Scolari Ndenga
JF-Expert Member
- Aug 4, 2008
- 271
- 43
nimekwambia huna hadh ya kujibizana na baba yako.kwanza umekula wewe?
Unalipwa bei gani na wakina Nape mavuvuzela wenzako?
nimekwambia huna hadh ya kujibizana na baba yako.kwanza umekula wewe?
Hili ndio niliokuwa nalisubiri kutoka Bavicha...ni Tamko la 20 kutoka kwa Heche lisiokuwa na tija kwa Taifa
Na hiyo migomo iliyokuwa ikitokea enzi hizoo za chama kimoja nani aliyekuwa akihamasisha?poor mind.kilichotokea kwa wanafunzi hawa ni sawa na kile kilichotokea kwa madiwani wa5 arusha.sheria zifuatwe.na nyie mnaohamasiSha migomo vyuoni dawa yenu ipo jikoni.
Ni upi UTIMAMU unauzungumzia mkuu?ni huu wa kutozielewa au kushindwa kudai haki zako kwa woga,kujipendekeza au kuridhika na makombo unayotupiwa na mabwana wakubwa?kama ndiyo yeyote aliye na akili nzuri. Mwenye uwezo wa kupima maamuzi atakuwa si timamu kwa vigezo vya utimamu unaoutaka wewe.nyie bavicha sijui basata,acheni Uchoche zi.mtu mwny akili timamU hawezi kuunga mkono huu upupu.nyie ni njaa tu inawasumbua.kawateteeni kwanza madiwani watano arusha walionyanyaswa,kuonewa na hatimaye kubakwa haki yao ya kikatiba ya kushiriki siasa na kuleta maendeleo apa nchini.kilichotokea kwa wanafunzi han
Sasa mtawasaidiaje hao wanafunzi wapelekeni India wakasome ...nyie ndio mmeatuma wafanye maandamano wasaidieni:bange:
Hapooo unawachokoza kaka zako uvccm angalia usijekosa pa kutokea kwani hao mbwa [uvccm]kiukweli wana hasira kwelikweli wanajua [japo aibu ina wa limit] jinsi mabwana zao wanavyo watumia vibaya huku wenyewe mabwana zao wakiendelea kujitafunia jasho na damu zao[uvccm]Kumbuka kilichokuwa kitokee dodoma utaweza kupata picha halisi kuwa Siku moja iliyo karibu vijana hawa watakuwa UMOJA WA VIJANA HURUbavicha ni sawa na mbwa wa mwny nyumba tu kelele nyng hana pa kwenda kula anamfurahisha mfugaji.
wasishie kutoa matamko tu ,tunahitaji waende mbele zaidi ya hapo,
Hili ndio niliokuwa nalisubiri kutoka Bavicha...ni Tamko la 20 kutoka kwa Heche lisiokuwa na tija kwa Taifa
Wapo pale maeneo ya Sakina Arusha, wanauza Mbege
Vipi kipindupindu unasoma kivukoni?ndio sbb viongozi wako wanaharisha maamuzi.c muanzishe chuo kama mnaona mnaonewa hata cc 2nasoma lazime ufuate taratibu,heche acha ku2mia upupu kwenye ukwel mbona unaudhalilisha ualimu au