BAWACHA hawatanii, waomba ulinzi wa Polisi, RPC Muroto maji yamfika shingoni, aonywa aache siasa

Nchi ina miaka 60 tangu ipate uhuru na chama kile kile kwa miaka 60. Na chama husika na Serikali kibabu sa eti Serikali ya wanyonge. Kwa miaka yote 60 hii Serikali ya chama kile kile imeshindwaje kuondoa wanyonge Tanzania? Na Wapumbavu wanapiga makofi wanapoitwa wanyonge bila ya kujiuliza wamekuwaje wanyonge katika nchi iliyo huru kwa miaka 60!?
Bado tuna safari ndefu sana.
 
Nchi ina miaka 60 tangu ipate uhuru na chama kile kile kwa miaka 60. Na chama husika na Serikali kibabu sa eti Serikali ya wanyonge. Kwa miaka yote 60 hii Serikali ya chama kile kile imeshindwaje kuondoa wanyonge Tanzania? Na Wapumbavu wanapiga makofi wanapoitwa wanyonge bila ya kujiuliza wamekuwaje wanyonge katika nchi iliyo huru kwa miaka 60!?
Bado tuna safari ndefu sana.
Si tulikubaliana kuwa tatizo sio chama na ndio maana sasa Mama samia anatetewa na wapinzani pamoja na kuwa Mama Samia anatoka ccm.
 
wivu tu, ndugai alishatoa muongozo wa kufata, leteni kikao kilichokaa , ambatisheni kaatiba yenu inasemaje, je baraza kuu lilikaa lini, je walisikilizwa,


je kama mlizidiana maarifa kwenye ulaji, au kuwekana ubunge viti maalumu , mmeamua kuwaaharibia, basi ndugai awafukuze tu ....kama ikiwa hivo ,itakuwa mbunge akigombana na wenye chama hata bila sababu ya msingi, anavuliwa uanachama then anakomolewa asiwe mbunge , Na spika akikubali huo ujinga ,.... basi Hakuna demokrasia mnayoiimba kila siku


HAPA NI WIVU TU KWA KINA MDEE , KISA WALIWAWAHI KINA MBOWE WASIPELEKE MAJINA YA KINA JOYCE MUKYA

Sawa sawa kabisa
Umenena vyema
 
1326.gif

Tunaenda kuliamsha dude Mwana mwana
 
Nchi ina miaka 60 tangu ipate uhuru na chama kile kile kwa miaka 60. Na chama husika na Serikali kibabu sa eti Serikali ya wanyonge. Kwa miaka yote 60 hii Serikali ya chama kile kile imeshindwaje kuondoa wanyonge Tanzania? Na Wapumbavu wanapiga makofi wanapoitwa wanyonge bila ya kujiuliza wamekuwaje wanyonge katika nchi iliyo huru kwa miaka 60!?
Bado tuna safari ndefu sana.
Noma sana !
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
wivu tu, ndugai alishatoa muongozo wa kufata, leteni kikao kilichokaa , ambatisheni kaatiba yenu inasemaje, je baraza kuu lilikaa lini, je walisikilizwa,


je kama mlizidiana maarifa kwenye ulaji, au kuwekana ubunge viti maalumu , mmeamua kuwaaharibia, basi ndugai awafukuze tu ....kama ikiwa hivo ,itakuwa mbunge akigombana na wenye chama hata bila sababu ya msingi, anavuliwa uanachama then anakomolewa asiwe mbunge , Na spika akikubali huo ujinga ,.... basi Hakuna demokrasia mnayoiimba kila siku


HAPA NI WIVU TU KWA KINA MDEE , KISA WALIWAWAHI KINA MBOWE WASIPELEKE MAJINA YA KINA JOYCE MUKYA
Umejikunja kuandika ila ni ujinga mtupu. Sheria umeisoma inasemaje?
 
wivu tu, ndugai alishatoa muongozo wa kufata, leteni kikao kilichokaa , ambatisheni kaatiba yenu inasemaje, je baraza kuu lilikaa lini, je walisikilizwa,


je kama mlizidiana maarifa kwenye ulaji, au kuwekana ubunge viti maalumu , mmeamua kuwaaharibia, basi ndugai awafukuze tu ....kama ikiwa hivo ,itakuwa mbunge akigombana na wenye chama hata bila sababu ya msingi, anavuliwa uanachama then anakomolewa asiwe mbunge , Na spika akikubali huo ujinga ,.... basi Hakuna demokrasia mnayoiimba kila siku


HAPA NI WIVU TU KWA KINA MDEE , KISA WALIWAWAHI KINA MBOWE WASIPELEKE MAJINA YA KINA JOYCE MUKYA
Wakati CCM wanamfukuza Sofia Simba walifuata huo mwongozo? Vipi wale wabunge 5 wa CUF? Kazi ya Spika sio kutunga sheria kazi yake ni kuongoza. Huo mwongozo mpya katunga mwenyewe ghafla baada ya kuona maji yamemfika shingoni. Km huamini muulize Nape.Ushamba wa madaraka ndio unaomsumbua huyu mzee.Ndugai.
 
Hao nao wanataka akina mzee mdee watolewe wachukue wao hizo nafasi, hamna jipya hapo, ni mwendo wa siasa zile zile za kila siku, Siasa maslahi
 
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
Back
Top Bottom