BAVICHA wanakutana Kibaha kupanga mikakati ya chama

EasyFit

JF-Expert Member
Jul 4, 2011
1,269
1,082
Wajumbe wa BAVICHA chini ya kamanda John Mnyika leo wako Kibaha Mjini katika warsha inayofanyika kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali yahusuyo mustakabali wa vijana nchini. Warsha hiyo ya siku tatu ambayo inajumuisha sekretarieti na viongozi wengine wakuu wa BAVICHA, imeandaliwa maalumu kwa ajili ya kujadili na kuweka mpango kazi wa baraza hilo, kwa mwaka 2012-2013 na maandalizi ya mkakati wa miaka mitano (2012-2016).

Katika siku hizo tatu za warsha, baraza litajadili Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana, Sera ya CHADEMA ya Vijana, Kanuni/Mwongozo wa Baraza, utendaji kazi wa vijana wa CHADEMA 2006-2010, katiba ya CHADEMA, utendaji kazi na rasilimali za chama pia Mpango Mkakati wa CHADEMA kwa mwaka 2011-2016.

Hongera BAVICHA Hongera Chadema.
 
Hongera vijana wa CHADEMA kwa kutambua kuwa tunahitaji mikakati makini ili kujipanga vema kukijenga chama. Kila la kheri.
 
Wakitoka hapo waende vijijini kujenga chama, wasilewe na vikao vya kupanga mikakati isiyo kakatuliwa kama ya magamba
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


BAVICHA WAJIFUNGIA KUJADILI NA KUPANGA MIKAKATI KWA MAENDELEO YA VIJANA

WAJUMBE wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), wameendelea kukutana leo katika warsha inayofanyika mjini Kibaha kwa siku ya pili, wakijifungia kujadili masuala kadhaa, wakijikita katika kuangalia mstakabali wa vijana nchi nzima, bila kujali kujali tofauti za itikadi zozote.


Warsha hiyo ya siku tatu mfululizo ambayo inajumuisha sekretarieti na viongozi wengine wakuu wa BAVICHA, imeandaliwa maalum kwa ajili ya kujadili na kuweka mpango kazi wa baraza hilo, kwa mwaka 2012-2013 na maandalizi ya mkakati wa miaka mitano (2012-2016).


Katika siku ya kwanza nay a pili, vijana hao, chini ya mwezeshaji na mwongoza warsha, John Mnyika, wamechambua mapungufu na udhaifu mkubwa ulioko katika Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Taifa, kisha kutoa mawazo mbadala kuboresha sera hiyo kwa nia ya kuwasaidia vijana nchi nzima.

Wametumia fursa hiyo kujadili kwa kina masuala kadhaa yanayotatiza na kukwamisha maendeleo ya kundi kubwa la vijana, hususan ukosefu wa ajira na ujira bora na wenye staha, elimu bora inayowasaidia vijana kupata utaalam na taaluma, wajibu wa vijana katika kushiriki na kushirikishwa masuala ya uongozi wan chi yao, hususan kusimamia matumizi ya rasilimali za nchi kwa manufaa ya umma.


BAVICHA pia wamejadili namna ambavyo vijana wanaweza kuingizwa katika uchumi ulio imara na shirikishi, endapo kutapatikana uongozi bora na mfumo mpya wa utawala, ambao utaweza kuangalia sekta muhimu, kama vile kilimo, viwanda, fedha (mikopo) ambazo zikipata uwekezaji wenye maslahi kwa nchi, kundi la vijana linaweza kuinuka na kuchukua nafasi yake muhimu kwa maendeleo ya jamii.


Katika siku hizo tatu za warsha hiyo, BAVICHA watajadili Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana, Sera ya CHADEMA ya Vijana, Kanuni/Mwongozo wa BAVICHA, utendaji kazi wa Vijana wa CHADEMA 2006-2010, Katiba ya CHADEMA, Utendaji Kazi na rasilimali za chama pia Mpango Mkakati wa CHADEMA kwa mwaka 2011-2016.


