Battle: Magufulians vs Anti-Magufuli

Magu alishindwa ku balance mambo yake. Siku zote unapokuwa kiongozi usitake kuwa mtawala.

Kuna tofauti kati ya kiongozi na mtawala. Sasa Magu alijiona mtawala kama absolute monarchy fulani kama Kim Jong Un. Aliamua alilotaka bila kujali miongozo mbali mbali iliyopo kama katiba n.k

Alichukia sana mtu yeyote alieenda kinyume nae (aliempinga) au alietaka kumshauri. Na hili limesababisha akaua watu na kutesa wengine. Kesi zakubambikiwa kila siku. Wenye hela wote walitingishwa.

Japo kuna mazuri mengi pia aliyafanya kama kuwa na msimamo na kutekeleza miradi kadhaa bila kusua sua na uchapakazi mtimilifu lakini alishindwa kujua kuwa katika nafasi aliyokuwepo lazima kuwe na watu ambao hawatakubaliana nae. Hivyo alipaswa kujua kuwa lazima akosolewe na kushauriwa.

Pia ni rais ambae alikuwa anapenda maendeleo ya vitu na sio watu. Ndio maana yeye alikuwa kila siku ni miradi na uzinduzi wa miundombinu tu. Mara madaraja mara barabara, reli n.k.

Alishindwa kutambua kuwa 'standard' way ya kupima maendeleo ni kuangalia GDP per capita. Yani uchumi wa mtu mmoja mmoja.

"GDP per capita measures the economic output of a nation per person. It seeks to determine the prosperity of a nation by economic growth per person in that nation."

Ni ajabu sana unakuta serikali inanunua ndege, inajenga miundombinu kibao lakini hali za watu ni tete wengi per capita income ni chini ya dola moja. Hivi mtu ambae hana uhakika wa kula au kuvaa anaweza kwenda kupanda ndege? Ndio maana ATCL inajiendesha kwa loss.

Ilitakiwa focus ingekuwa kwenye per capita income ili watu wakishakuwa na hali nzuri wanafanya manunuzi biashara zinakuwa serikali inapata kodi na mzunguko wa hela unakuwepo. Baada ya hapo serikali inafanya hizo projects na zinakuwa na tija kwa wananchi na serikali kwasababu watu wata afford kuzitumia kwasababu wana hela.

Tatizo mzee aligoma kushauriwa. Sijawahi kufikiri kuwa nchi hii hatuna wataalamu wa uchumu wenye uwezo wa kumshauri rais. Hata sisi ma laymen tunaobumba bumba tunaweza kuona concepts za kiuchumi rahisi kama hizi.
Alilenga kujenga miundo mbinu ambayo ingemfaidisha mwananchi baadaye aliona akibeba yote yatamshinda akaamua kusimama kwenye msingi utakaosababaisha baadaye GDP KUPANDA
 
Watu wenye upeo finyu wa kufikiri ndiyo walimpenda jamaa, alikuwa shallow kwenye mambo mengi sana, roho mbaya, aliwachukia wazungu na matajiri kutokana na ushamba wake na malezi ya kimaskini aliyokulia (ni tabia ya waTZ wengi sana hii, sadists, na ndiyo aliwawakilisha na walimpenda, ndiyo hao leo wanawachukia akina Vunjabei, Diamond, Dewji, January, Rugemalila na watu wote waliofanikiwa, bila sababu za msingi), kwake yeye kukutana na watu na wadau na kuliongezea taifa connections aliona ni anasa, akaona aje akwapue hela za Rich and middle class people, Kwa kuwa kundi hilo ndiyo dogo zaidi TZ and maskini ni wengi, basi hao maskini/wanyonge walifurahia!! Ametuachia balaa la wamachinga ambalo kwa sasa serikali hata haijui idili nao vipi!! ITOSHE TU KUSEMA MIEZI SITA YA KIFO CHAKE HATA MAMA JANETI AMENAWIRI NA KUTAKATA. The MF was a devil
1632360581931.png

Baada ya kumtembezea Kipondo
1632360743139.png

Mother sasa amewaka, hadi mwanya umetoka, reflection kwamba alikuwa kwenye mateso makubwa, mateso ambayo waTZ tuliyaonja kwa miaka 6 tu na namba tuliisoma
 
hakuna kijana anayetumika hapa wote tunaakili timamu Kama wewe unamkubali Mimi simkubali usiforce tufanane Arif!
Alafu vijana mnatumika sana kwenye siasa...inawezekana unajua au huju.
Inawezekana hujui. Ila nakuunga mkono kuna watu wengine kwa misimamo yao tu walikua hawakubali harakati za JPM.

Ila kama ulibadilisha msimamo kwa JPM kupitia wanaharakati wa majukwaa tofauti tofauti... basi wewe ni mhanga.

Waliweka wazi kabisa kua haya mambo wameyasomea(wanayafanya kwa weledi wa hali ya juu mtu wa kawaida kutambua sio rahisi).

Wanalibya na sakata la Gadafi sio kwamba walikua wajinga la! Kuna wataalamu (experts) walicheza na akili ya jamii.
 
Watu wenye upeo finyu wa kufikiri ndiyo walimpenda jamaa, alikuwa shallow kwenye mambo mengi sana, roho mbaya, aliwachukia wazungu na matajiri kutokana na ushamba wake na malezi ya kimaskini aliyokulia (ni tabia ya waTZ wengi sana hii, sadists, na ndiyo aliwawakilisha na walimpenda, ndiyo hao leo wanawachukia akina Vunjabei, Diamond, Dewji, January, Rugemalila na watu wote waliofanikiwa, bila sababu za msingi), kwake yeye kukutana na watu na wadau na kuliongezea taifa connections aliona ni anasa, akaona aje akwapue hela za Rich and middle class people, Kwa kuwa kundi hilo ndiyo dogo zaidi TZ and maskini ni wengi, basi hao maskini/wanyonge walifurahia!! Ametuachia balaa la wamachinga ambalo kwa sasa serikali hata haijui idili nao vipi!! ITOSHE TU KUSEMA MIEZI SITA YA KIFO CHAKE HATA MAMA JANETI AMENAWIRI NA KUTAKATA. The MF was a devil
View attachment 1948940
Baada ya kumtembezea Kipondo
View attachment 1948946
Mother sasa amewaka, hadi mwanya umetoka, reflection kwamba alikuwa kwenye mateso makubwa, mateso ambayo waTZ tuliyaonja kwa miaka 6 tu na namba tuliisoma
Mkuu JPM alokua sio mtu wakawaida (Aina ya elimu aliokua nayo na uzoefu kazini (alikua anaijua hii nchi vizuri mno, pia na attitude/uzalendo aliokua nao)), Ni combination moja matata,na Ni ngumu sana kumpata mtu wa aina hii, ukisikia watu wanasema "pengo lake halizibiki" basi hii ndio maana halisi.

Arafu haya mambo mbona aliweka wazi hotuba zipo ila kumuelewa kiufasaha zaidi ilitakiwa akili ui-twist kwenye intellijensia mode.

Sasa tunarudi kwenye point kuu JPM ALIKUA ANALENGO GANI NA NA TANZANIA.
Yani ni sawa sawa mwanafunzi anayemshitakia mwalimu kwa mzazi wake eti mwalimu kanipiga kwa kunionea, Hapa mzazi anayejitambua atajua tu mwalimu hawezi kumpiga bila sababu kuna kosa kalifanya,

Wakati huo huo mzazi anatambua kua lengo la mwanangu kusoma ni kufauli(kupata elimu bora) hivyo mwalimu anatimiza wajibu wake kazini.
 
Watu wenye upeo finyu wa kufikiri ndiyo walimpenda jamaa, alikuwa shallow kwenye mambo mengi sana, roho mbaya, aliwachukia wazungu na matajiri kutokana na ushamba wake na malezi ya kimaskini aliyokulia (ni tabia ya waTZ wengi sana hii, sadists, na ndiyo aliwawakilisha na walimpenda, ndiyo hao leo wanawachukia akina Vunjabei, Diamond, Dewji, January, Rugemalila na watu wote waliofanikiwa, bila sababu za msingi), kwake yeye kukutana na watu na wadau na kuliongezea taifa connections aliona ni anasa, akaona aje akwapue hela za Rich and middle class people, Kwa kuwa kundi hilo ndiyo dogo zaidi TZ and maskini ni wengi, basi hao maskini/wanyonge walifurahia!! Ametuachia balaa la wamachinga ambalo kwa sasa serikali hata haijui idili nao vipi!! ITOSHE TU KUSEMA MIEZI SITA YA KIFO CHAKE HATA MAMA JANETI AMENAWIRI NA KUTAKATA. The MF was a devil
View attachment 1948940
Baada ya kumtembezea Kipondo
View attachment 1948946
Mother sasa amewaka, hadi mwanya umetoka, reflection kwamba alikuwa kwenye mateso makubwa, mateso ambayo waTZ tuliyaonja kwa miaka 6 tu na namba tuliisoma
Hao akina Rugemalira si ndiyo mlituaminisha ni wapigaji wasioweza kuguswa?
 
