mandella
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,048
- 3,227
Sioni wala sisiikii movement zotezote zinazofanya na BAVICHA sasa ni kwa muda mrefu.
Mfano mdogo ni hii issue ya Makanikia.
Serious mpaka Issue imefika hapa hakuna mliloweza kulisema ? Either kupongeza ama kutoa mapungufu yaliyopo juu ya issue hii. ? (Hakika mmelala)
Kama vijana nadhani mngekua front katika kutetea maslahi ya taifa.
Kwa ukimya huu , naweza sema mmelala fofofo.
Naikumbuka BAVICHA
"John Heche"
Mfano mdogo ni hii issue ya Makanikia.
Serious mpaka Issue imefika hapa hakuna mliloweza kulisema ? Either kupongeza ama kutoa mapungufu yaliyopo juu ya issue hii. ? (Hakika mmelala)
Kama vijana nadhani mngekua front katika kutetea maslahi ya taifa.
Kwa ukimya huu , naweza sema mmelala fofofo.
Naikumbuka BAVICHA
"John Heche"