Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,519
- 217,785
Mambo ni mengi halafu muda ni kidogo sana !
kama hayaAcheni mambo ya kishirikina. Majanga mbalimba ndio nini?
siasa ni maishaTatizo CHADEMA hata wafanye kitu kizuri hawawezi kuacha kuchanganya na siasa
Hao makamanda uchwara wameandika majanga mbalimba. Hawako makini kabisa.kama haya
kuna upungufu mkubwa sana wa damu kwa majeruhiMbona wamechelewa sana kutoa dua na damu