Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Kuna sehemu nimepita ndugu nimekutana na mjadala mkali miongoni mwa vijana.
Mjadala unahusu watu wenye akili za darasani yaani wale wasongo au vichwa darasani na watu wenye akili ya maisha lakini darasani hawako vizuri.
Wale wenye akili darasani wanajisifu kwa usomi wao na ndio wanaoongoza nchi na wanawaponda wasioenda shule na kwamba hawaijui dunia vizuri.
Wenye akili za maisha wanawaponda wenye akili darasani licha ya usomi wao wengi wako mtaani na majumbani kwao Bado wanasubili ajiraa na wengine wameenda mbali zaidi wanasema wasomi wengi wakishastaafu elimu yao ndio inaishia hapo na wanarudi katika hali ya kawaida.
Je wewe upande wako unasemajeee
Mjadala unahusu watu wenye akili za darasani yaani wale wasongo au vichwa darasani na watu wenye akili ya maisha lakini darasani hawako vizuri.
Wale wenye akili darasani wanajisifu kwa usomi wao na ndio wanaoongoza nchi na wanawaponda wasioenda shule na kwamba hawaijui dunia vizuri.
Wenye akili za maisha wanawaponda wenye akili darasani licha ya usomi wao wengi wako mtaani na majumbani kwao Bado wanasubili ajiraa na wengine wameenda mbali zaidi wanasema wasomi wengi wakishastaafu elimu yao ndio inaishia hapo na wanarudi katika hali ya kawaida.
Je wewe upande wako unasemajeee