dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
karibu kanairo, karibu kenyaNimepata watoto wa kisomali muda huu😄😄😄View attachment 2224188
karibu kanairo, karibu kenyaNimepata watoto wa kisomali muda huu😄😄😄View attachment 2224188
Sura za Mombasani hizi ndg ShebbyNimepata watoto wa kisomali muda huuView attachment 2224188
Mbona mradi umesimama hela imekata au hakuna political will.Wakunya nilwauliza progress ya brt mkanipotezea nimeamua nije nijuonee mwenyewe asa hiyo state of the art ultra modern self driven ofice imenifurahisha tanzania tunatakiwa tuige View attachment 2224102View attachment 2224103View attachment 2224104View attachment 2224105View attachment 2224099View attachment 2224106View attachment 2224107
Wako ila sio kwa level ya kuhongwa maji.Kwa hivo unajua kile unachokifanya pia nawe ukishindwa unatukumbusha kuwa hatuna maji...what you don't understand is that there are challenges in Kenya just like the rest of the world, Tanzania is no different, therefore if you ask me about infrastructural projects in Nairobi don't expect me to show you sex workers.
Or are you going to tell me that there are no sex workers in Dar
Unataka kusema hakuna sex workers Dar? Ama hao hawafanyi kwa sababu ya umaskini, ni hobby yao
Ukiona hivyo njoo utie baraka kwanza nyumbani itakuwa asili inakuvuta.Saa nyingine ukiona unafanya kitu /vitu na haviendi sawa sawa, au unapawazia sana nyumbani hapo huna budi kurudi kwanza ili uweke mambo sawa n then uendelea na mambo yako.Pako vizuri kuna watoto aki ethiopia na wasomali ila siunajua napawaza sana home
Kwenye kuvaa kuna shida hapo napo.Nadhani wakunya wameona namna kijana anavyotakiwa avae.
Sio kijana unavaa kama mzee.
Ila ile tai na lile shati jeusi.
Huyu mkuda kila kitu anaangalia kwa angle ya test tubeTuliza jazba lab technician ndo safari inaanza
Sikumaanisha kilimo pekee tu ila nilitaka kusema kwamba pamoja na GDP ndogo waliyonayo lakini wanalima sana tofauti na nchi nyingi za Afrika, ardhi na rasilimali nyingine bado tunashindwa kutoka.Kilimo hakikupi utajiri huo unaoutazamia...Angalia kampuni ya Sumsung tu pekee yake inalipa kodi kiasi gani huko Korea, ama kampuni ya Boeing USA...wenye technology ndio wenye hela dunia ya leo
Mnamtafuta ubayaLab technician sio
Shauri yenyu vyenye mwenye anakujaNi kienyeji kinoma.
Tulia baba, hata uvae booty short i can really care less about it, inaitwa pun ama mzaha, usijitetee sana 😅View attachment 2224216
Acha makasiriko nyingine hiyo hapo 🤣🤣🤣🤣🤣
Wabongo wanakubalika kila sehemu aaafu nimejinyunyuzia oud of glory by initio perfume khatari😁😁😁Sura za Mombasani hizi ndg Shebby
Utajijua mwenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tulia baba, hata uvae booty short i can really care less about it, inaitwa pun ama mzaha, usijitetee sana 😅
Sasa hapa kwenye kupanda kwa bidhaa napo pakoje hapa? Watu wanapenda kutangaziwa ingekuwa kimya kimya pia wangeona hajapandisha. Wafanyabiashara utadhani huwa hawajui kuwa serikali ina wafanyakazi wachache kuliko ambao wako sekta binafsi.Zile habari Sukuma gang huwa hawapendi kuzisikia .
Mama kaupiga mwingi huku kwenye Mishahara
View attachment 2224232
Hiyo dhana huwa haina ushahidi wa kiuchumi bali ni porojo za kutunga tuu..Sasa hapa kwenye kupanda kwa bidhaa napo pakoje hapa? Watu wanapenda kutangaziwa ingekuwa kimya kimya pia wangeona hajapandisha. Wafanyabiashara utadhani huwa hawajui kuwa serikali ina wafanyakazi wachache kuliko ambao wako sekta binafsi.
Hii sifahamu mkuu.Hope so utakuwa uko vizuri sana kwa manukato hayo,hawa viumbe hupenda mwanaume smart.Wabongo wanakubalika kila sehemu aaafu nimejinyunyuzia oud of glory by initio perfume khatariView attachment 2224240l
Ngoja tuone itakuwaje.Hiyo dhana huwa haina ushahidi wa kiuchumi bali ni porojo za kutunga tuu..
Vyuma vitalainika Sana msimu huu,1.59 Til+bil.629 za sensa ni lubricants ya kutosha Sana hiyo itakayokuwa na multiplier effects kubwa Sana.