BAVICHA yashiriki Harambee ya Ujenzi wa Kanisa Katoliki Bukoba Mjini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,600
217,999
Leo tarehe 6/02/2022 Viongozi wa Bavicha Taifa wameshiriki Misa Takatifu katika Kanisa Katoliki , Parokia ya Mafumbo Bukoba Mjini , ambako wameshiriki Kikamilifu kwenye Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Kanisa hilo.

Mwenyekiti wa Bavicha Taifa John Pambalu ametoa neno kwa Waamini wenzake kwa kusoma kitabu cha WAFALME WA PILI , SURA YA 7 , MSTARI WA 14.

Ikumbukwe kwamba Vijana wa Bavicha , wako Mjini Bukoba kwa ajili ya Kongamano la Katiba mpya linalofanyika mjini humo siku ya leo .

Mungu ibariki Bavicha.

 
Hawa vijana wawe na hekima na kiasi. Kanisani ni mahali pa kumtukuza na kumuabudu Mungu, sio sehemu ya kwenda kufanya siasa.
 
MMheshimiwa kufanya siasa na kupata ushawishi kwa UMMA sasa mnahamia na kuwafuata makanisani.

Halafu muwe mnatoa ukweli wa mrejesho wa ziara zenu.
Maana mnatutangazia pale tu mnapoingia lakini hamsemi ukweli wa mapokeo.

Tunataka kuiona impact ya wanachama 12milioni.

Mnaojinadi kuwa nao countrywide.
 
Heshima ya kanisa katoliki inashuka kiwango cha lami kuruhusu altare takatifu kufanya siasa za majitaka kanisani? Kwani kama yeye sijui alikuws tyss ambayo sasa siyo kulikuwa na haja gani ya kuingia kanisani na manguo ys itikadi? Kwani ana tofauti gani na waumini wengine ambao wana itikadi zao nao wapo hapo, wanataaluma mbalimbali ambazo zina mavazi yao wapo hawajayavaa, kuna wageni mbalimbali hapo waliokuja na shughuli za kitaifa ila kwa unyenyekevu mkuu wametulia kwa waamini na hawajaenda altareni kutangaza kilichowaleta
 
Leo tarehe 6/02/2022 Viongozi wa Bavicha Taifa wameshiriki Misa Takatifu katika Kanisa Katoliki , Parokia ya Mafumbo Bukoba Mjini , ambako wameshiriki Kikamilifu kwenye Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Kanisa hilo .

Mwenyekiti wa Bavicha Taifa John Pambalu ametoa neno kwa Waamini wenzake kwa kusoma kitabu cha WAFALME WA PILI , SURA YA 7 , MSTARI WA 14 .

Ikumbukwe kwamba Vijana wa Bavicha , wako Mjini Bukoba kwa ajili ya Kongamano la Katiba mpya linafanyika mjini humo siku ya leo .

Mungu ibariki Bavicha .

View attachment 2109935
Salute mingi sana Katiba MPYAA HAIEPUKIKI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom