OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo Wakuu , heshima kwenu ! Kwa mujibu wa taarifa toka kwa Mwenyekiti BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ndg Liberatus Mulebele ni kuwa muda huu kikao cha Baraza Vijana CHADEMA mkoa wa Mwanza kinaendelea katika ofisi ya CHADEMA mkoa,maeneo ya Nyamanoro-Ilemela.
Katika kikao hicho mada kuu ni kutoa maamuzi na tamko rasmi dhidi ya uzushi na upotoshaji uliofanywa na Salvatory Magafu kwenye vyombo vya habari akimushinikiza Dkt Slaa kujiuzulu. Ki msingi huu ulikuwa utashi na mtazamo wake na wala si maamuzi ya BAVICHA Mwanza kama alivyokaririwa akisema. Kwa mujibu wa maelezo ya Liberatus, ni kwamba saa 10 jioni leo ndo muda ambao Baraza hilo litatoa tamko na msimamo wake kama taarifa kwa umma mbele ya vyombo vya habari .
MY TAKE :- NAPE CHINI YA LUMUMBA PROPAGANDA FM ACHA KUPOTEZA RASLIMALI ZA WATANZANIA KUNUNUA VIJANA HAWA WAPIGA DILI NA WACHUMIA TUMBO AMBAO WENGI WAO WAMEISHA TILIWA MASHAKA KWENYE VYAMA VYAO BADALA YAKE WEWE NA CHAMA CHAKO NUNUENI DAWA HOSPITALINI,VITANDA,VITABU,MADAWATI,MAABARA,MISHAHARA YA WALIMU,POLISI ,MADAKTARI,DADA ZETU WANAJIUZA VYUONI KWA ELFU 1, WATANZANIA WANAKUFA NJAA NGORONGORO.
Katika kikao hicho mada kuu ni kutoa maamuzi na tamko rasmi dhidi ya uzushi na upotoshaji uliofanywa na Salvatory Magafu kwenye vyombo vya habari akimushinikiza Dkt Slaa kujiuzulu. Ki msingi huu ulikuwa utashi na mtazamo wake na wala si maamuzi ya BAVICHA Mwanza kama alivyokaririwa akisema. Kwa mujibu wa maelezo ya Liberatus, ni kwamba saa 10 jioni leo ndo muda ambao Baraza hilo litatoa tamko na msimamo wake kama taarifa kwa umma mbele ya vyombo vya habari .
MY TAKE :- NAPE CHINI YA LUMUMBA PROPAGANDA FM ACHA KUPOTEZA RASLIMALI ZA WATANZANIA KUNUNUA VIJANA HAWA WAPIGA DILI NA WACHUMIA TUMBO AMBAO WENGI WAO WAMEISHA TILIWA MASHAKA KWENYE VYAMA VYAO BADALA YAKE WEWE NA CHAMA CHAKO NUNUENI DAWA HOSPITALINI,VITANDA,VITABU,MADAWATI,MAABARA,MISHAHARA YA WALIMU,POLISI ,MADAKTARI,DADA ZETU WANAJIUZA VYUONI KWA ELFU 1, WATANZANIA WANAKUFA NJAA NGORONGORO.