Mbali ya hayo, vijana hao wa CHADEMA pia watatumia warsha hiyo, kujadili na kuandaa Dira (Vision), Dhima (Mission) na Misingi ya Vijana ya BAVICHA, kuandaa lengo kuu na malengo mahususi ya BAVICHA kwa miaka mitano, 2012-2016, malengo na vipaumbele kwa mwaka 2012 na kupanga bajeti.


Imetolewa leo Dar es Salaam, Ijumaa, Januari 6, 2012
Deogratias Mushi
Katibu Mtendaji wa BAVICHA
 
Wajumbe wa BAVICHA chini ya kamanda John Mnyika leo wako Kibaha Mjini katika warsha inayofanyika kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali yahusuyo mustakabali wa vijana nchini. Warsha hiyo ya siku tatu ambayo inajumuisha sekretarieti na viongozi wengine wakuu wa BAVICHA, imeandaliwa maalumu kwa ajili ya kujadili na kuweka mpango kazi wa baraza hilo, kwa mwaka 2012-2013 na maandalizi ya mkakati wa miaka mitano (2012-2016).

Katika siku hizo tatu za warsha, baraza litajadili Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana, Sera ya CHADEMA ya Vijana, Kanuni/Mwongozo wa Baraza, utendaji kazi wa vijana wa CHADEMA 2006-2010, katiba ya CHADEMA, utendaji kazi na rasilimali za chama pia Mpango Mkakati wa CHADEMA kwa mwaka 2011-2016.

Hongera BAVICHA Hongera Chadema.

Hongereni sana BAVICHA,siyo siri CCM wanapaswa kujizatiti vilivyo kuelekea 2015 vinginevyo hali ni tete kama spidi ya cdm itaendelea hivi
 
USHAURI WANGU KWA VIJANA WA CHADEMA:
Mna changamato kubwa sana ktk kukijenga chama hiki kwani ukiangalia vijana nchi nzima wameamasika sana kisiasa kupitia
chama cha chadema cha msingi cha kufanya kwa hivi sasa ni kutengeneza mtandao wa nguvu utawaunganisha vijana wote
wa chadema nchi nzima mkifanikiwa ktk hili basi mtakuwa mmepiga hatua kubwa sana ktk harakati za kisiasa hapa nchini.

how
kuna kundi kubwa la vijana hapa ambao ni mashabiki na wakereketwa wa chadema lakini hawana kadi wala mawasiliano yeyote
ya kiutendaji na chadema. kinachotakiwa kufanyika ni kuzunguka Tanzania nzima kutengeneza jeshi kubwa la vijana wa chadema kwa kuakikisha kila kijana anayo kadi na wale ambao hawana uwezo wa kununua kadi basi kuna haja ya kutumia sehemu ya pesa
za ruzuku kuwawezesha.

Kumpa kadi mtu sio mwisho bali kuakikisha mna uwezo wa kuwasiliana naye au yeye kuwasiliana nanyi wakati wowote kwa kupitia
njia yeyote ile ambao ni inapatikana mfano lazima kuwa na data base ambayo itakuwa na namba za simu, email, p.o.box n.k
na pia ni muhimu kuwa na biography ya mhusika kama elimu yake, kazi yake n.k. hii inabidi ifanyike kwa vijana wote ambao
mtaweza kuwafikia kwa nchi nzima. hii itawasaidia sana hasa wakati wa kutafuta mawakala na kupata taarifa zozote kuhusiana
na eneo usika kuhusiana na hali ya kisiasa kutoka moja kwa moja kwenye ground badala ya kupitia kwenye media.

swala la media hili ni muhimu mno lazima ujumbe wenu uweze kuwafikia walengwa kwa namna mnavyotaka nyie na key ni kuwa na media zenu wenyewe ili muweze ku control message mkiteendelea kutegemea media zingine basi habari zenu zitaendelea
kupotoshwa na hakuna wa kulaumiwa kwahiyo anzisheni harambee ya kuchangisha watu ili ujumbe wenu uweze kuwafikia watu wengi hatupendi namna vyombo vya redio na hasa TVs zinavyofikisha message zenu kwetu sisi wengine tunao uwezo wa kuwaelewa lakini wengi hawaelewi wanafikiri kuwa TV's haiwezi kudanganya. hili linawezekana mnao mda mzuri sana kuanzia sasa
mpaka uchaguzi ujao.
ni hayo kwa leo mkitaka servers na cheap redio system kampuni yangu inaweza kuwasaidia kuwatafutia(optional).
 
