BAVICHA yamtaka Makamu wa Rais kuomba radhi kwa kusema uongo kuhusu Maji ya Maiti na Samaki Kanda ya Ziwa

Mwenyekiti wa Bavicha , ambayo ni Taasisi bora kabisa ya vijana barani Africa , John Pambalu , akizungumza na vijana wenzake huko Geita kwenye vikao vya ndani , bila kumung'unya maneno wala kuona aibu , amemtaka Makamu wa Rais wa Tanzania Mh Philipo Mpango , kujitokeza hadharani na KUOMBA RADHI KUTOKANA NA KUTELEZA KWA ULIMI WAKE NA KUONGEA UONGO KUHUSU MAJI YA MAITI KUTUMIKA KUHIFADHIA SAMAKI wanaovuliwa Ziwa Victoria .

Pambalu amedai kwamba ni muhimu sana kwa Makamu wa Rais kuwapigia magoti wananchi , kwa vile kauli yake ile iliyopingwa na bunge la Tanzania imepunguza ama kuua kabisa soko la Sangara , Sato na dagaa wa Mwanza , huku njia pekee na fupi sana ya kurudisha Soko la samaki hao duniani ni kwa Makamu wa Rais kusimama hadharani na kukiri kwamba alikurupuka .
Makamo wa Rais aombe radhi Watanzania.

Pia CDM itafute mbadala wa Pambalu maana kiti kimempwaya,Hasikiki, Hana mvuto Kwa wananchi Kwa nafasi hiyo.

Nimemsikia Mbowe Juzi akilalamikia bavicha, nadhani ni wasaa wa Pambalu kukaa pembeni kubeba uwajibikaji.

Mungu ibariki CDM, Mungu ibariki TANZANIA.

Ameeeen.
 
Unayajua mapanki ww, yanalika Hadi Leo, sembuse samaki waliozushiwa uongo, by the way mkisusa, Kanda ya ziwa Bei itakuwa chini, wananchi wataongeza vitambi😃😃😃
Mimi mtu wa kanda hiyo naamini aliyoyasema Makamu.

Kwanini Food regulators wamenyamaza wakati ndio kazi yao na kumuachia Pambalu.
 
Mkuu Erythro, achana na hili. Sioni ni kwa vipi CHADEMA inaweza kupata la maana kutokana na hili. Waachie CCM wenyewe.

Makamu wa Rais hasemi uongo kuhusu hili jambo. Uzembe wizarani usitetewe kwa kuweka siasa katika jambo kama hili.
Na kansa nayo itawachagua wana ccm wenyewe?.Hili jambo linahitaji majibu sahihi ila tatizo nikwamba tuko kwenye nchi ambayo hatujielewi.Litaenda litaisha kimya kimya ila watakaoendelea kuumia ni wananchi wote bila kubagua itikadi za vyama.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Naye huyu pambalu ndio huwa hajielewi kabisaa, Ndio maana hata akiita waandishi wa habari huwa hawaendi kumsikiliza maana walishaona anaropokaga tu, Hana muunganiko na mawasiliano mazuri Kati ya ubongo na mdomo wake, Ndio Mwenyekiti mbovi wa Bavicha kuwahi kutokea, Hana ushawishi hata kwa anao waongoza wanamuonaa Kama sanamu ya kuchongwa na Mbowe, Hana uwezo wa kujenga hoja zaidi ya kupiga kelele ya juu
Umejaza ujinga uko kichwani.sasa huyo pambalu ana tofauti gani na wewe.tena bora ata yeye kajitokeza kutaka kujua mustakabali wa hili jambo kuliko wewe chawa kazi kujipendekeza kwa watu.Ndo maana umekosa hoja unajadili mtu.bure kabisa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mwenyekiti wa Bavicha , ambayo ni Taasisi bora kabisa ya vijana barani Africa , John Pambalu , akizungumza na vijana wenzake huko Geita kwenye vikao vya ndani , bila kumung'unya maneno wala kuona aibu , amemtaka Makamu wa Rais wa Tanzania Mh Philipo Mpango , kujitokeza hadharani na KUOMBA RADHI KUTOKANA NA KUTELEZA KWA ULIMI WAKE NA KUONGEA UONGO KUHUSU MAJI YA MAITI KUTUMIKA KUHIFADHIA SAMAKI wanaovuliwa Ziwa Victoria .

Pambalu amedai kwamba ni muhimu sana kwa Makamu wa Rais kuwapigia magoti wananchi , kwa vile kauli yake ile iliyopingwa na bunge la Tanzania imepunguza ama kuua kabisa soko la Sangara , Sato na dagaa wa Mwanza , huku njia pekee na fupi sana ya kurudisha Soko la samaki hao duniani ni kwa Makamu wa Rais kusimama hadharani na kukiri kwamba alikurupuka .
Pambalu ni moja wa vijana wa hovyo kuwahi kutokea kwenye siasa za Tanzania
 
Kwani wewe kwa upeo wako ni Nani aliyetoa kauli? Ulitaka nikijibu wewe wakati siyo wewe uliyotoa kauli ya kutaka mh makamu wa Rais atoe ufafanuzi juu ya kauli yake? Au umejibu tu mradi umejibu hapa, uwe unasoma kwa utilivu
Umejaza ujinga uko kichwani.sasa huyo pambalu ana tofauti gani na wewe.tena bora ata yeye kajitokeza kutaka kujua mustakabali wa hili jambo kuliko wewe chawa kazi kujipendekeza kwa watu.Ndo maana umekosa hoja unajadili mtu.bure kabisa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kama Dr Mpango angethibitisha hili utata usingefika bungeni , athibitishe tu sisi tutanyamaza , hatuna ugomvi naye
EeeenHeeeee!

Mkuu 'Erythrocyte', sitaki nionekane kuwa ni mtetezi wa Philipo, na mbaya zaidi, mtetezi wa CCM, lakini kwenye jambo hili sina shaka yoyote kuhusu uzembe unaofanywa na Wizara, siyo katika jambo hili pekee, bali katika utendaji wao katika maeneo mengi, kama tunavyoshuhudia katika maeneo yote ndani ya serikali chini ya CCM.

Kama CHADEMA nao wanataka kushika madaraka na kuwa na utendaji mbovu kama wa hawa waliopo sasa hivi, basi nchi yetu haina matumaini.

Hebu nikuulize mkuu wangu Erythrocyte, ni kipi hasa kinachokufanya wewe udhani wanayosema wizara ndio ukweli?

Wenye wajibu wa kuthibitisha ni wizara, siyo Philipo Mpango.

Mwisho, naomba nikutoe wasiwasi, nikiona ukweli wa jambo hili, sitashindwa kuuelewa.
 
Mwenyekiti wa Bavicha , ambayo ni Taasisi bora kabisa ya vijana barani Africa , John Pambalu , akizungumza na vijana wenzake huko Geita kwenye vikao vya ndani , bila kumung'unya maneno wala kuona aibu , amemtaka Makamu wa Rais wa Tanzania Mh Philipo Mpango , kujitokeza hadharani na KUOMBA RADHI KUTOKANA NA KUTELEZA KWA ULIMI WAKE NA KUONGEA UONGO KUHUSU MAJI YA MAITI KUTUMIKA KUHIFADHIA SAMAKI wanaovuliwa Ziwa Victoria .

Pambalu amedai kwamba ni muhimu sana kwa Makamu wa Rais kuwapigia magoti wananchi , kwa vile kauli yake ile iliyopingwa na bunge la Tanzania imepunguza ama kuua kabisa soko la Sangara , Sato na dagaa wa Mwanza , huku njia pekee na fupi sana ya kurudisha Soko la samaki hao duniani ni kwa Makamu wa Rais kusimama hadharani na kukiri kwamba alikurupuka .
Mungu ibariki CHADEMA
 
EeeenHeeeee!

Mkuu 'Erythrocyte', sitaki nionekane kuwa ni mtetezi wa Philipo, na mbaya zaidi, mtetezi wa CCM, lakini kwenye jambo hili sina shaka yoyote kuhusu uzembe unaofanywa na Wizara, siyo katika jambo hili pekee, bali katika utendaji wao katika maeneo mengi, kama tunavyoshuhudia katika maeneo yote ndani ya serikali chini ya CCM.

Kama CHADEMA nao wanataka kushika madaraka na kuwa na utendaji mbovu kama wa hawa waliopo sasa hivi, basi nchi yetu haina matumaini.

Hebu nikuulize mkuu wangu Erythrocyte, ni kipi hasa kinachokufanya wewe udhani wanayosema wizara ndio ukweli?

Wenye wajibu wa kuthibitisha ni wizara, siyo Philipo Mpango.

Mwisho, naomba nikutoe wasiwasi, nikiona ukweli wa jambo hili, sitashindwa kuuelewa.
Kumbuka pia kwamba sisi "tunachochea kuni" ili moto uendelee kuwaka
 
Back
Top Bottom