BAVICHA TAIFA Yatoa Onyo na Tamko Kali!

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
TAARIFA KWA UMMA
UPOTOSHWAJI NA PROPAGANDA CHAFU DHIDI YA CHADEMA/UKAWA NA KIKUNDI KILICHOJIVIKA VYEO HEWA

Zimetolewa taarifa kwenye vyombo mbalimbali vya habari na mtu anayejitambulisha kwa jina la Fikiri Migiyo na ambaye amejitambulisha pia kama Mwenyekiti wa Mabaraza ya kanda ya Ziwa Magaharibi inayojumuisha mikoa ya Mwanza, Simiyu, Kagera na Geita akipinga kuundwa kwa umoja wakutetea katiba ya wananchi (UKAWA)

Aidha mtu huyo anayejitambulisha na BAVICHA ameenda mbali kwa kutoasiku 14 kwa CHADEMA kujiondoa kwenye UKAWA na pia kulaani kitendo cha UKAWA kususia Bunge la Katiba.

Barazala Vijana wa chama cha demokrasisa na maendeleo (CHADEMA) linapenda kuufahamisha umma wa Tanzania na wapenda mabadiliko mambo yafuatayo:-

1. BAVICHA haina kiongozi wa jina hilo la Fikiri Mayingi kwa Mkoa wa Geita

2. Katika muundo wa chama na Mabaraza yake hakuna cheo kinachoitwa Mwenyekiti wa makatibu wa Mabaraza kwa Kanda. Hivyo mtu huyo aliyetoa tamko hilo amejipachika cheo hicho ili kukidhi hajana matakwa yake binafsi kwa nia ovu ya kuichafua CHADEMA

3. Pia ni muhimu umma ukaelewa kuwa Muundo wa uongozi wa BAVICHA na hata mabaraza mengine ya chama unakomea kwenye ngazi ya mkoa na kisha Taifa mpaka hapo muundo wa kanda utakapohuishwa kwenye mfumo wa baraza kuanzia kwenye chaguzi zijazo. Hivyo kilichotolewa kwa umma ni cha kuupuuza.
4. BAVICHA haijawahi kufanya uchaguzi kwa mikoa yote mipya ya Geita, Simiyu, Njombe na Katavi hivyo kusema kwamba yeye ni mwenyekiti wa makatibu wa mabaraza ya chama kwa mikoa tajwa ni hila za kisiasa zinazoendeshwa na kundi la vijana waasi wanaoendeshwa na kivuli cha mtu badala ya itikikati, falasafa na sera za CHADEMA.

5. Aidha, mkoa wa Simiyu uliotajwa kwenye taarifa ya mpotoshaji huyo kuwa ipo kanda ya Ziwa Magaharibi si sahihi licha ya kwamba tu haina uongozi wa BAVICHA zaidi ya Kamati ya Msukomo kwa masuala yote ya kichama ikiwemo mabaraza. Mkoa wa Simiyu uko kanda ya Ziwa Mashariki na si ziwa Magharibi kama alivyosema mpotoshaji.

6. Ieleweke kuwa, Hakuna Mwanachadema mwenye akili timamu anayeweza kupinga uwepo na shughuli za UKAWA kwenye mchakato huu wa katiba mpya, umoja unaobeba maslahi mapana ya taifa letu, umoja unaotete maoni ya wanachi dhidi ya wapinga maoni ya wananchi anaye jitambullisha kama mwanachadema, wanaopinga maoni ya wananchi na rasimu ya katiba mpya wanajulikani.

7. Aidha, hakuna mwanachadema/ BAVICHA mwenye akili timamu anayeweza kuunga mkono vitendo vya kibaguzi, kidini na kikabila, achilia mbali matusi na vitisho vilivyofanywa na Serikali na Wabunge wa CCM kwenye bunge la katiba kwa kupinga kitendo cha UKAWA kutoka nje ya bunge hilo. Mwanachadema anayeweza kutetea vitendo hivyo anajinasibisha kwa utambulisho wa CHADEMA lakini si mwanachadema.

8. Baraza la vijana la chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) linawaomba wanachama na Watanzania kuwapuuza vijana hao wanao tumika kwa kujipachika vyeo visivyokuwepo hata kwenye Katiba ya Chama na Mabaraza yake ili kukidhi adhima na nia ovu ya kuchafua taswira nzima ya CHADEMA.
9. BAVICHA daima itaendelea kuunga mkono juhudi za UKAWA za kupigania upatikanaji wa Katiba bora ya Wanatanzania inayotokana na maoni yao wenyewe.

