Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 12,937
- 16,675
Ichoboy alienda akamuachia ujinga.Huyo achana naye. Kupingana naye ni kuharibu wakati. 🤣
Ichoboy alienda akamuachia ujinga.Huyo achana naye. Kupingana naye ni kuharibu wakati. 🤣
True 🤣 🤣 🤣Ichoboy alienda akamuachia ujinga.
Kaenda na Gulfstream G550Huyu rais kbla hajaenda kenya kuhudhuria uapisho wa ruto, nilitaka kuandika humu akitoka kenya ataenda UK kwenye mazishi. Ase kaenda kweli bana
Yeah naona actually inapiga kazi sana sikuhiziKaenda na Gulfstream G550
Za world Bank walipewa strabag , bado world Bank wamefinance. Pia kuna phase iko financed na France , sidhani kama kampuni za France zitapewa hiyo tender?hizo hela (za kujenga BRT) zina wenyewe (nchi), na sehem kubwa zitaenda kwa wenyewe (tender kupewa kwa contractors wa hizo nchi).. sio suala la serikali kuamua tu.. nadhan umeelewa
Huyu jamaa ni mmoja wa viongozi wa kiafrika ambao wako famous dunia nzima .what a daring spirit alipoanzisha Tanzania. Apumzike kwa amaniase .. aendelee kupumzika tu kwa aman
Kuna hili garden inaboreshwa pale mnazi mmoja patakuwa patamu sanaMnazi mmojaView attachment 2359753
Kuna article nilisomaga nisha sahau source yake ilikua inasema yapi markez pamoja na experience ya ujenzi reli Tanzania ndio wamewapa tender ya ujenzi wa reli ndefu zaidi . Tena wao wako well experienced na light railwaysfedha za WorldBank na AfDB ni kandarasi iliyokidhi zigezo kinachotakiwa ni Estim kuwa na portfolio ya kuonyesha miradi kama hiyo waliyotekeleza! As things stand wana chance ya kuweza kushinda tender wanahitaji good lobbying!
ni kweli!Kuna article nilisomaga nisha sahau source yake ilikua inasema yapi markez pamoja na experience ya ujenzi reli Tanzania ndio wamewapa tender ya ujenzi wa reli ndefu zaidi . Tena wao wako well experienced na light railways
Sasa nini maana ya sgr yenu?Hapa ukapata contract unaomoka kuomoka. That is a cool 500km of dual carriageway. Hehehe, niliona wengine wakiringa na 8km dual carriageway Mwanza.
Sio kila kitu IMF wapo sahihi mzee, leta vice-versa ya hii basi 🙄Tuliambiwa ati Kenya imports more than Tanzania yet IMF data shows that both are in the same category 😂
View attachment 2359329
2 lanes Uchochoro 😂😂😂Kisumu is better than all the cities in Tanzania outside Dar.
View attachment 2359330View attachment 2359331View attachment 2359332View attachment 2359334
ulitaka aende na dreamliner nn? 🤷♂️Kaenda na Gulfstream G550
Ondoa filters sasa 🤣Huo ndiyo ukweli ila tu watanzania tunapenda kujisifia ujinga View attachment 2359346