Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Pale hatuna Spika tuna Garasa.Jana nilimwona na kumsikia Mhe. Spika Live akizungumzia hatma ya Wabunge 19 wa CHADEMA wanaotakiwa kufukuzwa Bungeni. Binafsi ninatofautiana na Mhe. Spika kuhusiana na hawa Wabunge. Kisheria hawapaswi kuwa Bungeni kwa sababu zifuatazo:...