USHAURI WANGU KWA VIJANA WA CHADEMA:
Mna changamato kubwa sana ktk kukijenga chama hiki kwani ukiangalia vijana nchi nzima wameamasika sana kisiasa kupitia
chama cha chadema cha msingi cha kufanya kwa hivi sasa ni kutengeneza mtandao wa nguvu utawaunganisha vijana wote
wa chadema nchi nzima mkifanikiwa ktk hili basi mtakuwa mmepiga hatua kubwa sana ktk harakati za kisiasa hapa nchini.

how
kuna kundi kubwa la vijana hapa ambao ni mashabiki na wakereketwa wa chadema lakini hawana kadi wala mawasiliano yeyote
ya kiutendaji na chadema. kinachotakiwa kufanyika ni kuzunguka Tanzania nzima kutengeneza jeshi kubwa la vijana wa chadema kwa kuakikisha kila kijana anayo kadi na wale ambao hawana uwezo wa kununua kadi basi kuna haja ya kutumia sehemu ya pesa
za ruzuku kuwawezesha.

Kumpa kadi mtu sio mwisho bali kuakikisha mna uwezo wa kuwasiliana naye au yeye kuwasiliana nanyi wakati wowote kwa kupitia
njia yeyote ile ambao ni inapatikana mfano lazima kuwa na data base ambayo itakuwa na namba za simu, email, p.o.box n.k
na pia ni muhimu kuwa na biography ya mhusika kama elimu yake, kazi yake n.k. hii inabidi ifanyike kwa vijana wote ambao
mtaweza kuwafikia kwa nchi nzima. hii itawasaidia sana hasa wakati wa kutafuta mawakala na kupata taarifa zozote kuhusiana
na eneo usika kuhusiana na hali ya kisiasa kutoka moja kwa moja kwenye ground badala ya kupitia kwenye media.

swala la media hili ni muhimu mno lazima ujumbe wenu uweze kuwafikia walengwa kwa namna mnavyotaka nyie na key ni kuwa na media zenu wenyewe ili muweze ku control message mkiteendelea kutegemea media zingine basi habari zenu zitaendelea
kupotoshwa na hakuna wa kulaumiwa kwahiyo anzisheni harambee ya kuchangisha watu ili ujumbe wenu uweze kuwafikia watu wengi hatupendi namna vyombo vya redio na hasa TVs zinavyofikisha message zenu kwetu sisi wengine tunao uwezo wa kuwaelewa lakini wengi hawaelewi wanafikiri kuwa TV's haiwezi kudanganya. hili linawezekana mnao mda mzuri sana kuanzia sasa
mpaka uchaguzi ujao.
ni hayo kwa leo mkitaka servers na cheap redio system kampuni yangu inaweza kuwasaidia kuwatafutia(optional).
Thanks mr. politiki you have said all, in addition to that, they should keep party news on air all the time, wananchi wajue chama kinafanya nini sio kusubiri wakati wa mikutano pekee, wawe wanakwenda kwenye media kutoa ratiba ya matukio muhimu ya chama.
 
USHAURI WANGU KWA VIJANA WA CHADEMA:
Mna changamato kubwa sana ktk kukijenga chama hiki kwani ukiangalia vijana nchi nzima wameamasika sana kisiasa kupitia
chama cha chadema cha msingi cha kufanya kwa hivi sasa ni kutengeneza mtandao wa nguvu utawaunganisha vijana wote
wa chadema nchi nzima mkifanikiwa ktk hili basi mtakuwa mmepiga hatua kubwa sana ktk harakati za kisiasa hapa nchini.

how
kuna kundi kubwa la vijana hapa ambao ni mashabiki na wakereketwa wa chadema lakini hawana kadi wala mawasiliano yeyote
ya kiutendaji na chadema. kinachotakiwa kufanyika ni kuzunguka Tanzania nzima kutengeneza jeshi kubwa la vijana wa chadema kwa kuakikisha kila kijana anayo kadi na wale ambao hawana uwezo wa kununua kadi basi kuna haja ya kutumia sehemu ya pesa
za ruzuku kuwawezesha.

