Bavicha msiende Dodoma Chonde!!

Lituye

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
1,862
5,679
Bavicha mkienda Dodoma mjue tayari mtakuwa mmevunja amri ya Polisi na mtukufu ya kuzuia mikusanyiko au mikutano ya kisiasa na hatimaye mtatiwa hatiani kwa kuvunja sheria kwa kuwa sasa hali ya usalama sio nzuri Kama ilivyo tangazwa.

Tumieni Akili hata kidogo tuu, hivi mkienda huko Dodoma halafu mkavamiwa na Alsha baby au Alqaeda mkauawa mtamlaumu nani? Sisi sote tunao wajibu wa kutii sheria bila shuruti.

Chama kitakacho Fanya mikutano au maandamano kwa sasa hicho chama ni kikaidi, kiburi, na ni adui mkubwa Wa Amani yetu. Mambo ya siasa yamezuiwa kwa sasa mpaka itakapo tangazwa tena.

Msipambane na mhalifu anayetaka kuvunja sheria kwa makusudi, huwezi jua ana jivunia nini na ana siraha gani za kujihami, unaweza ukaenda wewe RAIA mwema na mapanga kumbe Adui ana siraha Kali za kivita mkaangamizwa.

Dodoma kuna Jeshi la polisi, JWTZ, Magereza, Uhamiaji na mgambo. Majeshi hayo yote yana vifaa vya kutosha kupamba na mhalifu yeyote na kuzuia mkusanyiko usio halali unao enda kinyume na sheria.

Mbona waliweza kuzuia mahafari ya Chaso na mikutano mingine mingi ya kisiasa watashindwa kuuzuia huo Wa CCM? Mbona hamna imani vijana na jeshi lenu tukufu?

Pelekeni taarifa polisi hizo za kiintelejensia kuwa kuna kikundi cha watu wahalifu kinapanga kukutana kinyume na Amri halali ya Polisi na mtukufu. Inawezekana polisi hawanasa habari ya kikundi hicho kufanya mkutano kinyume na Amri yake.

Lakini pia Kama kikundi hicho kitayazidi nguvu majeshi yetu yote na kikafanya mkutano wake kinyume na sheria au kikaachwa na kupewa ulinzi au upendeleo ili kivunje sheria basi sasa hapo BAVICHA itabidi mwende Mahakamani kukishitaki kwa kuhatarisha Amani na utulivu Wa nchi.

Mwl. Nyerere alisema "Misingi ya nchi hii imesha tikiswa, tukiendelea kuitikisa itabomoka" mwisho Wa kunukuu.
Karibuni kwa hoja zenye tija kwa taifa.
 
Ni kweli kabisa. BAVICHA andikeni barua kwa polisi mkiwajulisha nia ovu ya hiki kikundi kinachonuia kufanya kusanyiko haramu na kuvuruga amani na utengano wa nchi yetu na kukiuka amri halali ya jeshi letu tukufu pamoja na amri ya mheshimiwa sana mkuu wa nchi hii.Himahina BAVICHA wajulisheni polisi ili wainusuru nchi yetu dhidi ya vurugu hizi za wazi.
 
Andikeni barua kama ushahidi huku mkifanya quotation ya maneno dictator uchwara kuwa siasa mpaka 2020, mtumie pia maneno ya jeshi lao kuwa usalama wa nchi ni tete sasa.......alaf msikie watajibu nini, msisahau kuambatanisha barua walizokua wanawajibu nyie.....

Ikishindikana pelekeni ushahidi huo huo mahakamani kutafuta hiyo haki, kama wakileta figisu ndio ugali umwagwe sasa.
 
Katibu wa bavicha ameshatuambia wao polisi wapo wachache na sisi tupo wengi..kwa hiyo haturudi nyuma
 
Bavicha Mikwala tu hakuna mwenye ubavu wa kupeleka Kwato zake Chimwaga.
Kama walishindwa kukaa mita 200 kutoka eneo walilopigia kura wanaweza kufunga safari kwenda Chimwaga?
Kama walitishika kwa Uamiri jeshi wa Softspoken Jakaya watapataje ujasiri wakati huu wa kikwata kwata na fyoko fyoko.
 
Andikeni barua kama ushahidi huku mkifanya quotation ya maneno dictator uchwara kuwa siasa mpaka 2020, mtumie pia maneno ya jeshi lao kuwa usalama wa nchi ni tete sasa.......alaf msikie watajibu nini, msisahau kuambatanisha barua walizokua wanawajibu nyie.....

Ikishindikana pelekeni ushahidi huo huo mahakamani kutafuta hiyo haki, kama wakileta figisu ndio ugali umwagwe sasa.
Wewe dogo unatafuta makubwa!! Utaweza Segerea kijana??
 