Imetolewa leo Jijini Dar es salaam na:
Deogratias Munishi
Katibu Mkuu - BAVICHA
 
Interahamwe kwisha kwisha kwisha kwisha kwisha kwisha !!!! Mnahangaikia kununua matamko feki ya wasaka tonge, wakati UKAWA wanazidi kuchanja mbuga! CCM is that same old guy, mbinu zilezile za kizamani za kitoto! SHAME !!!!!
 
Matamko yamepamba moto. Tunasubiri tamko la Baraza la Wazee Chadema na BAWACHA.
 
Interahamwe kwisha kwisha kwisha kwisha kwisha kwisha !!!! Mnahangaikia kununua matamko feki ya wasaka tonge, wakati UKAWA wanazidi kuchanja mbuga! CCM is that same old guy, mbinu zilezile za kizamani za kitoto! SHAME !!!!!

Hakika Interahamwe kwisha.
 
TAARIFA KWA UMMA
UPOTOSHWAJI NA PROPAGANDA CHAFU DHIDI YA CHADEMA/UKAWA NA KIKUNDI KILICHOJIVIKA VYEO HEWA

Zimetolewa taarifa kwenye vyombo mbalimbali vya habari na mtu anayejitambulisha kwa jina la Fikiri Migiyo na ambaye amejitambulisha pia kama Mwenyekiti wa Mabaraza ya kanda ya Ziwa Magaharibi inayojumuisha mikoa ya Mwanza, Simiyu, Kagera na Geita akipinga kuundwa kwa umoja wakutetea katiba ya wananchi (UKAWA)

Aidha mtu huyo anayejitambulisha na BAVICHA ameenda mbali kwa kutoasiku 14 kwa CHADEMA kujiondoa kwenye UKAWA na pia kulaani kitendo cha UKAWA kususia Bunge la Katiba.

Barazala Vijana wa chama cha demokrasisa na maendeleo (CHADEMA) linapenda kuufahamisha umma wa Tanzania na wapenda mabadiliko mambo yafuatayo:-

1. BAVICHA haina kiongozi wa jina hilo la Fikiri Mayingi kwa Mkoa wa Geita

2. Katika muundo wa chama na Mabaraza yake hakuna cheo kinachoitwa Mwenyekiti wa makatibu wa Mabaraza kwa Kanda. Hivyo mtu huyo aliyetoa tamko hilo amejipachika cheo hicho ili kukidhi hajana matakwa yake binafsi kwa nia ovu ya kuichafua CHADEMA

3. Pia ni muhimu umma ukaelewa kuwa Muundo wa uongozi wa BAVICHA na hata mabaraza mengine ya chama unakomea kwenye ngazi ya mkoa na kisha Taifa mpaka hapo muundo wa kanda utakapohuishwa kwenye mfumo wa baraza kuanzia kwenye chaguzi zijazo. Hivyo kilichotolewa kwa umma ni cha kuupuuza.
4. BAVICHA haijawahi kufanya uchaguzi kwa mikoa yote mipya ya Geita, Simiyu, Njombe na Katavi hivyo kusema kwamba yeye ni mwenyekiti wa makatibu wa mabaraza ya chama kwa mikoa tajwa ni hila za kisiasa zinazoendeshwa na kundi la vijana waasi wanaoendeshwa na kivuli cha mtu badala ya itikikati, falasafa na sera za CHADEMA.

5. Aidha, mkoa wa Simiyu uliotajwa kwenye taarifa ya mpotoshaji huyo kuwa ipo kanda ya Ziwa Magaharibi si sahihi licha ya kwamba tu haina uongozi wa BAVICHA zaidi ya Kamati ya Msukomo kwa masuala yote ya kichama ikiwemo mabaraza. Mkoa wa Simiyu uko kanda ya Ziwa Mashariki na si ziwa Magharibi kama alivyosema mpotoshaji.

6. Ieleweke kuwa, Hakuna Mwanachadema mwenye akili timamu anayeweza kupinga uwepo na shughuli za UKAWA kwenye mchakato huu wa katiba mpya, umoja unaobeba maslahi mapana ya taifa letu, umoja unaotete maoni ya wanachi dhidi ya wapinga maoni ya wananchi anaye jitambullisha kama mwanachadema, wanaopinga maoni ya wananchi na rasimu ya katiba mpya wanajulikani.