WEWE MPUMBAVU SANA,,UNADHANI TANZANIA ITAIBIWA TRILLION HARAFU IMF NA WORLD BANKA WANAOKAGUA BANK KUU WASIKUMEZE NAKUKUTANGANZA DUNIA NZIMA?
PILI NIPE UTHIBITISHO WA MIRADI YA MATRILLION ILIYOPELEKWA WILAYANI CHATO AMBAYO WILAYA ingine wahajawai kuwanazo?

Alikua Mwizi aliyejificha kwenye kivuli Cha Uzalendo uchwara, Hii ilidhihirika pale alipokuwa waziri wa ujenzi baada ya kuchukua nyumba za Nation Housing maeneo ya upanga na Oysterbay na kuwapa ndugu,marafiki na hawara kwa janja janja za nyani
Yaani kiufupi ni alifoji document Kwa kuzuga kauza kumbe kajiuzia mwenyewe Kwa Bei ya maandazi!

Harafu Sasa alikataa kukaguliwa na CAG prof Assad upotevu wa zaidi ya Tsh trillion 1 zilizopotea kimagumashi na Kwa kutopitishwa na bunge,
Akamuundia zengwe CAG Kwa kumstaafisha chini ya kamati ya roho mbaya wakiongozwa na Kimbunga Jobo wa pale Makao Makuu ya Bunge!

Miradi ya Matrillion kupelekwa kijijini kwao Chato ikiwemo intanational airport ambapo haikuidhinishwa na bunge Wala kukaguliwa na mkaguzi Mkuu wa serikali yaani CAG

Naanza na hayo kwanza nakuja na povu la buku jero kumkandia Nduli Jiwe!
Keep waiting!
 
Tukiwaita nyumbu mnakataa ona Sasa ulivyo zwazwa hivi Kwa akili zako unadhani jiwe hakukwapua mapesa?
Pole sana inaonekana mlilogewa Gambosh ndio maana mmekua vipofu na misukule
Kwa taarifa Yako huyo mzalendo uchwara alikwiba mapesa mengi kufuru jiulize kwanini aligoma kukaguliwa na CAG?
TOA USHAHIDI WA WIZI WA MATRILLION UNAOUSEMA?
 
Udini na ukibila kivipi? nipe orodha ya waliteuliwa na magufuri uniambie aroman walikuwa wangapi..lutherna wangapi..washea wangapi..etc ..na baada ya hapo nipe mcahnganua kama huo kwa kikwete na Samia..
Ukabila..nipe orodha ya walioteuliwa na magufuri amabo ni wasukuma wa geita..harafu nipe orodha wa watu waliona vitngo kama TRA,,wizara ya fedha tuone..je wachaga ni wachache au wasukuma ni wachache?






QUOTE="NIMEONA, post: 40290285, member: 562088"]
Shida yenu nyie watu wa magufuli ndo hiyo tu, UJINGA! NI WAJINGA MNO! Mmeharibiwa akili na sasa mnekuwa km wafu fulani hiviiii....hamuwazi sawasawa. Aliyeenda kujikomba nani?!! Hv chuki hizo, majungu na wivu mlizoachiwa na Shujaa wenu wa kizamani (in msigwa's voice) zitaisha lini?

Kiongozi wenu alikuwa na mazuri yake lakini alikuwa na mapungufu yake pia. Moja ya mapungufu yake ilikuwa kutanguliza maguvu mbele, akili nyuma. Mengine ni UDINI NA UKANDA.

Amini nakwambia, kama una imani ya dini, Mungu ana maana yake kubwa katika kumtanguliza mh Magufuli......ana maana kubwa sana, ndo maana binafsi nawacheki tu na kucheka mnavyokufuru kila leo humu mnapojatibu kuziondoa frustrations zenu kwa kuwatwisha watu mizigo isiyo yao, eti wamemuua!! Mungu gani huyo wa kupenda kikundi kidogo na kuchukia taifa zima hili? Mi naamini analipenda taifa zaidi kuliko kikundi kidogo cha watu na ndo maana akafanya alilofanya; ana mamlaka makuu, angeweza kuzuia tu km angeona kuna haja ya kufanya hivyo! Acheni ujinga, viongozi wengine wataongoza kwa maono yao siyo lazima yawe km ya magufuli; watachukua mazuri na yale ya hovyo na kishamba watawaachia wafuasi wake mhangaike nayo!!
[/QUOTE]
 
Habari zenu wanajukwaa, baada ya kugundua kuwa mtu huyu imeshindikana kabisa kusahaulika ndani ya mioyo ya Watanzania na wasio Watanzania nimeona nianzishe uzi ambao utagusa pande zote yani wale wanaodhani alikuwa Rais bora na wale wanaodhani hakuwa Rais bora.

Ikumbukwe kwamba tangu amefariki mtu huyu imepita takribani miezi sita na siku kadhaa mpaka hapa ninapoandika huu uzi, sasa naomba wale Magufulians waseme kwanini wanadhani huyu alikuwa Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania na watoe sababu za kusema hivyo pia wale wanaodhani hakuwa Rais bora watoe sababu zao.

Ndugu zangu nimelazimika kuanzisha huu uzi kutokana na kile ninachokiona kwamba jina la Magufuli sasa limekuwa kama dini mana unapomponda tu kama pembeni yako kuna mfuasi wake basi hawezi kukuacha salama.

Hii imepelekea kutokea mikanganyiko na sintofahamu kwenye majukwaa mbalimbali inafikia kipindi unakuta mada haihusiani na Magufuli lakini uzi unaharibika kwa sababu ya u-Magufuli vs u-Anti Magufuli.

Sasa ndugu zangu tusiendelee kuharibu nyuzi za watu, kama una dukuduku lako kuhusiana na kiongozi huyu mashuhuri aliyewahi kuongoza Tanzania basi weka hapa dukuduku lako au maoni yako juu ya mwamba huyu yaweke hapa jamii ifahamu ni kwa namna gani kiongozi huyu alikuwa mzuri au mbaya.

Nianze na mimi binafsi msimamo wangu juu ya JPM, ni kwamba namuona kama Icon na benchmark ya viongozi waliopo na watakaokuja kwasababu zifuatazo


1. Muanzilishi wa Tanzania mpya. JPM alikuwa kiongozi mwenye uthubutu wa kuwakaripia viongozi wote walio chini yake kwa mamlaka aliyopewa kikatiba iwe ni viongozi wa kuteuliwa na yeye mwenyewe au wa kuchaguliwa basi viongozi walitii, ilikuwa ni utaratibu kwa viongozi wa Tanzania waliochini ya Rais kikatiba kujiamulia mambo watakavyo wao ikibidi hata kukaidi maagizo yanayotolewa na Rais, hii ilipelekea huko nyuma nchi yetu kupoteza muelekeo lakini chini ya JPM maagizo yakawa yanafuatwa na kasi ya utendaji ikawa kubwa kuwahi kutokea Tanzania.

2. Kiongozi mkweli daima. Mtu huyu alikuwa ni moja kati ya binadamu wachache wakweli, alikuwa mwanasiasa pekee asiyejuwa kuongopa, ilifika mahali akajiingiza kwenye mgogoro na wanasiasa wenzake ndani ya CCM kwakuwa wengi wao hawakuzoea ukweli, JPM akisema hili hapana basi juwa kwamba halitatokea au akisema hili linawezekana basi juwa hivyo, hakuwa mtu wa kupepesa macho, alikuwa na uwezo wa kuongea ukweli hadharani pasipo kuficha ficha kitu chochote, hii ikapelekea viongozi waliokuwa wanaendekeza siasa majitaka kumuogopa kwani mzee yule hakuwa akijali kama unatokea CCM au upinzani.