Ushauri wa Lituye ni mzuri. Na siyo mbaya UKAWA na vyama vya upinzani kwa ujumla vikaandaa mikutano na makongamano kwa tarehe zilezile za huo mkusanyiko wa ccm katika mikoa mbalimbali hapa nchini. Halafu waipatie taarifa polisi! Ili kama polisi wakisema kuwa 'wameiruhusu' ccm kwa kuwa hali ni 'shwari' wawe wameruhusu vyama vyote kwa 'ushwari' huo!
 
Bavicha mkienda Dodoma mjue tayari mtakuwa mmevunja amri ya Polisi na mtukufu ya kuzuia mikusanyiko au mikutano ya kisiasa na hatimaye mtatiwa hatiani kwa kuvunja sheria kwa kuwa sasa hali ya usalama sio nzuri Kama ilivyo tangazwa.

Tumieni Akili hata kidogo tuu, hivi mkienda huko Dodoma halafu mkavamiwa na Alsha baby au Alqaeda mkauawa mtamlaumu nani? Sisi sote tunao wajibu wa kutii sheria bila shuruti.

Chama kitakacho Fanya mikutano au maandamano kwa sasa hicho chama ni kikaidi, kiburi, na ni adui mkubwa Wa Amani yetu. Mambo ya siasa yamezuiwa kwa sasa mpaka itakapo tangazwa tena.

Msipambane na mhalifu anayetaka kuvunja sheria kwa makusudi, huwezi jua ana jivunia nini na ana siraha gani za kujihami, unaweza ukaenda wewe RAIA mwema na mapanga kumbe Adui ana siraha Kali za kivita mkaangamizwa.

Dodoma kuna Jeshi la polisi, JWTZ, Magereza, Uhamiaji na mgambo. Majeshi hayo yote yana vifaa vya kutosha kupamba na mhalifu yeyote na kuzuia mkusanyiko usio halali unao enda kinyume na sheria.

Mbona waliweza kuzuia mahafari ya Chaso na mikutano mingine mingi ya kisiasa watashindwa kuuzuia huo Wa CCM? Mbona hamna imani vijana na jeshi lenu tukufu?

Pelekeni taarifa polisi hizo za kiintelejensia kuwa kuna kikundi cha watu wahalifu kinapanga kukutana kinyume na Amri halali ya Polisi na mtukufu. Inawezekana polisi hawanasa habari ya kikundi hicho kufanya mkutano kinyume na Amri yake.

Lakini pia Kama kikundi hicho kitayazidi nguvu majeshi yetu yote na kikafanya mkutano wake kinyume na sheria au kikaachwa na kupewa ulinzi au upendeleo ili kivunje sheria basi sasa hapo BAVICHA itabidi mwende Mahakamani kukishitaki kwa kuhatarisha Amani na utulivu Wa nchi.

Mwl. Nyerere alisema "Misingi ya nchi hii imesha tikiswa, tukiendelea kuitikisa itabomoka" mwisho Wa kunukuu.
Karibuni kwa hoja zenye tija kwa taifa.
Ukiona nyani anamchokoza simba ujue kuna mti karibu. Sijui chadema watarukia wapi kwani wanajitafutia balaa kwenda dodoma eti kuzuia mkutano mkuu wa ccm. Mikutano ya kisiasa iliyokatazwa inaeleweka ila cdm wana lao. Wangetaka kuweka hali sawa wangeitisha mkutano mkuu wa cdm kumuidhinisha lowassa kama mwenyekiti wao wa chama waone kama wangezuiwa. Sio eti kwenda kuzuia mkutano mkuu wa ccm. Hapo wanatafuta kick ya kwenda icc kwa roho za watu.
 
Bavicha mkienda Dodoma mjue tayari mtakuwa mmevunja amri ya Polisi na mtukufu ya kuzuia mikusanyiko au mikutano ya kisiasa na hatimaye mtatiwa hatiani kwa kuvunja sheria kwa kuwa sasa hali ya usalama sio nzuri Kama ilivyo tangazwa.

Tumieni Akili hata kidogo tuu, hivi mkienda huko Dodoma halafu mkavamiwa na Alsha baby au Alqaeda mkauawa mtamlaumu nani? Sisi sote tunao wajibu wa kutii sheria bila shuruti.

Chama kitakacho Fanya mikutano au maandamano kwa sasa hicho chama ni kikaidi, kiburi, na ni adui mkubwa Wa Amani yetu. Mambo ya siasa yamezuiwa kwa sasa mpaka itakapo tangazwa tena.

Msipambane na mhalifu anayetaka kuvunja sheria kwa makusudi, huwezi jua ana jivunia nini na ana siraha gani za kujihami, unaweza ukaenda wewe RAIA mwema na mapanga kumbe Adui ana siraha Kali za kivita mkaangamizwa.

Dodoma kuna Jeshi la polisi, JWTZ, Magereza, Uhamiaji na mgambo. Majeshi hayo yote yana vifaa vya kutosha kupamba na mhalifu yeyote na kuzuia mkusanyiko usio halali unao enda kinyume na sheria.

Mbona waliweza kuzuia mahafari ya Chaso na mikutano mingine mingi ya kisiasa watashindwa kuuzuia huo Wa CCM? Mbona hamna imani vijana na jeshi lenu tukufu?

