MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Wacha tu niseme ya kwangu moyoni kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu, kuuficha ukweli ni unafki, kama kuna kitu hakiko sawa ni lazima lisemwe tu provided kuna upande mmoja utachekelea na mwingine utalalamika.
Haiwezekani tukawa tunajivuta vuta hivi juu ya suala la kupotea kwa Mwenzetu Ben Saanane, Ben alikua mpiganaji mkubwa sana hasa kukitetea chama na vijana kwa ujumla. Mengi aliyafanya bila kuogopa mtu wala kikundi cha watu akidhani kua Mungu Pekee ndiye mtetezi wake, Pia aliamini pia sisi vijana tutaweza kusimama nyuma yake.
Mtu anapotea tunaonesha reaction ndogo sana as if hatumjui, As if kazi yake hatuitambui!! Yalitokea ya Mazwazo ikaonekana tumeguswa kiasi flani japo tulibaki kulalamika tu pasipo kuonesha nia thabiti ya kupinga vitendo hivi.
Tumemwachia Malissa na kundi lake wakilalamika na kuhenya tu unafikiri hakuna taasisi kubwa inayoweza kusimama kuhakikisha kuwa kwa namna yeyote ile Ben anapatika, mimi sikubaluani kabisa kupwaya huko! hapana there is something wrong with BAVICHA.
Hivi tunategemea Mwenyekiti Mbowe atuambie ni hatua ipi inapaswa kuchukuliwa? Inawezekana kabisa Mbowe anaitizama activeness ya BAVICHA na ndio maana yeye kama kiongozi mkuu wa Chama hajazungza lolote.Nilitegemea BAVICHA wangetoa hata muda kwa mamlaka husika kusema kama Ben yupo au hayupo lijulikane moja na sio Ukimya huu.
Hili suala lingetokea kwa akina Julius Malema wa Afrika Kusini pasingekalika kule, this is a very traumatizing issue!! Sio kwa Mwendo huu!! Mimi nakataa kabisa.
Haiwezekani tukawa tunajivuta vuta hivi juu ya suala la kupotea kwa Mwenzetu Ben Saanane, Ben alikua mpiganaji mkubwa sana hasa kukitetea chama na vijana kwa ujumla. Mengi aliyafanya bila kuogopa mtu wala kikundi cha watu akidhani kua Mungu Pekee ndiye mtetezi wake, Pia aliamini pia sisi vijana tutaweza kusimama nyuma yake.
Mtu anapotea tunaonesha reaction ndogo sana as if hatumjui, As if kazi yake hatuitambui!! Yalitokea ya Mazwazo ikaonekana tumeguswa kiasi flani japo tulibaki kulalamika tu pasipo kuonesha nia thabiti ya kupinga vitendo hivi.
Tumemwachia Malissa na kundi lake wakilalamika na kuhenya tu unafikiri hakuna taasisi kubwa inayoweza kusimama kuhakikisha kuwa kwa namna yeyote ile Ben anapatika, mimi sikubaluani kabisa kupwaya huko! hapana there is something wrong with BAVICHA.
Hivi tunategemea Mwenyekiti Mbowe atuambie ni hatua ipi inapaswa kuchukuliwa? Inawezekana kabisa Mbowe anaitizama activeness ya BAVICHA na ndio maana yeye kama kiongozi mkuu wa Chama hajazungza lolote.Nilitegemea BAVICHA wangetoa hata muda kwa mamlaka husika kusema kama Ben yupo au hayupo lijulikane moja na sio Ukimya huu.
Hili suala lingetokea kwa akina Julius Malema wa Afrika Kusini pasingekalika kule, this is a very traumatizing issue!! Sio kwa Mwendo huu!! Mimi nakataa kabisa.