7. Aidha, hakuna mwanachadema/ BAVICHA mwenye akili timamu anayeweza kuunga mkono vitendo vya kibaguzi, kidini na kikabila, achilia mbali matusi na vitisho vilivyofanywa na Serikali na Wabunge wa CCM kwenye bunge la katiba kwa kupinga kitendo cha UKAWA kutoka nje ya bunge hilo. Mwanachadema anayeweza kutetea vitendo hivyo anajinasibisha kwa utambulisho wa CHADEMA lakini si mwanachadema.

8. Baraza la vijana la chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) linawaomba wanachama na Watanzania kuwapuuza vijana hao wanao tumika kwa kujipachika vyeo visivyokuwepo hata kwenye Katiba ya Chama na Mabaraza yake ili kukidhi adhima na nia ovu ya kuchafua taswira nzima ya CHADEMA.
9. BAVICHA daima itaendelea kuunga mkono juhudi za UKAWA za kupigania upatikanaji wa Katiba bora ya Wanatanzania inayotokana na maoni yao wenyewe.

Imetolewa leo Jijini Dar es salaam na:
Deogratias Munishi
Katibu Mkuu - BAVICHA
Serikali ya CCM ina magonjwa mawili sasa hivi :
1.Ugonjwa wa Dengue
2.Ugojwa wa Ukawa. Hapa JK yupo ICU
 
Mbona kuna mvurugano?
CCM kuna mvurugano Mkubwa hadi juzi wamemfukuza makamu mwenyekiti Wazazi
Huko Kilombero
Kuna mgongano mkubwa kati ya DC na RC
angalia hapa!

MAKABURU WA ILLOVO WA MUWEKA DC ELIAS TARIMO MFUKONI.
Imebainika kuwa Makaburu wa kampuni ya sukari Illuv iliyopo Kilombero wamemhonga Mkuu wa Wilaya Elias Tarimo kwa malengo ya kuandaa mazingira ya kuwalubuni wakulima ili wasikubali kushuka kwa bei ya sukali.
Makaburu wameshusha bei ya sukari kutoka Shs 65,340 kwa tani hadi Shs 58,716 kwa tani na mabadiliko haya yanafanya wakulima kuibiwa Zaidi ya Shs3,616,704,000.

Wanaotajwa kuhusika na mpango huu ni wafuatao:
1.DC Elias Tarimo ( 0787 976111)
2.Msabaha Rashid Nyembe(0715 110611/0787)
3.John Guninita
4.Hakimu Futa Kamba (Mkoa Moro)
5.Makaburu wa Illuvo.

Ndugu Msabaha Rashidi Nyembe ni mwenyekiti wa Chama cha wakulima wa Miwa RCGA na baada ya kuhusika na wizi huu wanachama hawana Imani naye tena na kwa bahati nzuri Katiba ya chama hicho hairuhusu kiongozi kuongoza Zaidi ya miaka 6.
Ndugu Msabaha Rashidi Nyembe alianza kutawala tangia mwaka 2007 na sasa amemaliza mda wa kukaa madarakani.
NJAMA ZA KUBADILI KATIKA .
Mkuu wa Wilaya ameshirikiana na Makaburu kuhakikisha kwamba Ngd Msabaha Nyembe anagombea tena nafasi hiyo ili andelee Kuwabeba Makabauru.
Tarehe 29/3/2014 Mkuu wa Mkoa Joel Bendera alizuia kikao cha kubadili katiba na kuamuru kamati ya ulinzi na usalama kusmamia lakini DC Eliasi Tarimo aliruhusu kikao hicho kifanyike na kusema kwamba Ndg Msabaha ana rusiwa kugombea tena.
Tarehe 6/4/2014 DC Elias Tarimo aliruhu mkutano huo kwa yeye kufika kama mgeni rasimi akiwa na OCD Magessa ambaye aliwakamata wakulima wote waliokuwa wanahoji uhalali wa kubadili katiba.

Kufuatia hali hiyo DC ameamuru Uchaguzi ufanyike haraka Tarehe 25/5/2014 siku ya Jumapili na viongozi wote wa zamani wanagombea huku katiba yao ikipiga marufuku.