3. Msimamo mkali. Chini ya JPM tuliona Tanzania yenye msimamo na isiyoyumbishwa na mtu yeyote au taifa lolote lile liwe na uchumi mkubwa au mdogo, hii ikapelekea Tanzania kufahamika zaidi kimataifa na duniani kote.

4. Kiongozi mwenye maono. Hayati JPM alikuwa ni kiongozi mwenye maono, hili liko wazi kwani maono yake hasa kwenye nyanja za kiuchumi ndio zikapelekea nchi yetu kuingia uchumi wa kati kabla ya muda uliokusudiwa, hii ilitokana na maono na jitihada zake kuhakikisha nchi yetu inajitegemea kwa kuanzisha miradi iliyoonekana haiwezekani lakini chini ya uongozi wake ikawezekana, pia maono yake yalijidhihirisha hata kwenye ugonjwa ulioikumba dunia kwa sasa ugonjwa wa Corona, nchi nyingi duniani zimeanza kutumia theories alizozitoa Hayati JPM.

5. Kiongozi mwenye ushawishi. Hayati JPM alikuwa na karama ya ushawishi mbele ya jamii, alikuwa na uwezo wa kusema jambo fulani na jamii nzima ikakubaliana naye kwa asilimia kubwa, kiukweli kabisa hata leo hii JPM akiamka na akasema watanzania wachanje basi believe me dawa za kuchanja hazitatosha, hii ni kutokana na imani kubwa aliyojiwekea mbele ya jamii kwakuwa watanzania waliamini kwamba JPM ana upendo wa dhati kwa wananchi wake na hawezi kuwarubuni kwa namna yoyote ile.

6. Mtu wa Mungu. Licha ya mapungufu yake kibinaadamu lakini ni ukweli usiopingika kwamba JPM alikuwa ni mtu wa Mungu, siku zote za uongozi wake hakuacha kumtegemea Mungu na hili alilifanya hadharani kwa kumtaja Mungu popote alipoenda na watu wake wakaribu wanasema mzee yule ulikuwa ni utaratibu wake kumtanguliza Mungu mbele.

7. Kipenzi cha wengi. Ukiacha mitandao ambao kuna wachache wanaomsema vibaya Magufuli ni dhahiri shairi kwamba hayati alipendwa na wengi, hii ilijidhihirisha pale alipofariki, umati uliojitokeza haukuwahi kutokea na sidhani kama utatokea kwa siku za karibuni, sio kwamba walioenda kumuaga walienda kukejeli bali waliguswa haswa, vilio kila pembe ya waagaji na kila sehemu mwili ulipoenda, hii inathibitisha ni jinsi gani watanzania walimpenda kiongozi wao.

Yako mengi ya kumuelezea Magufuli lakini itoshe kwa haya niliyoyaandika kumuelezea, mengine niwaachie ninyi wenzangu karibuni.
Naona Jmt katika mgawany wa makundi MATATU narudia tena MATATU. MTANIKUMBUKA
 
06: Aliamsha hamasa ya watanzania ya kujiamini na kujiona kwamba wanaweza.
Hii naikubali hadi waganda na wakenya wakaaogoba kwani kwenye NGOs tulianza kujiamini nakuanza kuchukua nafasi lubwa wakati zamani zilikuwa chini ya wakenya na waganda kwa kisingizio cha kujua kizungu
 
Tafadhali Anti-Magu mnaposema Hayati hakuwa Rais mzuri mtoe sababu ambazo zitawashawishi Magufulians kwamba kweli mpendwa wao alikuwa sio kiongozi bora, kwamba waone nyie msiomuelewa mna sababu za kutomuelewa, yani wekeni hapa sababu za kueleweka na sio kutoa sababu zisizo na mashiko na ushahidi wowote.