Kumpa kadi mtu sio mwisho bali kuakikisha mna uwezo wa kuwasiliana naye au yeye kuwasiliana nanyi wakati wowote kwa kupitia
njia yeyote ile ambao ni inapatikana mfano lazima kuwa na data base ambayo itakuwa na namba za simu, email, p.o.box n.k
na pia ni muhimu kuwa na biography ya mhusika kama elimu yake, kazi yake n.k. hii inabidi ifanyike kwa vijana wote ambao
mtaweza kuwafikia kwa nchi nzima. hii itawasaidia sana hasa wakati wa kutafuta mawakala na kupata taarifa zozote kuhusiana
na eneo usika kuhusiana na hali ya kisiasa kutoka moja kwa moja kwenye ground badala ya kupitia kwenye media.

swala la media hili ni muhimu mno lazima ujumbe wenu uweze kuwafikia walengwa kwa namna mnavyotaka nyie na key ni kuwa na media zenu wenyewe ili muweze ku control message mkiteendelea kutegemea media zingine basi habari zenu zitaendelea
kupotoshwa na hakuna wa kulaumiwa kwahiyo anzisheni harambee ya kuchangisha watu ili ujumbe wenu uweze kuwafikia watu wengi hatupendi namna vyombo vya redio na hasa TVs zinavyofikisha message zenu kwetu sisi wengine tunao uwezo wa kuwaelewa lakini wengi hawaelewi wanafikiri kuwa TV's haiwezi kudanganya. hili linawezekana mnao mda mzuri sana kuanzia sasa
mpaka uchaguzi ujao.
ni hayo kwa leo mkitaka servers na cheap redio system kampuni yangu inaweza kuwasaidia kuwatafutia(optional).

mkuu nakuunga mkono asilimia mia.s
 
USHAURI WANGU KWA VIJANA WA CHADEMA:
Mna changamato kubwa sana ktk kukijenga chama hiki kwani ukiangalia vijana nchi nzima wameamasika sana kisiasa kupitia
chama cha chadema cha msingi cha kufanya kwa hivi sasa ni kutengeneza mtandao wa nguvu utawaunganisha vijana wote
wa chadema nchi nzima mkifanikiwa ktk hili basi mtakuwa mmepiga hatua kubwa sana ktk harakati za kisiasa hapa nchini.

how
kuna kundi kubwa la vijana hapa ambao ni mashabiki na wakereketwa wa chadema lakini hawana kadi wala mawasiliano yeyote
ya kiutendaji na chadema. kinachotakiwa kufanyika ni kuzunguka Tanzania nzima kutengeneza jeshi kubwa la vijana wa chadema kwa kuakikisha kila kijana anayo kadi na wale ambao hawana uwezo wa kununua kadi basi kuna haja ya kutumia sehemu ya pesa
za ruzuku kuwawezesha.

Kumpa kadi mtu sio mwisho bali kuakikisha mna uwezo wa kuwasiliana naye au yeye kuwasiliana nanyi wakati wowote kwa kupitia
njia yeyote ile ambao ni inapatikana mfano lazima kuwa na data base ambayo itakuwa na namba za simu, email, p.o.box n.k
na pia ni muhimu kuwa na biography ya mhusika kama elimu yake, kazi yake n.k. hii inabidi ifanyike kwa vijana wote ambao
mtaweza kuwafikia kwa nchi nzima. hii itawasaidia sana hasa wakati wa kutafuta mawakala na kupata taarifa zozote kuhusiana
na eneo usika kuhusiana na hali ya kisiasa kutoka moja kwa moja kwenye ground badala ya kupitia kwenye media.

swala la media hili ni muhimu mno lazima ujumbe wenu uweze kuwafikia walengwa kwa namna mnavyotaka nyie na key ni kuwa na media zenu wenyewe ili muweze ku control message mkiteendelea kutegemea media zingine basi habari zenu zitaendelea
kupotoshwa na hakuna wa kulaumiwa kwahiyo anzisheni harambee ya kuchangisha watu ili ujumbe wenu uweze kuwafikia watu wengi hatupendi namna vyombo vya redio na hasa TVs zinavyofikisha message zenu kwetu sisi wengine tunao uwezo wa kuwaelewa lakini wengi hawaelewi wanafikiri kuwa TV's haiwezi kudanganya. hili linawezekana mnao mda mzuri sana kuanzia sasa
mpaka uchaguzi ujao.
ni hayo kwa leo mkitaka servers na cheap redio system kampuni yangu inaweza kuwasaidia kuwatafutia(optional).