Hali ya wakulima Kilombero ni mbaya na mgogoro huo unaweza kuleta machafuko makubwa nap engine mauaji

Pia mgongano kati ya DC Tarimo na RC Joel Bendera unaonyesha kuwa Serikali ya JK ipo Ukingoni.

JOHN GUNINITA ni mwanasiasa lakini juzi ameonekana Dodoma akifanya lobbing kwa waziri wa mambo ya ndani huku akiambatana na Mtandao wa Msabaha Nyembe ambaye alikuwa na watu 15 waliosafiri kwa gari T862 APQ na kulala ROBERTHOTEL iliyopo Kizota DODOMA.

Habari kamili:
MGOGORO MKUBWA UMOJA WA WAKULIMA WA MIWA,VIGOGO NDANI YA SERIKALI WASHINDWA KUTATUA
MGOGORO Mkubwa umekikumba chama cha wakulima wadogo wa miwa cha Ruembe Cane Growers Association(RCGA) kilichopo wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro kutokana na Mwenyekiti wa chama hicho Msabaha Rashid Nyembe kutuhumiwa na wanachama kuwa ananga'ang'ania madaraka kwa kusaidiwa na baadhi ya vigogo ndani ya serikali.

Kwa mjibu wa maelezo ya wanachama wa chama hicho waliozungumza na gazeti hili jana kwa nyakati tofauti,walisema kuwa mgogoro huo ulianza kujitokeza mwezi februari mwaka huu baada ya mwenyekiti huyo kutangaza kuwania nafasi hiyo kwa mara ya tatu nje ya utaratibu wa katiba hiyo ambayo inamwezesha mwenyekiti kugombea muda wa vipindi viwili tu.

Walisema kuwa kutokana na hatua hiyo,kumekuwepo na msuguano mkali unaohusisha wanachama wa chama hicho na mwenyekiti huyo ambaye anadaiwa kusaidiwa na baadhi ya vigogo ndani ya serikali na mmoja wa wanachama maarufu wa CCM wilaya ya Kilombero ambaye anakusudia kugombea nafasi ya ubunge katika jimbo la Kilombero kwa kipindi kijacho na ambaye ni mkulima wa miwa wa wanachama wa chama cha Harambee Cane Growers Association.

Walisema kuwa kigogo huyo mwenye makao yake jijini Dar es salaam anadaiwa akitumia umarufu wake ndani ya chama cha CCM kwa kushirikiana na mwenyekiti huyo kuhujumu jitihada ambazo zimekuwa zikilalamikiwa na wakulima katika ngazi mbalimbali za serikali,kuanzia katika ofisi ya Mtendaji wa Tarafa ya mikumi,ofisi ya mkuu wa Wilaya ya Kilosa na Mahakama ya Mkoa wa Morogoro.

Mmoja wa wanachama wa chama hicho cha RCGA, Alex Gwila kutoka kikundi cha wakulima wa miwa cha Indete alisema kuwa hali ya chama hicho kwa sasa ipo shakani kutokana na mgawanyiko mkubwa uliopo kati ya mwenyekiti huyo na wanachama wa chama hicho ambao wamekuwa wakiuza miwa katika kiwanda cha Sukari cha Kilombero ambapo kipo chini ya Kampuni ya Sukari ya Illovo inayomilikiwa na makaburi kutoka Afrika kusini.

Alisema kuwa Mwenyekiti huyo amekuwa akifanya hujuma za kutovuna miwa ya baadhi ya wakulima ambao wamekuwa wakihoji uharali wake wa kuendelea kubaki madarakani na kuwasababishia harasa kubwa na ameweza kusababisha makundi miongoni mwa wanachama na kuwa kuna baadhi ya wanachama wametishiwa kufukuzwa uanachama kutokana na kufuatia utendaji wake.

Kwa mjibu wa taarifa kutoka kwa wanachama hao,ni kuwa chama hicho kina wanachama zaidi ya 800 ambao ni hai na ambao wamekuwa wakiuza miwa yao katika kiwanda cha Sukari cha Illovo,ambapo mpaka sasa mwenyekiti huyo anadaiwa kuingiza wanachama mamruki kwa kuwapa vibari ambao wanaofikia zaidi ya 2000 kwa lengo la kuharalisha kuendelea kuwepo madarakani katika uchaguzi unaokusudiwa kufanyika Mei,25 mwaka huu.

Hata hivyo mpaka sasa baadhi ya wanachama wa chama hicho wanadaiwa kuandika barua ya pingamizi ya kususia uchaguzi huo kwa madai ya kutoridhishwa na utaratibu unaotumika na kuwa wanamuomba Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete kuingilia kati mgogoro huo ambao mpaka sasa unadaiwa kushindwa kutekelezwa na Waziri wa Mambo ya Ndani Mathias Chikawe licha ya kupekelewa malalamiko hayo.

Pia wanachama hao walisema kuwa mwenyekiti huyo ameshapanga safu ya watu watakaosimamia uchaguzi huo,ambapo mmoja wa watu watakao simamia uchaguzi huo ni mwenyekiti wa uchaguzi Ben Makundi ambaye ni mmoja wa wadhanini wa chama cha RCGA ambaye anatajwa kuwa ni rafiki mkubwa wa mwenyekiti wa chama hicho.

Akizungumza kwa njia ya Simu na Gazeti hili,Mwenyekiti huyo Msabaha Rashid Nyembe alisema kuwa wanaolalamikia kutokana na hatua ya yeye kugombea nafasi ya uenyekiti kwa awamu ya tatu ni wahuni na kuwa kwa sasa kinachosubiriwa ni uchaguzi tu,ambapo amewatuhumu baadhi ya wanachama hao kupita katika ngazi mbalimbali za serikali bila ya mafanikio.

''Ndugu mwandishi tunachosubiri kwa sasa ni uchaguzi tu ambao utafanyika mei,25 mwaka huu,wanaolalamikia kuwa sifuati katiba ya chama ni wahuni wachache wasio na nia njema ''alisema Nyembe kwa ujasili.
Kwa upande wake Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera baada ya kuzungumza na gazeti hili kwa njia ya simu alikiri kuufahamu mgogoro huo, na kuwa Mkuu wa wilaya ya Kilosa Elias Tarimo amekuwa akiushughulikia kwa mara kadhaa.

Aidha Bendera alisema kuwa kutokana na ukubwa wa mgogoro huo mwenye kuamua ni Waziri wa Mambo ya Ndani Mathias Chikawe kwa kuwa ndani ya Ofisi yake kuna watalaamu waliobobea katika mambo ya kisheria.
Mkuu huyo wa Mkoa alisema tatizo kubwa linalowasumbua wakulima wadogo wa miwa wa umoja wa wakulima wa RCGA ni suala la muda wa uongozi wa vipindi viwili au vitatu,kwa hiyo ni suala la uamuzi tu wa kisheria ambalo lipo ndani ya uwezo wa Waziri wa mambo ya Ndani Mathias Chikawe.

Taarifa za uchunguzi za Gazeti hili ni kuwa kumekuwepo na msuguano mkali kati ya Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera ambaye anadaiwa kuwasaidia wakulima hao na Mkuu wa wilaya ya Kilosa Elias Tarimo ambaye anadaiwa kumezwa na genge la Mwenyekiti wa Umoja wa wakulima hao wa RCGA na kigogo wa maarufu wa CCM aliyopo katika mtandao ndani ya chama hicho cha ccm katika nafasi ya Ugombea urais.

Mpaka sasa taarifa kutoka ndani ya kampuni ya sukari ya Illovo zinaonyesha kuwa imeshusha bei ya sukari kutoka sh 65,340 kwa tani hadi sh 58,716 na kusababisha wakulima wengi kushindwa kujiendesha,ambapo hujuma hizo zinadaiwa kufanywa Mwenyekiti huyo ambaye pia ni mwenyekiti wa umoja wa wakulima wa Miwa Tanzania(TASGA).

Na hadi kufikia jana baadhi ya makundi ya watu wanaodaiwa kuwa mamruki walikuwa wamewasili wilayani kilosa kutoka wilaya ya Kilombero kwajili ya kampeni na kufikia katika hotel maarufu ambayo jina limehifadhiwa,na pia hadi kufikia jana Mwenyekiti huyo wa RCGA alikuwa mjini Dodoma kwa lengo la kuonana na mmoja wa vigogo wa serikali kwajili ya hatima ya katiba hiyo,hata hivyo jitihada za kumpata mkuu wa wilaya hiyo ya Kilosa Elias Tarimo hazikuweza kufanikiwa kutokana na simu yake kushindwa kupatikana.

