Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haibadilishi ukweli, sababu topic sio mafuta bali gari, mafuta sio kwa magari tu, kwanza Tanzania ndio yenye storege kubwa ya mafuta ukanda huu, nina uhakika hayo mafuta mlioesabu mpaka ya intransit yamejumuishwa

View attachment 2088057
Kwani consumption ni ya transit kilaza?. kiswahili mtaandika tu, mtajitetea kwa lugha zote ila ukweli utabakia pale pale.., alafu unatumia statement ya a CCM politician for data πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ., lazima evidence iambatane na mnachodai., kwani gari zenu zinatumia maji? ama gesi? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ..,
 
Katika watu ambao hawawezi kumsahau Magufuli ni Wakenya, Kuna wale ambao walimpenda Sana Magufuli kuliko watanzania kwa jinsi alivyowatetea wanyonge (Hawa ni wakenya wengi wa hali ya chini), na wachache wanamchukia kwa jinsi alivyo "outsmart" utawala wa wakenya na kuipaisha Tanzania, Hawa wanaonyesha kufurahisha Sana na kifo chake, hadi Sasa machungu hayajawatoka
Always smart
 
So what?.., just a referral by a Dr, Nice, and the services are good, possibly cheaper pia na it is a sponsored mission, itabidi aende anako elekezwa, alafu lazima aseme uzuri wa services, so wewe unafikiria ina maanisha Tz ndio kuko heart surgery bora zaidi EAC kwa ajili ya hii clip?., "my penis is bigger than yours" child mentality, mzee bana .,
Duuhh yan bado unalinganisha ubora wa hospitals kati ya Tz na Kenya?
 
hiv hii ishu ya magari, mnaisemea Tanzania bara tu peke ake au hadi Tanzania visiwani Zanzibar? yani Bara na Zanzibar zipitwe na Kenya kwenye idadi ya magari? kuweni serious bas!
Tanzania ni bara na visiwani....
 
Wee zuzu kabisa, hujiulizi kwa nini umeme wenu uko juu?
kukua juu sio hoja, imefanyika tu hivi majuzi alafu sio juu sana to make any difference.., tofauti na Tanzania ni kidogo sana..,

Production costs in Kenya to drop by 10% on cheaper power – KAM​

The Kenya Association of Manufacturers says move to also bring down cost of goods.​

In Summary
β€’Kenya now has cheaper power compared to neighbouring Uganda, but remains expensive than Tanzania.
β€’On average, Kenya is at $0.14 (Sh16) per kWh, Uganda $0.158 (Sh17) while Tanzania is at $0.102 (Sh11.57) per kilowatt-hour.
1642595531075.png

Production at the East African Breweries Limited plant in Nairobi/FILE
The cost of manufacturing in Kenya could drop by up to 10 per cent once the government fully effects its power reduction plan, industry lobby now says.
The government plans to cut tariffs by 30 per cent, in two tranches and announced the implementation of the first phase of 15 per cent on January 7, to reflect in this month’s bills.
This brings down the cost of power for industries in the country by almost Sh4 per kilowatt-hour in what manufacturers say will make their products competitive in the region, on reduced production cost.

Kenya now has cheaper power compared to neighbouring Uganda, but remains expensive than Tanzania.
On average, electricity in Kenya retails at $0.14 (Sh16) per kWh, Uganda $0.158 (Sh17) while Tanzania is at $0.102 (Sh11.57) per kilowatt-hour.
Ethiopia has the cheapest power in the region with a unit going for $0.021 (Sh2.38).
The Kenya Association of Manufacturers (KAM), welcomed government’s and was optimistic local manufacturers will become more competitive once the 30 per cent reduction is fully implemented.
Energy accounts for up to 30 per cent of the production costs in manufacturing in the country, according to KAM chief executive Phyllis Wakiaga.
β€œKenya has had one of the highest tariffs in the region. Once the full reduction is effected, overall production costs are bound to drop by a five to 10 per cent margin,” Wakiaga told the Star on Monday.
The high cost of electricity has been attributed to various factors, including expensive Purchase Power Agreements (PPAs), high cost of fuel, multiple taxes and levies imposed on electricity bills, VAT and fuel cost adjustment.

There has also been a depressed demand growth and inefficiency in the system despite the increased power generation capacity.
The first tranche reduces the cost for commercial and industrial 1 (small consumers metered at 415V typically SMEs) from Sh20.38 per unit to Sh16.74, while commercial and industrial 2 (medium consumers metered at 11kV) will pay Sh16.01 down from 19.05.
Those under commercial and industrial 3 (large consumers metered at 33kV) will pay Sh15.89 per kilowatt hour down from Sh18.56, commercial and industrial 4 (large consumers metered at 66kV) Sh15.65 from Sh18.33, while commercial and industrial 5 (large consumers metered at 132kV) will pay Sh15.41 per unit, down from Sh18.08.
The power reduction is expected to come with a reduction in the prices of goods where traditionally, manufacturers have passed costs including that of power to consumers.
β€œWith this decrease, we expect that local manufacturers will also pass the benefits to consumers,” Wakiaga said.
High taxation, including duplication of taxes by the national and county governments, and an unpredictable tax regime in the country could however erode the gains from lower electricity tariffs.
β€œA key feature of tax policies in Kenya is that they are highly unpredictable. This leads to business uncertainty, which is detrimental to a conducive business environment,” Wakiaga notes.
President Uhuru Kenyatta last year announced the government would cut cost of power by 30 per cent, with both commercial and households benefiting.
''We are working hard to ensure that the next 15 percent tranche is effected in this quarter as promised,'' the Energy Ministry said in a statement on January 7.
This reduction is expected to boost social-economic growth by reducing the cost of living and that of doing business.
 
Wa kwanza

1. last time showing my personal Belongings, next time you ask me hata ukucha sionyeshi.


Wa Pili.

2. Mwaka huu ni Marupurupu tu hakunakugusa mshahara ,

kumbe kadownload facebook. bora wale wanadownload hela Forex.

View attachment 2088121
noted: NDINDA na @thebest007. ntarejea. i ll proof u wrong u pipo. yangu sio panganga. mafala hii. ntawahaibisha nyie watu
 
ichoke kwa nini..? mi ndo nimekua wa kwanza kupost hii southern bypass last week baada ya muda mrefu, hata hii barabara wengi wenu hamuijui,. ata hadi ichoboy akadhani eti southern bypass iko Busia border.
nb: hii superhighway, ndio ilio na interchanges mingi zaidi ya kukata na shoka kuliko barabara ingine yoyote ile. hii ndio barabara SSH aliitumia alipo zuru kenya mwaka jana, sababu mombasa rd was under heavy construction due to expresswy. naskia SSH ali tii barabara yenyewe

A Town in the jungle
Exactly, that's our end goal.
 
Back
Top Bottom