hao ni waimba mipasho hawana jukumu la kitaifa ni ujinga tu mitandaoniSoma Katiba ya CHADEMA
hao ni waimba mipasho hawana jukumu la kitaifa ni ujinga tu mitandaoniSoma Katiba ya CHADEMA
kwahiyo akili yako unajiona ndiyo ina akili kuliko watu wote wa basata acha ujingaBASATA hawajitambui ,nimesikiliza wimbo wote kuanzia mwanzo mpaka mwisho,sijaona explicit lyrics/contect yeyote.
Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) tumesikitishwa na tunalaani kitendo cha Baraza la Sanaa la Tanzania (BASATA) kuufungia wimbo uitwao ‘MAMA’ ulioimbwa na Msanii wa Mziki wa Kizazi Kipya, Emmanuel Elibariki (Ney wa Mitego).
Mbali ya kuufungia wimbo huo, Basata limemwagiza kusitisha mara moja kupeleka wimbo huo katika vyombo vya habari pamoja na mitandao ya kijamii kwa madai ya kwamba unakinzana na Kanuni za Basata za mwaka 2018, kanuni ya 25 (6) (d) na (i);
“Baraza katika kuhakiki maadili katika maudhui ya kazi za sanaa, litajiridhisha kuwa kazi ya sanaa;
(d) Haina maneno ya uongo, uchochezi au yanayokashifu watu wengine.
(i) Haidhoofishi umoja, ushirikiano na ustawi bora wa jamii.”
Bavicha baada ya kuusikiliza wimbo huo waMAMA
wa Msanii Ney wa Mitego hatujaona uongo, uchochezi wala kashfa yoyote zinazodaiwa na Basata kuwa sababu za kuufungia wimbo huo. Wala haudhoofishi umoja, ushirikiano na ustawi bora wa jamii yetu.
Huu ni mwendelezo wa Serikali kuweka taratibu za kisheria kwa makusudi ya kuminya uhuru wa maoni, fikra, mawazo ya kisanaa na kuwapangia maudhui wasanii katika kazi zao.
Aidha, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeruhusu uhuru wa mawazo, Ibara ya 18 (1) ”Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wa mawasiliano yake kutoingiliwa kati.”
Uamuzi wa Basata umevunja haki hiyo ya Katiba na umeingilia haki na uhuru wa Msanii Ney wa Mitego kutoa maoni yake.
Bavicha tunatambua kuwa, Wabunge wa Chadema wakati wa Bunge la 11, walipinga kutungwa kwa taratibu hizo kwa sababu zinaminya na kuua ubunifu katika kazi za sanaa. Lakini kutokana na nia ovu ya Serikali iliyopita na wingi wa Wabunge wa CCM, sheria hizo zilipitishwa na sasa tunaona matokeo yake.
Bavicha tunawataka wasanii washikamane na kuwa wamoja katika suala hili na kupinga matumizi ya kanuni hizi mbovu ambazo zitaua vipaji vya sanaa, kuua ndoto za vijana wengi, kuhatarisha ajira za vijana wengi na mapato yanayotokana na kazi za sanaa.
Imetolewa leo Mei 06, 2021 na,
Twaha Mwaipaya
Mratibu wa Uhamasishaji,
Bavicha Taifa.
Hapo sipo kwenye wimbo tu Tanzania tumezidi kudhibitianausitetee ujinga bavicha ni wahuni tu sasa huo ni wimbo wakupigia kelele eti una maadili kweli? acheni ujinga
ukiachia kila kitu au kila mtu atukane hivi kweli hii nchi si itakuwa kama jamaica kwa wavuta bange ingawaje wao wana vichwa vya bange sisi ndiyo tutakuwa tunatukana hovyoHapo sipo kwenye wimbo tu Tanzania tumezidi kudhibitiana
Vyovyote tu muhimu Jiwe limemong'onyoka!Nyumbu wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.
Zama za Hitler zilipokwisha dunia haikuwa tena na imani na wajerumani, mpaka leo utaambiwa wajeru sio watu, sasa mimi nashangaa imani yenu kwa serikali hii sijui inatoka wapi.Maisha yanabadilika sana.
Kuna watu hadi leo hawaamini kilichotokea.
Ukweli Zama za Mzee watu waliumia ndani ya mioyo tena sana tena waliumia kwa maonevu kabisa,Wakajitahidi onesha tabasamu usoni ila ndani moyo ukiwa wavuja dam.
Ila sa hivi wanaoumia wanaumia kwa wivu .
Mama kuachia vyomho vya habari viwe huru watu wanaumia .
Mama kutaka kuongea na wapinzani kuwaskiza watu wanaumia.
Mama kutaka kufungua mipaka watu wanaumi.
Si kwamba mama hakosei ila anakosea kama binadamu ila ukweli anaonesha fraha na amani kwa watu sio maubabe ,na kuonea makundi flani.
Yaaan Wajukuu wamzee wanaumia tuu kwa kupenda kujiumiza mana walizoea kandamiza upande mwingine wao wakishangilia. Na sa hivi mama hana hataki kuweka ma genge ya kijinga au makundi.
