Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Hata kwenye ushindani kati ya NBI na DSM, pia Wakenya hupenda kuweka Mombasa na Mwanza kwani ni miji inayokaribiana, ingawa Mombasa inazidi kidogo Mwanza. Ukweli ni kwamba kwa kila mizania, Mwanza iko juu ya Arusha. Kwa hali ya hewa Arusha ni green city. Hata hivyo Mwanza ni kubwa, Mwanza ina population kubwa na kiuchumi Mwanza iko juu ya Arusha(angalau kwa sasa)
Duh! Hapo sasa itabid nikubaliene na mawazo yenu... maana sion mchangiaj hata mmoja aliyesema arusha inaizid mwanza
 
Kumekuwa na sintofahamu kati ya Majiji haya mawaili yanatotikisa Tanzania ukiachilia Dar.

Majiji haya yamezua gumzo miongoni mwa watu kwa kujaribu kuyashindanisha lakini pamoja na kuyashindanisha kote bado watu hawajapata jibu la moja kwa moja kwamba ni mji gani mzuri na una fursa kubwa za kimaisha kuliko mwingine pamoja na ukuaji wa maendeleo.

Karibuni mchangie
Mwanza ipo juu ya Arusha almost kwa kila kitu except ile hali ya ubaridi
 
Hebu twendeni na picha itapendeza zaidi

Hii ni Arusha

Screenshot_20211130-092609.png


IMG_20211127_121021.jpg


IMG_20211121_170136.jpg


IMG_20211121_170240.jpg
 
Kumekuwa na sintofahamu kati ya Majiji haya mawaili yanatotikisa Tanzania ukiachilia Dar.

Majiji haya yamezua gumzo miongoni mwa watu kwa kujaribu kuyashindanisha lakini pamoja na kuyashindanisha kote bado watu hawajapata jibu la moja kwa moja kwamba ni mji gani mzuri na una fursa kubwa za kimaisha kuliko mwingine pamoja na ukuaji wa maendeleo.

Karibuni mchangie
Yaani Mwanza ulingalishe na kijiji cha wavuta bhangi wa Arusha!! Hebu acha utopolo basi wakuu!!
 
Nani hajapata jibu?

Mwanza sio ya kuilinganisha na vimji vya ajabu ajabu kama Arusha.

Mwanza inakimbizana na Dar kwenye kila kitu, miundombinu, mapato, wingi wa watu, uchangamfu, starehe, watoto wazuri, vyuo, nk. Muwe mnasoma hata takwimu/taarifa za serikali zinatolewa kila mara kuonyesha Mwanza is untouchable.

Arusha ilinganisheni na Kahama ama Musoma sio Mwanza ni kuivunjia heshima Mwanza.
chuga ipo juu kaka hakimu...kama ni vyuo chuga vipo vya kumwaga....watoto wa kali ndio usiseme chuga ndio jiji lenye watoto wakali nchi hii
 
Hata kwenye ushindani kati ya NBI na DSM, pia Wakenya hupenda kuweka Mombasa na Mwanza kwani ni miji inayokaribiana, ingawa Mombasa inazidi kidogo Mwanza. Ukweli ni kwamba kwa kila mizania, Mwanza iko juu ya Arusha. Kwa hali ya hewa Arusha ni green city. Hata hivyo Mwanza ni kubwa, Mwanza ina population kubwa na kiuchumi Mwanza iko juu ya Arusha(angalau kwa sasa)
umeshawahi kufima chuga wewe?
 
Arusha ni mji wa kitalii na fursa zake zinahitaji mtaji mkubwa
Mwanza ni mji wa watu wengi wa hali ya chini unaweza kufanya biashara ndogo ndogo
kwahiyo kama ni bata la hela ndefu hata Dar haiingi kwa Arusha mkuu
Hii Arusha hua ni kuikuza kuza hakuna lolote...mimi ninafanya kazi hapa Arusha mwaka wa tisa sasa na nyumbani kwangu ni Mwanza,maelezo mengi wala hayasaidii nitajichosha bure, Arusha mnaikuza bure tu haina la kutisha sana,kila kukicha mnaongelea watalii ambao wakishuka wanapotelea huko Karatu,Ngorongoro na Serengeti,Arusha ni mikwara tu mzee ni ya kawaida na inaziwa kwa 80% na Mwanza
 
Arusha ni mji wa kitalii na fursa zake zinahitaji mtaji mkubwa
Mwanza ni mji wa watu wengi wa hali ya chini unaweza kufanya biashara ndogo ndogo
kwahiyo kama ni bata la hela ndefu hata Dar haiingi kwa Arusha mkuu
hapo umetuuza bhana mdaz kusema kwa bata hata dar haiingii kwa chuga....kama umefika dar bas huwez linganisha bata la dar na mji wowote hapa bongo....tutakuwa tunadanganyana ...dar itabaki kuwa dar na wala hatuhitaji kuiongelea hapa sababu dar ndio tz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom