Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kitu kikiwa chenu bhana mnafanya mnavyotaka, sasa hawa jamaa zetu warongwe wajaribu hili kwenye Chinese Expressway uone mwenye barabara atakavyowatimua…..View attachment 2227915
View attachment 2227916
View attachment 2227917
View attachment 2227918

#ChampionsLeagueFinalWithaStyle.
#RoyalTour
#TheMightyTanzaniteBridge
Inaonekana kuna mgeni huku..
It's not a new thing for roads to close down for major events.. najua haijawai kufanyika huko kwenu ndo maana hata unaleta CGI badala ya picha, ila kama haijafanyika, ni vema kusubiri ifanyike kwanza ndio angalau ulete picha nzuri kama hizi ambazo hazijapitia editing hata..
20220508_155456.jpg
20220508_155442.jpg
1652005760195.png


 
Umeskia excuse ni gani? Ati wakenya ni wengi kuliko watanzania 🤣🤣🤣
I guess sa kenya tuko kedo 140 million ivi which is double, Tz ndo pia hio 800k na 400k itakuwa imebalance 🤣
Hawa watu hawakosangi vijisababu. When did Kenya's population surpass Tanzania's? Isn't Tanzania the most populous country in EA?
 
And to add, health sector is mostly devolved (whith most functions being under the county governments). So in reality, Kenya's health sector funding may be 5 or 6 times what Tanzania spends in the sector.
And it's the same story in all the other areas of the economies if you compare the two countries
Absolutely right, Counties get ksh 407 bn and each county has its own Health budget... heaven and earth...
images - 2022-05-17T231149.172.jpeg
images (13).jpeg
 
gas.JPG

Unamuongelea mama Samia aliyesema mafuta Marekani ni ghali kuliko Tanzania? Picha hii ni ya majuzi, bei inapingana na maneno yake.

Unleaded (regular) gas price ni $3.95/gal

1 gallon = 3.785liters = $3.95
1 liter = $(3.95/3.785 ) = $1.043 = Tsh (2,326 x 1.043) = Tsh 2426

Je, bei ya mafuta Tanzania ni chini ya Tsh 2426?
 
Uliza huyo kilaza mwenzako kama unajua mahali Kisii town ipo.
Muulize kama unajua mahali Narok town ipo.
Muulize Malindi town inapatikana wapi hapa Kenya.
Muulize Thika town ipo wapi.
Ask him if he knows the location of Garissa town.
Ask him the same question about Embu town.
What about Meru and Isiolo towns?
Anajua mahali Kitale town inapatikana?
Na Moyale je?
Vipi kuhusu Nyeri town? Na Nanyuki je?
Migori town anajua inapatikana wapi?
Has he heard of a town called Bomet?
😅😅 Mtu kama huyo unamdismiss tu, no need kumention kitu
 
Wewe Chamoto na Justinr nani aliwadanganya kwamba magari sio asset? mnasema eti kwamba magari ni liability? Mnatia aibu sana aisee. Mambo ya uhasibu wacheni kama hamyawezi. Mzee wenu The best 007 aliyesomea haya mambo aje awasahihishe.
magari ni fixed na noncurrent assets!
Hiyo ni definition ya kimasikini, matajiri huwa wanamaana tofauti wanaposema asset. Kwao gari ni asset pale tuu inapokuingizia pesa (mf daladala, taxi, rental n.k). kama haikuingizi pesa inakuwa liability kwasababu utaigharimia bima, mafuta, usajili na matengenezo... wakati thamani yake ikishuka.

Exception ipo pale tuu unapoitunza kama classic car, ambapo thamani yake huongezeka kila mwaka kutokana na rarity yake.

Matajiri huwa wananunua jets ili kununua muda wa kufanya biashara kubwa haraka na hivyo kuzifanya jets hizo kuwa asset.
 
And to add, health sector is mostly devolved (whith most functions being under the county governments). So in reality, Kenya's health sector funding may be 5 or 6 times what Tanzania spends in the sector.
And it's the same story in all the other areas of the economies if you compare the two countries
i always tell them tht, kenya being the larger economy, will always dorminate in every other front. but they'll never buy my words.... and especially The best 007 and joto la jiwe.
they should knw tht the gdp per capita is directly proportional to the well being of citizens of a given country across the world. that said, kenya is more than double their per capita... ie. whatever a tanzanian has.. a kenyan has more than ×2 tht.. be it the size of house or even the no. of bottles of beer on the table, at any given tyme..
so wht will u expect.? a tanzanian to be richer...!? their's no miracles here... its pure logic
 
Hakuna kujipendekeza hapa. Ukweli ndio hampendi.
800k students vs 400k students hapo kuna battle kweli? Halafu mwishowe tukileta zile data za HDI na nyinginezo mnaanza kutoa povu eti zimepikwa. Poor bongolalas!
Hiyo inaonesha jinsi mlivyo wengi kuliko sisi na mnazaliana sana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo ya Uhasibu ni mambo ya kitaalam kabisa. Sio mambo ya wewe kuleta opinion yako hapa. Wewe chongchung na Justinr mnatabia za kutoa opinion hata kwa mambo msioyaelewa. Hivi nikuulize wewe chongchung umesomea uhasibu? Mimi nimeisomea na ukiniitisha certificates zangu naweza kukuletea.
If I'd a choice to choose one definition of an asset, from a fat potbelly middle aged accountant who can't rub two nickles together and a billionaire, I'd choose the latter. Seven days a week and twice on Sundays.
 
Uliza huyo kilaza mwenzako kama unajua mahali Kisii town ipo.
Muulize kama unajua mahali Narok town ipo.
Muulize Malindi town inapatikana wapi hapa Kenya.
Muulize Thika town ipo wapi.
Ask him if he knows the location of Garissa town.
Ask him the same question about Embu town.
What about Meru and Isiolo towns?
Anajua mahali Kitale town inapatikana?
Na Moyale je?
Vipi kuhusu Nyeri town? Na Nanyuki je?
Migori town anajua inapatikana wapi?
Has he heard of a town called Bomet?
Sasa mbn umepanic bro
 
Back
Top Bottom