Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Mwenye kiti wa chama chakavu anaogopa Hadi vikao vya ndani vya Bawacha, Bavicha ni lzm polisi waone intelligenciaBawacha,bavicha? Badala ya kuwaza wakitoe vipi chama chao kipo shimoni kinadidimia wanawaza kuitokomeza CCM!!! Maajabu hayaishi kwa bavicha
Kwa chama kipi hicho kijisaccos kilichojifia? Acha masiharaMwenye kiti wa chama chakavu anaogopa Hadi vikao vya ndani vya bawacha,bavicha ni lzm polisi waone intelligencia
Heri ya saccoss wanachama wote wanufaika kuliko chama Mali binafsi ya mwenyekiti ndie mmiliki wote ni kufata amri aendae kinyume sumu inamuhusu.Kwa chama kipi hicho kijisaccos kilichojifia? Acha masihara
Naona umeongea kinyume Sacco's Ni Mali binafsi ya mwenyekiti na ndio mwenyekiti wa kudumu,na hakuna anae faidika hata wabunge anawakata Mishahara na zile billion's kala peke yakeHeri ya saccoss wanachama wote wanufaika kuliko chama Mali binafsi ya mwenyekiti ndie mmiliki wote ni kufata amri aendae kinyume sumu inamuhusu.
Kutoka Mali ya wakulima na wafanyakazi Hadi kuwa Mali binafsi ya familia.
We uoni fomu imeprintiwa moja tu ya mmiliki wa chama aondoki kesho Wala keshokutwaNaona umeongea kinyume Sacco's Ni Mali binafsi ya mwenyekiti na ndio mwenyekiti wa kudumu,na hakuna anae faidika hata wabunge anawakata Mishahara na zile billion's kala peke yake
jibu hoja ,mmeharibu nchi nyinyi hovyo kabisa, hata akili hamna.Bawacha,bavicha? Badala ya kuwaza wakitoe vipi chama chao kipo shimoni kinadidimia wanawaza kuitokomeza CCM!!! Maajabu hayaishi kwa bavicha
Mtaweweseka sanajibu hoja ,mmeharibu nchi nyinyi hovyo kabisa, hata akili hamna
Propaganda za kitoto kabisa na huu ni uthibitisho kuwa Chadema haina watu wenye akili. Yaani ajira serikalini zimeporomoka kwa 78%?