Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚Kampala., unapata tabu sana, yaani uko desperate nikuokota vipicha ovyo ovyo tu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
1638963517949.png
 
Cool, a section of UpperHill "city centre", Kimara ya Nairobi πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ weka Kimara nione..,
View attachment 2037033
View attachment 2037035
View attachment 2037036
Ila nyinyi mnachekesha sana kwahyo kumbe maneno ya Baba level mliyachukulia serious πŸ˜‚πŸ˜‚ unaujua umbali wa kutoka Kimara mpaka City center.? Hii enyewe mawasiliano &mlimani City ni km 13 away from CBD πŸ‘‡
Screenshot_20211122-151336_1.jpg
Screenshot_20210620-210925_1.jpg
hivi kwa kenya umbali wa Km 13 away from CBD unaweza kukutana na skyscrapers kweli.?.. we jamaa si unajinasibu unaijua DSM wewe.? πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbona ukaweka Old Taxi park Kampala? umefinywa, unatafuta pa kutokea, kama vile niweke hii hapa ya Dar.., sihitaji kuiponda Dar ndio Nai iyonekane, Nai iko sawa ata ukipanga sehemu zote za Dar hapa, utaishiwa pumzi tu, ukimbilie Kibera kujikomboa πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
1638964419044.png


Nairobi city centre
1638964638486.png

1638964649719.png
 
Ila nyinyi mnachekesha sana kwahyo kumbe maneno ya Baba level mliyachukulia serious πŸ˜‚πŸ˜‚ unaujua umbali wa kutoka Kimara mpaka City center.? Hii enyewe mawasiliano &mlimani City ni km 13 away from CBD πŸ‘‡View attachment 2037122 View attachment 2037135hivi kwa kenya umbali wa Km 13 away from CBD unaweza kukutana na skyscrapers kweli.?.. we jamaa si unajinasibu unaijua DSM wewe.? πŸ˜‚πŸ˜‚
Skyscraper moja ama mbili ni kitu ya kuongelea, na tunajua hiyo sehemu iko vipi kote kote., dogo kua serious wakati mwingine., tulieni na hiyo city centre moja tu., kisha City moja tu nchi mzima πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .,,
Off Mombasa road.., class vs gorofa mbili πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
1638964772790.png

1638964782303.png

1638964885580.png

1638968291891.png

1638964902037.png

1638965364580.png

1638965378172.png

1638965410271.png

1638965434645.png
 
Mbona ukaweka Old Taxi park Kampala? umefinywa, unatafuta pa kutokea, kama vile niweke hii hapa ya Dar.., sihitaji kuiponda Dar ndio Nai iyonekane, Nai iko sawa ata ukipanga sehemu zote za Dar hapa, utaishiwa pumzi tu, ukimbilie Kibera kujikomboa
View attachment 2037145

Nairobi city centre
View attachment 2037147
View attachment 2037148
Kampala au sio, jengeni wacheni ujinga, watu tunatumia pesa nyingi kubadilisha nchi nyinyi mnabaki kupakataa kwenu


Find similar images using
Screenshot_20211208-152915.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom