Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Mbowe hawezi kuwa na hadhi ya waziri mkuu hata siku moja.Naona vijana huku ni kujifariji kama wale wakevi wa madawa.
Anayo ndiyo sababu hata Sirro mwenyewe anabeep tu.Unajua maana ya kiongozi wa KAmbi rasmi ya Upinzani??Kama hujui nenda kamuulize Tulia