Pelekeni taarifa polisi hizo za kiintelejensia kuwa kuna kikundi cha watu wahalifu kinapanga kukutana kinyume na Amri halali ya Polisi na mtukufu. Inawezekana polisi hawanasa habari ya kikundi hicho kufanya mkutano kinyume na Amri yake.

Lakini pia Kama kikundi hicho kitayazidi nguvu majeshi yetu yote na kikafanya mkutano wake kinyume na sheria au kikaachwa na kupewa ulinzi au upendeleo ili kivunje sheria basi sasa hapo BAVICHA itabidi mwende Mahakamani kukishitaki kwa kuhatarisha Amani na utulivu Wa nchi.

Mwl. Nyerere alisema "Misingi ya nchi hii imesha tikiswa, tukiendelea kuitikisa itabomoka" mwisho Wa kunukuu.
Karibuni kwa hoja zenye tija kwa taifa.
Kwanza nikusifu kwa ustadi wako wa lugha,watakuelewa wachache sana
 
Ni kweli kabisa. BAVICHA andikeni barua kwa polisi mkiwajulisha nia ovu ya hiki kikundi kinachonuia kufanya kusanyiko haramu na kuvuruga amani na utengano wa nchi yetu na kukiuka amri halali ya jeshi letu tukufu pamoja na amri ya mheshimiwa sana mkuu wa nchi hii.Himahina BAVICHA wajulisheni polisi ili wainusuru nchi yetu dhidi ya vurugu hizi za wazi.
Mkuu ulishawahi kuona mjusi anazaa panya?
 
Bavicha mkienda Dodoma mjue tayari mtakuwa mmevunja amri ya Polisi na mtukufu ya kuzuia mikusanyiko au mikutano ya kisiasa na hatimaye mtatiwa hatiani kwa kuvunja sheria kwa kuwa sasa hali ya usalama sio nzuri Kama ilivyo tangazwa.

Tumieni Akili hata kidogo tuu, hivi mkienda huko Dodoma halafu mkavamiwa na Alsha baby au Alqaeda mkauawa mtamlaumu nani? Sisi sote tunao wajibu wa kutii sheria bila shuruti.

Chama kitakacho Fanya mikutano au maandamano kwa sasa hicho chama ni kikaidi, kiburi, na ni adui mkubwa Wa Amani yetu. Mambo ya siasa yamezuiwa kwa sasa mpaka itakapo tangazwa tena.

Msipambane na mhalifu anayetaka kuvunja sheria kwa makusudi, huwezi jua ana jivunia nini na ana siraha gani za kujihami, unaweza ukaenda wewe RAIA mwema na mapanga kumbe Adui ana siraha Kali za kivita mkaangamizwa.

Dodoma kuna Jeshi la polisi, JWTZ, Magereza, Uhamiaji na mgambo. Majeshi hayo yote yana vifaa vya kutosha kupamba na mhalifu yeyote na kuzuia mkusanyiko usio halali unao enda kinyume na sheria.

Mbona waliweza kuzuia mahafari ya Chaso na mikutano mingine mingi ya kisiasa watashindwa kuuzuia huo Wa CCM? Mbona hamna imani vijana na jeshi lenu tukufu?

Pelekeni taarifa polisi hizo za kiintelejensia kuwa kuna kikundi cha watu wahalifu kinapanga kukutana kinyume na Amri halali ya Polisi na mtukufu. Inawezekana polisi hawanasa habari ya kikundi hicho kufanya mkutano kinyume na Amri yake.

Lakini pia Kama kikundi hicho kitayazidi nguvu majeshi yetu yote na kikafanya mkutano wake kinyume na sheria au kikaachwa na kupewa ulinzi au upendeleo ili kivunje sheria basi sasa hapo BAVICHA itabidi mwende Mahakamani kukishitaki kwa kuhatarisha Amani na utulivu Wa nchi.

Mwl. Nyerere alisema "Misingi ya nchi hii imesha tikiswa, tukiendelea kuitikisa itabomoka" mwisho Wa kunukuu.
Karibuni kwa hoja zenye tija kwa taifa.
Upo sahihi mkuu. Wawaache ccm wafanye yao ili utumike kama ushahidi kwenye kusema upinzani wanazuiliwa lakini ccm wanaachwa wafanye
 
Andikeni barua kama ushahidi huku mkifanya quotation ya maneno dictator uchwara kuwa siasa mpaka 2020, mtumie pia maneno ya jeshi lao kuwa usalama wa nchi ni tete sasa.......alaf msikie watajibu nini, msisahau kuambatanisha barua walizokua wanawajibu nyie.....

Ikishindikana pelekeni ushahidi huo huo mahakamani kutafuta hiyo haki, kama wakileta figisu ndio ugali umwagwe sasa.
Labda mahakama ya the hague ndio inaweza kusimamisha mikutano ya ccm
 
Back
Top Bottom