Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona unajotoaga sana akili kamanda? Nadhani angekuwepo halafu hivyo vitu vishindwe kutekelezeka hapo ungemlaumu maana huo ni mradi ulikuwa unaendelea siyo kwamba ilikuwa imeshakamilika asilimia mia. Na wakati akiwa hai mbona mambo yalikuwa yanakwenda vizuri tu kwenye hiyo miradi? Nadhani swali la msingi kwa sasa lingekuwa kwamba "Serikali iliyopo madarakani inachukua hatua gani kurekebisha hayo mapungufu yaliyojitokeza?". Afterall, serikali ni ileile japo imejipa jina la awamu ya sita, manifesto ya chama ni ile ile sasa sijui tunamlaumu marehemu ili afufuke aje kumalizia miradi ama vp? Let us be responsible where necessary. Kulaumu tu hakujawahi kuleta mabadiliko bali kuchukua hatua ya kurekebisha au kuondoa kitu kinachokufanya ulalamike!
Mwenzako halaumu bali kasema ukweli, wewe ndio umekuja kulalama hapa

Ama uweke wazi tu ya kwamba hupendi ukweli
 
D5F2434C-240C-42DD-8ACD-85C4CC34059A.jpeg
 
Kwa hiyo hapa tatizo ni reli kuwekewa umeme au tatizo ni kujenga SGR au tatizo ni Interchange?. Hii inadhihirisha jinsi maendeleo ya TZ yanavyowauma. Hivi kama nyie ndio mngekuwa na SGR yenye umeme, na interchange kama ya Ubungo ungetapika huu tumbo kweli? ANGALIA USIJE UKAPATA VIDONDA VYA TUMBO KISA WIVU WA MAENDELEO. Tz is moving on.
that ubungo interchange of yours is laughable......what about it?
 
Mwenzako halaumu bali kasema ukweli, wewe ndio umekuja kulalama hapa

Ama uweke wazi tu ya kwamba hupendi ukweli
Kama unaona huo ndio ukweli basi wahi referral hospital kacheki cerebral cortex/cerebellum ya ubongo wako. Yawezekana kuna serious problem.
 
Yes, our SGR is $6M/KM compared to yours which is $9M/KM. Remember your line is not fully fenced.
Kwakuwa imeshakamilika au co? Alafu haya mambo ya SGR tushakubaliana yameisha cz no comparison at all, ukiona tunaweka picha za sgr humu co kwamba tunalinganisha bali tunapeana updates cc watz, no comparison btn Tz SGR and yours.
 
Huwezi mlaumu marehemu kwa hili kwasababu huna uhakika angefanyaje kama angekuwa hai. Ndiyo maana lawama zote zinaenda kwa mama.
Miradi aliyoacha marehemu ikiwa Poa anasifiwa mama, kukionekana kuna tatizo anarushiwa marehemu,
Upanuzi wa bandari ulipomalizika ikaja na meli kubwa kelele nyingi mama anaupiga mwingi, kwa nini wasimpe sifa aliyeanzisha?
 
WFP wameiweka Kenya ktk orodha ya mataifa yanaopokea misaada ya vyakula.Tena ikitoka N.korea mnafuata ninyi.
Sijui umenielewa?
Hao nimetoa mifano km kukazia kiujumla kwamba mnapokea misaada ya chakula.
Lini WFP walitoa msaada kwa raia wa kenya, nakusubiria zuzu
 
Ukweli mchungu wazenji mnajidanganya kuwa mnamiliki zanzibar ila ukweli upo tofauti na unazidi kuwa mchungu hadi sasa hivi ninavyo kuambia asilimia 30% ya ardhi imesha chukuliwa na mabeberu tena sasa hivi kuna maeneo mengi wananchi awaruhusiwi kufika baharini ni mali halali ya mabeberu
Kivipi? kwani sheria za ardhi siyo za muungano?
 
Tz is doing very well in that aspect usijisahau,we've done with dar port,JNIA T3 ,SGR will be operating soon,nyerere dam as well,hizi zote zitapump billions of money into our economy....Gold export inaingiza $2.8B as per 2021,our target is 5M tourist by 2025 tuzamishe $5B za utalii ,we r doing well
But still GDP ni $60b per capita $1,000
 
Tukiamua tuna rebase Kama wafanyavyo Kenya.Tz GDP ikiwa rebase itakua habari nyingine.Hatuhangaiki Sana kupandishi GDP ili kutanua wigo wa mikopo Kama afanyavyo Kenya ,Nigeria
Wacha uongo jamaa. Tanzania ilirebase uchumi 2013 na 2019 na bado Kenya ni double uchumi wenu.
 
Back
Top Bottom