Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,402
- 7,567
Awamu ya sita tumefanya mradi mkubwa wa chanjo ya corona 😂Na bado uko hapa kunadi miradi ya awamu iliyopita, hakuna jambo jipya lililoanzishwa awamu hii hata moja, Watz leo hii tunawatambia Wakenya kwa juhudi za awamu iliyopita kama una kende weka hapa mradi wa awamu ya sita