Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

huu ni mtego babu! wee subiria the Mirror itakavyoshupalia hii issue!
Wazanzibar Wana matatizo Sana, wanakataza makampuni yanayouza "alcohol" kudhamini ligi ya Mpira wa miguu lakini wanaruhusu hivyo vinywaji kuuzwa Zanzibar, yaani kunywa, kuuza alcohol inaruhusiwa lakini matangazo hayaruhusiwi, huo Si unafiki?, wacha waonje kibano.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hizi zimekua gari za maRC sasa

Screenshot_20220828-191544.png
FdRX09yXEAcdAEZ.jpeg
 
Upanga Kuna gorofa Tatu zenye ziko na 20+ floors Ambazo ni
1. Uhuru height 27 floors
2. Viva tower 21 floors
3. Vijana tower 20 floors ..

View attachment 2364998
Vijana tower View attachment 2365002and the rest of Upanga majengo marefu yote ni Kati ya floors 10-19 👇View attachment 2365003View attachment 2365004View attachment 2365005View attachment 2365006View attachment 2365007.. tuusan. Hiyo mbwa insumbuliwa na wivu na roho mbaya tu
Yani Mkenya aone wivu juu ya gorofa tatu za 20 floors? Enda hospitali wee.
 
Jozi hawafi njaa kama ninyi wala hawana deni la trillion 9 kama ninyi kiasi mnashindwa hata kucover 30% ya budget yenu bila misaada na mikopo

Level yenu ni majirani zenu wa karibu kabisa Somalia na Sudan
Kiongozi hawa huwezi kushindana nao humu ndani maana huwa wana argue tuu for the sake or arguing hamna reasoning yoyote.

Kuhusu hiyo mada hapo juu Kenya ni sawa na mtoto au mtu aliyezaliwa pipeline, kukulia pipeline na kukaa pipeline lakini anashinda Karen mchana jioni hurudi pipeline.
 
Hawa watu hawana kazi ya kufanya zaidi ya kula hela za serikali bure tuu. Hivi vyeo vya RC na DC vinapaswa kufutwa kabisa bora tuchague magavana katika provinces ambao tutaweza kuwawajibisha moja kwa moja.
Mkuu mbona wabunge na madiwani tunaowachagua, au hata rais tunaemchagua hatuwawajibishi zaidi ya kupiga kelele?, Bado rais anaendelea kuzurura hovyo pamoja na kelele za raia?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwani Tanzania ndio haikopi?
Hivi ni kipi usichokielewa?, Hata rais wenu mpya amesema kwamba Kenya mnaishi kuliko uwezo wenu unavyoruhusu.

Nchi hazipaswi kukopa zaidi ya uwezo wake wa kulipa deni, matokeo yake ni kwamba hakutokua na miradi mipya ya maendeleo kwasababu pesa yote itakua ikilipa deni la miradi ya zamani.

Kenya hivi Sasa katika kila Ksh 100 inayokusanywa na serikali yenu
1) 40 inaenda kulipa madeni
2) 52 inaenda kulipa mishahara ya watumishi wa umma
3) 8 ndiyo imebaki kwa ajili ya huduma zote za kijamii na miradi ya maendeleo mipya, Sasa hapo Kuna nchi kweli?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mbona hawa TRC wanafanya kazi kwa kubahatisha? Mtu ambaye ni mtaalamu/mahiri na kazi yake hawezi kuwa wa kubashiri bashiri kila wakati, kuna namna hapa siyo bure!!
Handover inakuaga approved na consultant au client ? Nauliza sijui kwa kweli
 
Hawa watu hawana kazi ya kufanya zaidi ya kula hela za serikali bure tuu. Hivi vyeo vya RC na DC vinapaswa kufutwa kabisa bora tuchague magavana katika provinces ambao tutaweza kuwawajibisha moja kwa moja.
Serikali inahubiri maji lakini inakunywa divai, waziri alisema wanapunguza matumizi ya kuendesha serikali hasa ununuzi wa magari na matumizi ya mafuta ila aliesema hivyo ndio kiongozi wa kwanza kununua 300 vxr serikalini

FdUOxRJXkAAgCYn.jpeg
 
Back
Top Bottom