BAVICHA mmelala fofoo,almost "Dead and Gone".

mandella

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
3,048
3,227
Sioni wala sisiikii movement zotezote zinazofanya na BAVICHA sasa ni kwa muda mrefu.

Mfano mdogo ni hii issue ya Makanikia.
Serious mpaka Issue imefika hapa hakuna mliloweza kulisema ? Either kupongeza ama kutoa mapungufu yaliyopo juu ya issue hii. ? (Hakika mmelala)

Kama vijana nadhani mngekua front katika kutetea maslahi ya taifa.
Kwa ukimya huu , naweza sema mmelala fofofo.

Naikumbuka BAVICHA
"John Heche"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom