Bavicha kushiriki Kampeni ya usafi iliyoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mara tarehe 4/9/2021

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,562
217,892
Baada ya kusikia Bavicha wanafanya kongamano la Katiba mpya mkoani Mara , Mkuu wa Mkoa huo ameleta siasa za kishamba za kutangaza kuwa kesho ni siku ya usafi mkoani humo , na kwamba usafi huo utafanywa na vyombo vya ulinzi na usalama .

Hata hivyo Bavicha imetangaza kuunga mkono juhudi za usafi zilizotangazwa na RC na kwamba kila mwanachama wa Bavicha anatakiwa kuwepo na kushirikiana na wana usalama kufanya usafi huo

Kesho_tar._4.9.2021_ni_siku_ya_Kongamano_la_KATIBA_MPYA_Mara,_pia_mkuu_wa_Mkoa_ametangaza_ni_s...jpg


Kesho_kabla_hatujaanza_Kongamano_la_KATIBA_MPYA_Mkoa_wa_Mara,_tutashiriki_zoezi_la_usafi_lilil...jpg
 
Baada ya kusikia Bavicha wanafanya kongamano la Katiba mpya mkoani Mara , Mkuu wa Mkoa huo ameleta siasa za kishamba za kutangaza kuwa kesho ni siku ya usafi mkoani humo , na kwamba usafi huo utafanywa na vyombo vya ulinzi na usalama .

Hata hivyo Bavicha imetangaza kuunga mkono juhudi za usafi zilizotangazwa na RC na kwamba kila mwanachama wa Bavicha anatakiwa kuwepo na kushirikiana na wana usalama kufanya usafi huo

View attachment 1922894

View attachment 1922895
Chadema kama sehemu ya wamanchi wema tuyashiriki huku tukiendelea kuhimizana umuhimu wa Katiba Mlya kwa maendeleo ya nchi yetu.
 
Chadema kama sehemu ya wamanchi wema tuyashiriki huku tukiendelea kuhimizana umuhimu wa Katiba Mlya kwa maendeleo ya nchi yetu.
Mizengwe itatafutwa kuzuia wote waliovaa nguo za aina fulani hawaruhusiwi kufanya usafi!

Usidhani huu ni utani, Nchi ya Tanzania siku hizi hakuna lisilowezekana toka kwa CCM.

Na asipoweka mizengwe, ataonekana chizi mkubwa kupindukia kwa kampeni kumgeukia mwenyewe.
 
Wakati mwingine huwa kama nataka kuyakubali maneno ya Chris Mtikla kuhusu sisi Watanzania✓
 
Mojawapo ya "takataka" ambazo vyombo vya ulinzi vitasafisha ni BAVICHA, karibuni 😁
 
Bavicha itashiriki zoezi hilo kwa kuwa wao ni sehemu ya Uchafu

Wajiandae kuzolewa sambamba na uchafu mwingine
 
Baada ya kusikia Bavicha wanafanya kongamano la Katiba mpya mkoani Mara , Mkuu wa Mkoa huo ameleta siasa za kishamba za kutangaza kuwa kesho ni siku ya usafi mkoani humo , na kwamba usafi huo utafanywa na vyombo vya ulinzi na usalama .

Hata hivyo Bavicha imetangaza kuunga mkono juhudi za usafi zilizotangazwa na RC na kwamba kila mwanachama wa Bavicha anatakiwa kuwepo na kushirikiana na wana usalama kufanya usafi huo

View attachment 1922894

View attachment 1922895
Mbwa kala Mbwa
 
Huyo mkuu wa mkoa ameandaa zoezi la kufanya usafi kivyama?

Au ni la wananchi wote?
 
Back
Top Bottom