eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,640
- 13,772
Wewe sema tu kuwa hukusoma Civics. Ungeweza kuandika “sifahamu” Ila unataka kunikomoa Kwa majibu ya mkato! Huna lolote! Potea!
Mimi siyo wa level ya civics?
Lkn Pale Wizarani kuna wataalam wote kuanzia legal, finance, urban planning and development, education, health to name a few. Watakupa vigezo na masharti, halafu utaona kama kwenu kiboruloni kama kunakidhi vigezo na masharti ya kuwa jiji.