Sisi Magufulians tunaamini kwamba Hayati alikuwa moja kati ya viongozi bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania na sababu za kusema hivyo tunazo na ziko wazi kabisa na tunaziongea kila siku, sasa nyie mnaosema hakuwa kiongozi mzuri mtuambie ni kwa vipi hakuwa kiongozi mzuri, usiishie tu kutukana haitasaidia na itatufanya tuamini kwamba mnaomchukia Magu ni chuki binafsi zaidi kuliko uhalisia na ndiyo maana mpo wachache tu na asilimia kubwa mnapatikana Jamii Forums na twitter.
Hawana points
 
WEWE MPUMBAVU SANA,,UNADHANI TANZANIA ITAIBIWA TRILLION HARAFU IMF NA WORLD BANKA WANAOKAGUA BANK KUU WASIKUMEZE NAKUKUTANGANZA DUNIA NZIMA?
PILI NIPE UTHIBITISHO WA MIRADI YA MATRILLION ILIYOPELEKWA WILAYANI CHATO AMBAYO WILAYA ingine wahajawai kuwanazo?
bwana mdogo kunywa maji upunguze wenge inaonekana wewe Bado ni ngumbalu,zile fedha alizosema CAG Asad hazionekani na jiwe akakataa jamaa kuendelea kufanya uchunguzi Kwa kumuundia zengwe la kumstaafisha wakiongozwa na Kimbunga Jobo zilitumikaje?
Acha kutetea ujinga Huyo unayemwona innocent Kwako alikua Mwizi Kama wezi wengine ila alijificha kwa kivuli Cha Uzalendo uchwara
Haya Ile miradi ya mwendokasi iliyojengwa Chato iliidhinishwa na bunge Gani?
Ilikaguliwa na CAG Gani?

Kwanini walificha ripoti ya Ile miradi?
Unaijua Mayanga Construction ambayo ilichukua tenda ya kujenga Chato international airport ilichukua zabuni kimagumashi wakati sheria inatakiwa tenda kitangazwa na kampuni itakayoshinda Zabuni ndio ipewe mradi
Ilikuaje ikafanya kazi kinyume Cha sheria Kama sio ulikua wizi wa mchana kweupe na order kutoka Kwa jiwe?

Kiufupi mtu wenu alikua mjanja mjanja tu Kama wajanja wengine!
 
TOA USHAHIDI WA WIZI WA MATRILLION UNAOUSEMA?
wewe acha wenge nitoe ushahidi Mimi nimekua CAG
Simlimchimba mikwara
Prof Assad asitoe ripoti ya upotevu wa matrillion ya Pesa Kupotea kimagumashi?
Mlimziba mdomo Kwa kumstaafisha Kwa lazima Ili asigundue janja yenu ya nyani
Miradi mingi iliyoenda Chato haikupitishwa na bunge
Ila Kwa ujanja ujanja wa jiwe,

Haya mlivyo zero brain mkajitangazia uchumi umepaaa
Tupo uchumi wa kati tutembee vifua mbereeee
Leo Kiko wapi?
Mlizoea propaganda uchwara kuliko uhalisia wakati hazina hamna kitu matokeo yake
Leo inabidi tukamuliwe Kodi na tozo za ajabu ajabu kuziba pengo kisa mtu mmoja Aliyekua anapenda sifa na propaganda za kijinga kutoka Kwa nyumbu Kama nyie
Madame President Samia
Aliingia hazina akakuta empty
Ikampasa auseme ukweli tu kwamba hali Mbaya kiuchumi

Ila Nduli alikua anajua kucheza na akili za nyumbu Kama nyie
😁😁😁😁😁
 
wewe acha wenge nitoe ushahidi Mimi nimekua CAG
Simlimchimba mikwara
Prof Assad asitoe ripoti ya upotevu wa matrillion ya Pesa Kupotea kimagumashi?
Mlimziba mdomo Kwa kumstaafisha Kwa lazima Ili asigundue janja yenu ya nyani
Miradi mingi iliyoenda Chato haikupitishwa na bunge
Ila Kwa ujanja ujanja wa jiwe,

Haya mlivyo zero brain mkajitangazia uchumi umepaaa
Tupo uchumi wa kati tutembee vifua mbereeee
Leo Kiko wapi?
Mlizoea propaganda uchwara kuliko uhalisia wakati hazina hamna kitu matokeo yake
Leo inabidi tukamuliwe Kodi na tozo za ajabu ajabu kuziba pengo kisa mtu mmoja Aliyekua anapenda sifa na propaganda za kijinga kutoka Kwa nyumbu Kama nyie
Madame President Samia
Aliingia hazina akakuta empty
Ikampasa auseme ukweli tu kwamba hali Mbaya kiuchumi

Ila Nduli alikua anajua kucheza na akili za nyumbu Kama nyie
Aliyetangaza Tanzania ipo uchumi wa kati ni nani
 
Back
Top Bottom