BAVICHA yamtaka Makamu wa Rais kuomba radhi kwa kusema uongo kuhusu Maji ya Maiti na Samaki Kanda ya Ziwa

Mwenyekiti wa Bavicha , ambayo ni Taasisi bora kabisa ya vijana barani Africa , John Pambalu , akizungumza na vijana wenzake huko Geita kwenye vikao vya ndani , bila kumung'unya maneno wala kuona aibu , amemtaka Makamu wa Rais wa Tanzania Mh Philipo Mpango , kujitokeza hadharani na KUOMBA RADHI KUTOKANA NA KUTELEZA KWA ULIMI WAKE NA KUONGEA UONGO KUHUSU MAJI YA MAITI KUTUMIKA KUHIFADHIA SAMAKI wanaovuliwa Ziwa Victoria .

Pambalu amedai kwamba ni muhimu sana kwa Makamu wa Rais kuwapigia magoti wananchi , kwa vile kauli yake ile iliyopingwa na bunge la Tanzania imepunguza ama kuua kabisa soko la Sangara , Sato na dagaa wa Mwanza , huku njia pekee na fupi sana ya kurudisha Soko la samaki hao duniani ni kwa Makamu wa Rais kusimama hadharani na kukiri kwamba alikurupuka .
bavicha bwana naona leo mmeshiba
 
Mwenyekiti wa Bavicha ni LY, hafahamu effect ya fomalin kwenye utunzaji wa samaki na kwa binadamu. sio kosa lake.
 
Mwenyekiti wa Bavicha , ambayo ni Taasisi bora kabisa ya vijana barani Africa , John Pambalu , akizungumza na vijana wenzake huko Geita kwenye vikao vya ndani , bila kumung'unya maneno wala kuona aibu , amemtaka Makamu wa Rais wa Tanzania Mh Philipo Mpango , kujitokeza hadharani na KUOMBA RADHI KUTOKANA NA KUTELEZA KWA ULIMI WAKE NA KUONGEA UONGO KUHUSU MAJI YA MAITI KUTUMIKA KUHIFADHIA SAMAKI wanaovuliwa Ziwa Victoria .

Pambalu amedai kwamba ni muhimu sana kwa Makamu wa Rais kuwapigia magoti wananchi , kwa vile kauli yake ile iliyopingwa na bunge la Tanzania imepunguza ama kuua kabisa soko la Sangara , Sato na dagaa wa Mwanza , huku njia pekee na fupi sana ya kurudisha Soko la samaki hao duniani ni kwa Makamu wa Rais kusimama hadharani na kukiri kwamba alikurupuka .
Anapambania biashara, lakini haweki/haelezi/haonyeshi ushahidi kwamba Philipo alisema uongo!

CHADEMA kuweni waangalifu sana na mambo haya, msiingie kichwa kichwa bila kujuwa undani wa jambo.

Hii siyo siasa; hapa ni uhai wa wananchi wa Tanzania unaohusika.
 
Anapambania biashara, lakini haweki/haelezi/haonyeshi ushahidi kwamba Philipo alisema uongo!

CHADEMA kuweni waangalifu sana na mambo haya, msiingie kichwa kichwa bila kujuwa undani wa jambo.

Hii siyo siasa; hapa ni uhai wa wananchi wa Tanzania unaohusika.
Kama Dr Mpango angethibitisha hili utata usingefika bungeni , athibitishe tu sisi tutanyamaza , hatuna ugomvi naye
 
Mwenyekiti wa Bavicha , ambayo ni Taasisi bora kabisa ya vijana barani Africa , John Pambalu , akizungumza na vijana wenzake huko Geita kwenye vikao vya ndani , bila kumung'unya maneno wala kuona aibu , amemtaka Makamu wa Rais wa Tanzania Mh Philipo Mpango , kujitokeza hadharani na KUOMBA RADHI KUTOKANA NA KUTELEZA KWA ULIMI WAKE NA KUONGEA UONGO KUHUSU MAJI YA MAITI KUTUMIKA KUHIFADHIA SAMAKI wanaovuliwa Ziwa Victoria .

Pambalu amedai kwamba ni muhimu sana kwa Makamu wa Rais kuwapigia magoti wananchi , kwa vile kauli yake ile iliyopingwa na bunge la Tanzania imepunguza ama kuua kabisa soko la Sangara , Sato na dagaa wa Mwanza , huku njia pekee na fupi sana ya kurudisha Soko la samaki hao duniani ni kwa Makamu wa Rais kusimama hadharani na kukiri kwamba alikurupuka .
Huyo mpumbavu pambalu kalipwa!!!
Makamu wa Rais hawezi ongea kauli kubwa hiyo bure..
 
Huyo mpumbavu pambalu kalipwa!!!
Makamu wa Rais hawezi ongea kauli kubwa hiyo bure..
Naibu Waziri naye kalipwa ? halafu kwa nchi kama Tanzania , Who is Makamu wa Rais , ikiwa Jiwe tu lilitupiga changa la macho ?
 
Tatizo la vijana wa chadema mna ujinga mwingi sana yaani chochote mnachohisi kitawapa political milage mnadandia tuu hata kama cha kipumbavu. Hivi mnadhani kwa nafasi ya makamu wa raisi anaweza kuongea tuu kitu ilimtadi bila kua na due diligence? kwa nafasi yake akiongea kitu jua kuna intelligence za kutosha sasa kama bunge limeamua kusafisha jambo ni juu yao. Halafu tangia lini BAVICHA mmeanza kulitambua hili bunge? Acheni upumbavu wenu bhana.
 
Mwenyekiti wa Bavicha , ambayo ni Taasisi bora kabisa ya vijana barani Africa , John Pambalu , akizungumza na vijana wenzake huko Geita kwenye vikao vya ndani , bila kumung'unya maneno wala kuona aibu , amemtaka Makamu wa Rais wa Tanzania Mh Philipo Mpango , kujitokeza hadharani na KUOMBA RADHI KUTOKANA NA KUTELEZA KWA ULIMI WAKE NA KUONGEA UONGO KUHUSU MAJI YA MAITI KUTUMIKA KUHIFADHIA SAMAKI wanaovuliwa Ziwa Victoria .

Pambalu amedai kwamba ni muhimu sana kwa Makamu wa Rais kuwapigia magoti wananchi , kwa vile kauli yake ile iliyopingwa na bunge la Tanzania imepunguza ama kuua kabisa soko la Sangara , Sato na dagaa wa Mwanza , huku njia pekee na fupi sana ya kurudisha Soko la samaki hao duniani ni kwa Makamu wa Rais kusimama hadharani na kukiri kwamba alikurupuka .
Aombe radhi na ajiuzulu kabisa.
 
Naye huyu pambalu ndio huwa hajielewi kabisaa, Ndio maana hata akiita waandishi wa habari huwa hawaendi kumsikiliza maana walishaona anaropokaga tu, Hana muunganiko na mawasiliano mazuri Kati ya ubongo na mdomo wake, Ndio Mwenyekiti mbovi wa Bavicha kuwahi kutokea, Hana ushawishi hata kwa anao waongoza wanamuonaa Kama sanamu ya kuchongwa na Mbowe, Hana uwezo wa kujenga hoja zaidi ya kupiga kelele ya juu
 
Back
Top Bottom