Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,272
Una andika na kujikomenti mwenyewe?! Hii ni sawasawa na kufanya mastabesheni!na kama wanadai wamewavua uanachama huku hawataki kusikiliza rufaa zao sasa kinachowasumbua nini ? mmemvua uanachama siyo mwanachama wenu kinachowafanya waanze kutaka kumsumbua mama avunje katiba kuingilia mhimili wa bunge ni nini?