ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 73,160
- 135,862
Naona unajipa matumaini maskini 🤣🤣After seeing the refurbished coaches Tanzania has got. I can now proudly say that Kenya got a better deal.
View attachment 2426153
Naona unajipa matumaini maskini 🤣🤣After seeing the refurbished coaches Tanzania has got. I can now proudly say that Kenya got a better deal.
View attachment 2426153
Tanzania sgr design can accommodate train speep of up to 205 kph without design changes you just buy high speed trains while yours only 120kphKenyan sgr is Chinese class 1 rail, hiyo sgr AREMA standard uchwara Tanzania haifikii sgr ya Kenya buda.
Just look at the size of pillars, gradient, and curvature of Kenya sgr and compare na huo ujinga wenu huko south. Nyinyi ndio SGR iko capped at 160km/hr maana mshafanya electrification
View attachment 2426549
Kupigwa ni kupigwa tu hata ujifarague vipi.Tumepigwa lakini sio kama Tanzania tayari sgr ya Kenya ishabeba 9m passengers wakati Tanzania ni hadithi tuView attachment 2426551
Na haifiki 120 ikienda sana ni 90 na full vibration🤣🤣🤣Tanzania sgr design can accommodate trains moving up to 205 kph while yours only 120kph
Vibration lazima iwepo kwenye jointed rail pia diesel engine lazima imwage kamasi.Na haifiki 120 ikienda sana ni 90 na full vibration
🤣🤣 wakenya wanaskia uchungu sana kuhusu SGR tanzania gani wanaumia kupindukiaVibration lazima iwepo kwenye jointed rail pia diesel engine lazima imwage kamasi.
Hii sio expressway ni mavi yako haya, hakuna infrastructure ipo EA ikakosa kuwepo Dar ila kuna infrastructures kibao zipo Dar huwezi kuziona East and Central Africa, hii hapa Kimara -Kibaha expresswayRoads in Mombasa City..., hizi zingekua Dar wangesema ni expressway ama superhighway.., The best 007 zoea pwani ya Kenya..,
View attachment 2426277
View attachment 2426279
View attachment 2426281
View attachment 2426284
View attachment 2426285
Airport mbili za nn sasa wkt Dar kuna airport kubwa kuliko zote EA.Wewe bongolala hupendi kukosolewa. Ubishi mithili ya mama mjamzito. Kama aliyosema ni uwongo tuonyeshe airports mbili zilizopo Dar
Hiyo Ridgeline siyo SUV, ni gari ya kazi (pickup truck).
Kuna gari nyingi ndogo ziko comfortable tuu na bei zake poa. Kama watumishi wanataka ma SUV si watumie magari yao binasfi? Kwa nini waibebeshe serikali gharama kubwa?
Kweli, usimamizi unatakiwa uwe mzuri, lakini pia gharama inabidi zipunguzwe.
Huyu mtu huwa hata sitaki kumsikia, ni zero kabisa. Mama anapenda kuwaondoa watu makini na kuwaweka vilaza. Angalia Hapi, alikuwa mchapakazi mzuri sana, kamuondoa. Kijana wa watu ameamua kujilimia zake pili pili, nako huko kutusua tuu.
How are you content with 160km/hr while people are complaining for being short changed. You promised us bullet trainsTanzania sgr design can accommodate train speep of up to 205 kph without design changes you just buy high speed trains while yours only 120kph
At the moment we are content with 160kph trains.
Apa unatudanganya...kama reli yenu imejengwa na wachina ulitegemea iweje tofauti na standard za kichina?Kenyan sgr is Chinese class 1 rail, hiyo sgr AREMA standard uchwara Tanzania haifikii sgr ya Kenya buda.
Just look at the size of pillars, gradient, and curvature of Kenya sgr and compare na huo ujinga wenu huko south. Nyinyi ndio SGR iko capped at 160km/hr maana mshafanya electrification
View attachment 2426549
Hii ni expressway ya aina gani unatembea 50km/hr?joker plzHii sio expressway ni mavi yako haya, hakuna infrastructure ipo EA ikakosa kuwepo Dar ila kuna infrastructures kibao zipo Dar huwezi kuziona East and Central Africa, hii hapa Kimara -Kibaha expressway View attachment 2426600View attachment 2426602
haya! umesema muko na muundo msingi yote..Hii sio expressway ni mavi yako haya, hakuna infrastructure ipo EA ikakosa kuwepo Dar ila kuna infrastructures kibao zipo Dar huwezi kuziona East and Central Africa, hii hapa Kimara -Kibaha expressway View attachment 2426600View attachment 2426602
Tuonyeshe biggest and modern Airport Kama hii ya JNIA terminal 3Wewe bongolala hupendi kukosolewa. Ubishi mithili ya mama mjamzito. Kama aliyosema ni uwongo tuonyeshe airports mbili zilizopo Dar
Inatengeneza hasara kubwa kila mwaka, Haina faida yoyote kwa nchi, huenda bandari yenu ikachukuliwa na wachina ili kulipa deniTumepigwa lakini sio kama Tanzania tayari sgr ya Kenya ishabeba 9m passengers wakati Tanzania ni hadithi tuView attachment 2426551