaumwa, maana kila anaekuja hapa utasikia anamwakilisha mtu ina maana sisi member hatuumwi?