Katika katiba ya awali ilikuwa ikimruhusu mgombea wa nafasi ya Uenyekiti kugombea kwa vipindi vitatu mfululizo hadi mwaka 2006 na baada ya hapo,katiba hiyo ilibatilishwa ambapo mwenyekiti anaruhusiwa kuwepo madarakani kwa muda wa miaka 6 tu.
 
Mbona kuna mvurugano?
CCM kuna mvurugano Mkubwa hadi juzi wamemfukuza makamu mwenyekiti Wazazi
Huko Kilombero
Kuna mgongano mkubwa kati ya DC na RC
angalia hapa!

MAKABURU WA ILLOVO WA MUWEKA DC ELIAS TARIMO MFUKONI.
Imebainika kuwa Makaburu wa kampuni ya sukari Illuv iliyopo Kilombero wamemhonga Mkuu wa Wilaya Elias Tarimo kwa malengo ya kuandaa mazingira ya kuwalubuni wakulima ili wasikubali kushuka kwa bei ya sukali.
Makaburu wameshusha bei ya sukari kutoka Shs 65,340 kwa tani hadi Shs 58,716 kwa tani na mabadiliko haya yanafanya wakulima kuibiwa Zaidi ya Shs3,616,704,000.

Wanaotajwa kuhusika na mpango huu ni wafuatao:
1.DC Elias Tarimo ( 0787 976111)
2.Msabaha Rashid Nyembe(0715 110611/0787)
3.John Guninita
4.Hakimu Futa Kamba (Mkoa Moro)
5.Makaburu wa Illuvo.

Ndugu Msabaha Rashidi Nyembe ni mwenyekiti wa Chama cha wakulima wa Miwa RCGA na baada ya kuhusika na wizi huu wanachama hawana Imani naye tena na kwa bahati nzuri Katiba ya chama hicho hairuhusu kiongozi kuongoza Zaidi ya miaka 6.
Ndugu Msabaha Rashidi Nyembe alianza kutawala tangia mwaka 2007 na sasa amemaliza mda wa kukaa madarakani.
NJAMA ZA KUBADILI KATIKA .
Mkuu wa Wilaya ameshirikiana na Makaburu kuhakikisha kwamba Ngd Msabaha Nyembe anagombea tena nafasi hiyo ili andelee Kuwabeba Makabauru.
Tarehe 29/3/2014 Mkuu wa Mkoa Joel Bendera alizuia kikao cha kubadili katiba na kuamuru kamati ya ulinzi na usalama kusmamia lakini DC Eliasi Tarimo aliruhusu kikao hicho kifanyike na kusema kwamba Ndg Msabaha ana rusiwa kugombea tena.
Tarehe 6/4/2014 DC Elias Tarimo aliruhu mkutano huo kwa yeye kufika kama mgeni rasimi akiwa na OCD Magessa ambaye aliwakamata wakulima wote waliokuwa wanahoji uhalali wa kubadili katiba.

Kufuatia hali hiyo DC ameamuru Uchaguzi ufanyike haraka Tarehe 25/5/2014 siku ya Jumapili na viongozi wote wa zamani wanagombea huku katiba yao ikipiga marufuku.

Hali ya wakulima Kilombero ni mbaya na mgogoro huo unaweza kuleta machafuko makubwa nap engine mauaji

Pia mgongano kati ya DC Tarimo na RC Joel Bendera unaonyesha kuwa Serikali ya JK ipo Ukingoni.

JOHN GUNINITA ni mwanasiasa lakini juzi ameonekana Dodoma akifanya lobbing kwa waziri wa mambo ya ndani huku akiambatana na Mtandao wa Msabaha Nyembe ambaye alikuwa na watu 15 waliosafiri kwa gari T862 APQ na kulala ROBERTHOTEL iliyopo Kizota DODOMA.

Habari kamili:
MGOGORO MKUBWA UMOJA WA WAKULIMA WA MIWA,VIGOGO NDANI YA SERIKALI WASHINDWA KUTATUA
MGOGORO Mkubwa umekikumba chama cha wakulima wadogo wa miwa cha Ruembe Cane Growers Association(RCGA) kilichopo wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro kutokana na Mwenyekiti wa chama hicho Msabaha Rashid Nyembe kutuhumiwa na wanachama kuwa ananga’ang’ania madaraka kwa kusaidiwa na baadhi ya vigogo ndani ya serikali.

