Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,562
- 217,873
Nguzo kuu ya Chadema kwa miaka yote ya uhai wa chama hiki ni umoja wao , hawa watu kwa kushirikiana kwenye mambo yao ni wa kupigiwa mfano .
Leo Viongozi wa Bavicha Wakiwemo Pambalu na mfungwa mstaafu Mwaipaya wamefika kwenye gereza la Ruanda huko Mbeya na kuonana na Mfungwa wa kisiasa Mdude Nyagali .
Mdude ametuma ujumbe kwa watu wote kwamba HAKUNA KUOGOPA WALA KUKATA TAMAA , ameomba sana kwamba mapambano ya kusaka haki lazima yaendelee
Mungu ibariki Chadema
Leo Viongozi wa Bavicha Wakiwemo Pambalu na mfungwa mstaafu Mwaipaya wamefika kwenye gereza la Ruanda huko Mbeya na kuonana na Mfungwa wa kisiasa Mdude Nyagali .
Mdude ametuma ujumbe kwa watu wote kwamba HAKUNA KUOGOPA WALA KUKATA TAMAA , ameomba sana kwamba mapambano ya kusaka haki lazima yaendelee
Mungu ibariki Chadema