Mkuu mie nikupongeze sana kwani umeongea kwa moyo wa uzalendo kabisa sasa tunaomba uongozi wa CDM jaribuni kufuatilia michango mizuri ya kama ya mkuu Politik
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI



BAVICHA WAJIFUNGIA KUJADILI NA KUPANGA MIKAKATI KWA MAENDELEO YA VIJANA

WAJUMBE wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), wameendelea kukutana leo katika warsha inayofanyika mjini Kibaha kwa siku ya pili, wakijifungia kujadili masuala kadhaa, wakijikita katika kuangalia mstakabali wa vijana nchi nzima, bila kujali kujali tofauti za itikadi zozote.


Warsha hiyo ya siku tatu mfululizo ambayo inajumuisha sekretarieti na viongozi wengine wakuu wa BAVICHA, imeandaliwa maalum kwa ajili ya kujadili na kuweka mpango kazi wa baraza hilo, kwa mwaka 2012-2013 na maandalizi ya mkakati wa miaka mitano (2012-2016).


Katika siku ya kwanza nay a pili, vijana hao, chini ya mwezeshaji na mwongoza warsha, John Mnyika, wamechambua mapungufu na udhaifu mkubwa ulioko katika Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Taifa, kisha kutoa mawazo mbadala kuboresha sera hiyo kwa nia ya kuwasaidia vijana nchi nzima.

Wametumia fursa hiyo kujadili kwa kina masuala kadhaa yanayotatiza na kukwamisha maendeleo ya kundi kubwa la vijana, hususan ukosefu wa ajira na ujira bora na wenye staha, elimu bora inayowasaidia vijana kupata utaalam na taaluma, wajibu wa vijana katika kushiriki na kushirikishwa masuala ya uongozi wan chi yao, hususan kusimamia matumizi ya rasilimali za nchi kwa manufaa ya umma.


BAVICHA pia wamejadili namna ambavyo vijana wanaweza kuingizwa katika uchumi ulio imara na shirikishi, endapo kutapatikana uongozi bora na mfumo mpya wa utawala, ambao utaweza kuangalia sekta muhimu, kama vile kilimo, viwanda, fedha (mikopo) ambazo zikipata uwekezaji wenye maslahi kwa nchi, kundi la vijana linaweza kuinuka na kuchukua nafasi yake muhimu kwa maendeleo ya jamii.


Katika siku hizo tatu za warsha hiyo, BAVICHA watajadili Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana, Sera ya CHADEMA ya Vijana, Kanuni/Mwongozo wa BAVICHA, utendaji kazi wa Vijana wa CHADEMA 2006-2010, Katiba ya CHADEMA, Utendaji Kazi na rasilimali za chama pia Mpango Mkakati wa CHADEMA kwa mwaka 2011-2016.


Mbali ya hayo, vijana hao wa CHADEMA pia watatumia warsha hiyo, kujadili na kuandaa Dira (Vision), Dhima (Mission) na Misingi ya Vijana ya BAVICHA, kuandaa lengo kuu na malengo mahususi ya BAVICHA kwa miaka mitano, 2012-2016, malengo na vipaumbele kwa mwaka 2012 na kupanga bajeti.


Imetolewa leo Dar es Salaam, Ijumaa, Januari 6, 2012
Deogratias Mushi
Katibu Mtendaji wa BAVICHA

BAVICHA inazidi kusonga mbele, mtupe taarifa ya mipango mliyoweka.

serayamajimbo
 
watu wa kaskazini wanaenda kujadili mambo ya kaskazini kuhusu pasaka.kila siku majina ni yale yale ya akina mushi,lema,mnyika na mrema.hakuna wengine?wachaga bana.
 
Back
Top Bottom