BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,005
Nchi ina miaka 60 tangu ipate uhuru na chama kile kile kwa miaka 60. Na chama husika na Serikali kibabu sa eti Serikali ya wanyonge. Kwa miaka yote 60 hii Serikali ya chama kile kile imeshindwaje kuondoa wanyonge Tanzania? Na Wapumbavu wanapiga makofi wanapoitwa wanyonge bila ya kujiuliza wamekuwaje wanyonge katika nchi iliyo huru kwa miaka 60!?
Bado tuna safari ndefu sana.
Bado tuna safari ndefu sana.