Nyimbo iko wazi kabisa shida wanataka ukweli usiwekwe wazi tuendele kama zama zile zile
"🎧🎤🎤🎤Mama! Baba alikua mkali mkali hata wenyewe unajua......🎶🎶🎶🎺"
Huu wimbo ni Bonge la sanaa... ila ndio msanii mwenyewe keshajua mtu mzima hakosei😅😅
Bigup kwako msanii NayWaMitego, wewe ni mkaliii
Afadhali alikua mkali na sio dhaifu...... aendelee kulala salama dad ake🙏
Unataka hadi wakienda kwenye majukumu yao ya kila siku wawe wanakutangazia.unashindwaje kujua ku
Basi kama ni hivyo kunatatizo. Inawezekana kumbe kunashughuli nyingi tu hizi unazoziita za kila Siku ambazo zinazaa matunda, lakini hazitengenezewi 'taarifa kwa umma'Unataka hadi wakienda kwenye majukumu yao ya kila siku wawe wanakutangazia.unashindwaje kujua kuna shughuli za kila siku na kuna taarifa kwa umma.
Acha uvivu.Mimi sijausikia wimbo huo...
Hebu weka mashairi (lyrics) za wimbo huo ili na sisi tupime na kuamua..
Katika wimbo huo kwa vile kamtaja Halima ndiyo mumeo kama bonge la wimbo la uwanaharakati. Hii inchi haiendeshwi kwa mihemuko ya kiuanaharakati. Subirini baada ya miaka 50 ijayo ndiyo muendelee na maandamano yenuBaraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) tumesikitishwa na tunalaani kitendo cha Baraza la Sanaa la Tanzania (BASATA) kuufungia wimbo uitwao ‘MAMA’ ulioimbwa na Msanii wa Mziki wa Kizazi Kipya, Emmanuel Elibariki (Ney wa Mitego).
Mbali ya kuufungia wimbo huo, Basata limemwagiza kusitisha mara moja kupeleka wimbo huo katika vyombo vya habari pamoja na mitandao ya kijamii kwa madai ya kwamba unakinzana na Kanuni za Basata za mwaka 2018, kanuni ya 25 (6) (d) na (i);
“Baraza katika kuhakiki maadili katika maudhui ya kazi za sanaa, litajiridhisha kuwa kazi ya sanaa;
(d) Haina maneno ya uongo, uchochezi au yanayokashifu watu wengine.
(i) Haidhoofishi umoja, ushirikiano na ustawi bora wa jamii.”
Bavicha baada ya kuusikiliza wimbo huo waMAMA
wa Msanii Ney wa Mitego hatujaona uongo, uchochezi wala kashfa yoyote zinazodaiwa na Basata kuwa sababu za kuufungia wimbo huo. Wala haudhoofishi umoja, ushirikiano na ustawi bora wa jamii yetu.
Huu ni mwendelezo wa Serikali kuweka taratibu za kisheria kwa makusudi ya kuminya uhuru wa maoni, fikra, mawazo ya kisanaa na kuwapangia maudhui wasanii katika kazi zao.
Aidha, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeruhusu uhuru wa mawazo, Ibara ya 18 (1) ”Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wa mawasiliano yake kutoingiliwa kati.”
Uamuzi wa Basata umevunja haki hiyo ya Katiba na umeingilia haki na uhuru wa Msanii Ney wa Mitego kutoa maoni yake.
Bavicha tunatambua kuwa, Wabunge wa Chadema wakati wa Bunge la 11, walipinga kutungwa kwa taratibu hizo kwa sababu zinaminya na kuua ubunifu katika kazi za sanaa. Lakini kutokana na nia ovu ya Serikali iliyopita na wingi wa Wabunge wa CCM, sheria hizo zilipitishwa na sasa tunaona matokeo yake.
Bavicha tunawataka wasanii washikamane na kuwa wamoja katika suala hili na kupinga matumizi ya kanuni hizi mbovu ambazo zitaua vipaji vya sanaa, kuua ndoto za vijana wengi, kuhatarisha ajira za vijana wengi na mapato yanayotokana na kazi za sanaa.
Imetolewa leo Mei 06, 2021 na,
Twaha Mwaipaya
Mratibu wa Uhamasishaji,
Bavicha Taifa.
EarthmoverMama D....
Na waliozitunga na aliyepitisha wote Ni wapumbavu, wapumbavu wa kijaniNi sheria za kipumbavu sn
Sahihi mkuuNa waliozitunga na aliyepitisha wote Ni wapumbavu, wapumbavu wa kijani
SawaHuu sio muda wa hayo mambo, kwani meko ndio alikuwa anapenda hivyo sasa ni tofauti, wasome mazingira hao basata.nakuambia jmosi hutaamini kitakachotokea juu ya ujinga huo wa basata, toka kwa waziri, yaani utunge wimbo uwapelekee wauchambue ndio ukachezwe radioni, zama za meko hizo hazipo tena!!!tukutane jmosi
kwahiyo akili yako unajiona ndiyo ina akili kuliko watu wote wa basata acha ujinga