Kwa mjibu wa maelezo ya wanachama wa chama hicho waliozungumza na gazeti hili jana kwa nyakati tofauti,walisema kuwa mgogoro huo ulianza kujitokeza mwezi februari mwaka huu baada ya mwenyekiti huyo kutangaza kuwania nafasi hiyo kwa mara ya tatu nje ya utaratibu wa katiba hiyo ambayo inamwezesha mwenyekiti kugombea muda wa vipindi viwili tu.

Walisema kuwa kutokana na hatua hiyo,kumekuwepo na msuguano mkali unaohusisha wanachama wa chama hicho na mwenyekiti huyo ambaye anadaiwa kusaidiwa na baadhi ya vigogo ndani ya serikali na mmoja wa wanachama maarufu wa CCM wilaya ya Kilombero ambaye anakusudia kugombea nafasi ya ubunge katika jimbo la Kilombero kwa kipindi kijacho na ambaye ni mkulima wa miwa wa wanachama wa chama cha Harambee Cane Growers Association.

Walisema kuwa kigogo huyo mwenye makao yake jijini Dar es salaam anadaiwa akitumia umarufu wake ndani ya chama cha CCM kwa kushirikiana na mwenyekiti huyo kuhujumu jitihada ambazo zimekuwa zikilalamikiwa na wakulima katika ngazi mbalimbali za serikali,kuanzia katika ofisi ya Mtendaji wa Tarafa ya mikumi,ofisi ya mkuu wa Wilaya ya Kilosa na Mahakama ya Mkoa wa Morogoro.

Mmoja wa wanachama wa chama hicho cha RCGA, Alex Gwila kutoka kikundi cha wakulima wa miwa cha Indete alisema kuwa hali ya chama hicho kwa sasa ipo shakani kutokana na mgawanyiko mkubwa uliopo kati ya mwenyekiti huyo na wanachama wa chama hicho ambao wamekuwa wakiuza miwa katika kiwanda cha Sukari cha Kilombero ambapo kipo chini ya Kampuni ya Sukari ya Illovo inayomilikiwa na makaburi kutoka Afrika kusini.

Alisema kuwa Mwenyekiti huyo amekuwa akifanya hujuma za kutovuna miwa ya baadhi ya wakulima ambao wamekuwa wakihoji uharali wake wa kuendelea kubaki madarakani na kuwasababishia harasa kubwa na ameweza kusababisha makundi miongoni mwa wanachama na kuwa kuna baadhi ya wanachama wametishiwa kufukuzwa uanachama kutokana na kufuatia utendaji wake.

Kwa mjibu wa taarifa kutoka kwa wanachama hao,ni kuwa chama hicho kina wanachama zaidi ya 800 ambao ni hai na ambao wamekuwa wakiuza miwa yao katika kiwanda cha Sukari cha Illovo,ambapo mpaka sasa mwenyekiti huyo anadaiwa kuingiza wanachama mamruki kwa kuwapa vibari ambao wanaofikia zaidi ya 2000 kwa lengo la kuharalisha kuendelea kuwepo madarakani katika uchaguzi unaokusudiwa kufanyika Mei,25 mwaka huu.

Hata hivyo mpaka sasa baadhi ya wanachama wa chama hicho wanadaiwa kuandika barua ya pingamizi ya kususia uchaguzi huo kwa madai ya kutoridhishwa na utaratibu unaotumika na kuwa wanamuomba Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete kuingilia kati mgogoro huo ambao mpaka sasa unadaiwa kushindwa kutekelezwa na Waziri wa Mambo ya Ndani Mathias Chikawe licha ya kupekelewa malalamiko hayo.

Pia wanachama hao walisema kuwa mwenyekiti huyo ameshapanga safu ya watu watakaosimamia uchaguzi huo,ambapo mmoja wa watu watakao simamia uchaguzi huo ni mwenyekiti wa uchaguzi Ben Makundi ambaye ni mmoja wa wadhanini wa chama cha RCGA ambaye anatajwa kuwa ni rafiki mkubwa wa mwenyekiti wa chama hicho.

Akizungumza kwa njia ya Simu na Gazeti hili,Mwenyekiti huyo Msabaha Rashid Nyembe alisema kuwa wanaolalamikia kutokana na hatua ya yeye kugombea nafasi ya uenyekiti kwa awamu ya tatu ni wahuni na kuwa kwa sasa kinachosubiriwa ni uchaguzi tu,ambapo amewatuhumu baadhi ya wanachama hao kupita katika ngazi mbalimbali za serikali bila ya mafanikio.

