Wanasema Ndugai amechokoza manyuki jike sasa ni neno kwa neno na kama haitoshi huwenda wakamvaa Ndugai hadi nyumbani kwakwe na ngoma ya kigodoro.
Ndugai omba msamaha au wacha kujibizana na kupashana na wanawake.
Imekuwa sasa ni kujibizana,Ndugai mambo ya wanawake huyawezi shauli lako !
Ndugai omba msamaha au wacha kujibizana na kupashana na wanawake.
Imekuwa sasa ni kujibizana,Ndugai mambo ya wanawake huyawezi shauli lako !