‘’Ndugu mwandishi tunachosubiri kwa sasa ni uchaguzi tu ambao utafanyika mei,25 mwaka huu,wanaolalamikia kuwa sifuati katiba ya chama ni wahuni wachache wasio na nia njema ’’alisema Nyembe kwa ujasili.
Kwa upande wake Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera baada ya kuzungumza na gazeti hili kwa njia ya simu alikiri kuufahamu mgogoro huo, na kuwa Mkuu wa wilaya ya Kilosa Elias Tarimo amekuwa akiushughulikia kwa mara kadhaa.

Aidha Bendera alisema kuwa kutokana na ukubwa wa mgogoro huo mwenye kuamua ni Waziri wa Mambo ya Ndani Mathias Chikawe kwa kuwa ndani ya Ofisi yake kuna watalaamu waliobobea katika mambo ya kisheria.
Mkuu huyo wa Mkoa alisema tatizo kubwa linalowasumbua wakulima wadogo wa miwa wa umoja wa wakulima wa RCGA ni suala la muda wa uongozi wa vipindi viwili au vitatu,kwa hiyo ni suala la uamuzi tu wa kisheria ambalo lipo ndani ya uwezo wa Waziri wa mambo ya Ndani Mathias Chikawe.

Taarifa za uchunguzi za Gazeti hili ni kuwa kumekuwepo na msuguano mkali kati ya Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera ambaye anadaiwa kuwasaidia wakulima hao na Mkuu wa wilaya ya Kilosa Elias Tarimo ambaye anadaiwa kumezwa na genge la Mwenyekiti wa Umoja wa wakulima hao wa RCGA na kigogo wa maarufu wa CCM aliyopo katika mtandao ndani ya chama hicho cha ccm katika nafasi ya Ugombea urais.

Mpaka sasa taarifa kutoka ndani ya kampuni ya sukari ya Illovo zinaonyesha kuwa imeshusha bei ya sukari kutoka sh 65,340 kwa tani hadi sh 58,716 na kusababisha wakulima wengi kushindwa kujiendesha,ambapo hujuma hizo zinadaiwa kufanywa Mwenyekiti huyo ambaye pia ni mwenyekiti wa umoja wa wakulima wa Miwa Tanzania(TASGA).

Na hadi kufikia jana baadhi ya makundi ya watu wanaodaiwa kuwa mamruki walikuwa wamewasili wilayani kilosa kutoka wilaya ya Kilombero kwajili ya kampeni na kufikia katika hotel maarufu ambayo jina limehifadhiwa,na pia hadi kufikia jana Mwenyekiti huyo wa RCGA alikuwa mjini Dodoma kwa lengo la kuonana na mmoja wa vigogo wa serikali kwajili ya hatima ya katiba hiyo,hata hivyo jitihada za kumpata mkuu wa wilaya hiyo ya Kilosa Elias Tarimo hazikuweza kufanikiwa kutokana na simu yake kushindwa kupatikana.

Katika katiba ya awali ilikuwa ikimruhusu mgombea wa nafasi ya Uenyekiti kugombea kwa vipindi vitatu mfululizo hadi mwaka 2006 na baada ya hapo,katiba hiyo ilibatilishwa ambapo mwenyekiti anaruhusiwa kuwepo madarakani kwa muda wa miaka 6 tu.
 
Kwa ushauri wangu Ukawa wawapuuze hawa kijani,wakizidi kuwajibu wataendelea kutuumiza,sasa ona Mzee wa Tembo anapoteza pesa zetu huko singida wakati dengue inatuhenyesha huku hata hatujui tutibiwe wapi.
 
Ukawa ni zaidi pigo kubwa kwa maccyem eemungu wape nguvu ya ukombozi hawa makamanda.
 
Safi sana vijana wangu kwa umakini na uwezo bora wa kiuongozi katika kupambana na maintarahamwe.
Go my ukawa its your time now.
 
Matamko yamepamba moto. Tunasubiri tamko la Baraza la Wazee Chadema na BAWACHA.

67759_534923963203392_1898426741_n.jpg
 
Kifo cha c.c.m ni kibaya sana ,2015 siyo mbali ukombozi umeshafika kazi kwetu wazalendo kuujengea misingi bora.
 
Back
Top Bottom