Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu sijajua arguments zinapingana zenyewe Kwanza kuna mkunya anasema kipawa ward ni slum lakini kipawa ilivunjwa ndipo ilipo airport terminal 3 . Angalia kule kurasini palibana sana wamenunua watu pamevunjwa kuna project ambazo ziko integrated na bandari zinaendelea . Angalia renovation ya mbagala kuu kuanzia barabara na kila kitu . Angalia kiwalani hadi buza , tandika na sehemu za tandika kuna tarmac road mitaani kabisa tena na taa za barabarani . Same to vingunguti kule inakopita reli walikua wananunua nyumba kama walivyofanya kurasini. So kuna improvement kubwa kwenye urbanization . Changes haziwezi kua kama mushroom yaani overnight tuzune uyoga

Tujenge miji mipya kama wenzetu (Nigeria, Kenya, Egypt, Angola n.k) tuache tabia ya kuimprovise na kuacha miji ijijenge yenyewe, kwa style hii we will never have beautiful cities kwa mahitaji ya muda wetu. Kigamboni hiyo imeachwa sasa inazidi kuvamiwa……baadae ndio utasikia tujenge sasa, gharama za kufidia zimeishakuwa mara kumi ya sasa. Ujuha huu.
 
Tujenge miji mipya kama wenzetu (Nigeria, Kenya, Egypt, Angola n.k) tuache tabia ya kuimprovise na kuacha miji ijijenge yenyewe, kwa style hii we will never have beautiful cities kwa mahitaji ya muda wetu. Kigamboni hiyo imeachwa sasa inazidi kuvamiwa……baadae ndio utasikia tujenge sasa, gharama za kufidia zimeishakuwa mara kumi ya sasa. Ujuha huu.
Ukiitoa Egypt ni nchi gani Kati ya hizo ulizotaja zimefanikiwa kujenga mji mpya.? 😂😂😂 Kujenga mji mpya unafkiri ni matako.? Kwamba kila mtu anayo.? Unaishi wapi bro.? Ulaya eeh.?
 
Nairobi

259130636_1041339759988288_2041786883949882270_n.jpg


259765415_1041339843321613_4059796753590405514_n.jpg

261059240_1041339859988278_3577878118787516991_n.jpg
Imagine ikianza kutumika🔥🔥🔥🔥🔥
Si maringo but Nairobi sasa iko league za miji y as USA
 

SCANIA INTRODUCES ITS GAS TRUCK IN TANZANIA​

The first Scania Gas Truck running on CNG (Compressed Natural Gas) in East Africa has been launched by Scania Tanzania Ltd. A milestone at the company and in the market towards Scania’s vision of driving the shift towards a sustainable transport system.


The launch which was graced by Hon. Selemani Jafo, Minister in the President's Office for Regional Administration and Local Government, amongst other Tanzanian government officials and Scania customers, was an opportunity for Scania to showcase its product offering in the region, of one of its transport solutions which runs on an alternative fuel which is good for the environment, the community, and for business.
Speaking during the launch, Johanna Lind, Scania Tanzania Ltd’s Managing Director reiterated Scania’s vision of being a sustainable transport solutions provider that offers its customers a wide range of vehicles which are less harmful to the environment. “We are able to offer our customers a wide range of transport solutions which run on alternative fuels, ranging from ethanol trucks and buses, to vehicles using liquefied or compressed biogas, which have less carbon emissions compared to vehicles running on fossil fuels. We have launched our CNG truck in Tanzania because of the locally available natural gas found here, and the beauty with this truck is that it can also run on biogas without changing any features on the truck,” Johanna highlights.


file.img.png

file.img.png

file.img.png


A Cleaner and More Cost Efficient Transport Solution
Natural gas which is available in most parts of the world compared to oil, means that the price of gas can be locally set, resulting in drastically lower costs in purchasing gas than in purchasing oil, reducing on the fuel costs which transporters and bus operators incur. “Today one of our largest imports is diesel, and having vehicles running on a locally available fuel will reduce the outgoing foreign exchange, aid in job creation and increase the revenue streams of the government. Tanzania has already established the infrastructure with the development of the Mtwara-Dar es Salaam gas pipeline and the six gas power plants in operation” Johanna adds on. Natural gas is a stepping stone which will help in the transition from fossil fuels to renewables.
Scania gas trucks have been engineered for efficiency and high performance and they have achieved a performance level where the torque of the vehicles builds up earlier than in a diesel engine, which was achieved with the development of new technology and the introduction of the Euro 6 engine generation. “The gas truck which we have launched comes equipped with a Euro 6 engine which is a high technology engine with lower emissions enabling us to offer a transport solution with the cleanest drivelines, hence creating cleaner air,” Johanna explains.
With a 50% noise reduction thanks to the methane properties and the lowered compression in the spark plug ignited engine, Scania gas trucks have very low sound emissions and they are available with 9 litre gas engines rated at 280hp and 340hp, and with the wheel configurations of either 4x2, 6x2, 6x2*4 or 6x4 for both tractors and rigids. Making them suitable for applications like city and regional distribution, refuse collection, hook lifts, skip loaders, construction, and general cargo. Scania has made available three sizes of CNG tanks made of steel for its gas trucks for customers to choose between 80 litres, 95 litres and 118 litres which are always mounted in packs of four on each side of the chassis, and they are filled to a maximum pressure of 200 bar. With the 118 litre gas tanks, the truck can travel for more than 400 km, however refuelling is recommended after 350 km.
file.img.png

file.img.png

file.img.png

As a safety precaution, the gas tanks are equipped with two safety valves in the valve units: one is activated by temperature and the other by pressure, and the outlet of the temperature safety valves are directed downwards under the truck. Additionally, the truck is ADR certified with an insulated electrical system to avoid electric sparks, and with combined wheel nut indicators and dust caps. Safety is of utmost importance for our drivers and other road users, and the truck also comes equipped with the Scania Safety Package, comprising of Advanced Emergency Braking (AEB), Adaptive Cruise Control (ACC), Scania Lane Departure Warning (LDW), and Scania Alcolock.
For the transporter worried about the cost implication of switching to a CNG truck, the cost of running on CNG is cheaper despite the driveline being more expensive than a diesel engine. Our studies show that the cost per month can be reduced by 12% during the first 4 years when the vehicle is operating at 85 000 km per year, and the locally available natural gas is also 20% less expensive, and the price level is more stable compared to the imported diesel.
Natural gas will continue to play an important role in the transport system, especially with the continued development of infrastructure in Tanzania. “In parallel, Scania is working with partners and the government for the biogas alternative, which has a 90% CO2 emission reduction. Blending biogas into the existing gas is also possible, enabling a gradual shift from natural gas to biogas,” Johanna explains.
 
😂😂😂 Mbona sasa umeenda kuleta miradi ya Nigeria.? Moyo inakuuma kinoma.. alafu bado ni uchafu unaotaka kulinganisha na Dege eco village unakichaa.? Render 👇. Reality 👇. Mradi una apartments 7k, Executive villas 68, twin villas 88, detached house 188 .. shule, vituo vya polisi hotels n.k pata maelezo zaidi 👇. Mradi unafanywa kwenye eneo lenye ukubwa wa 300 hectares .. 😂😂😂 Alafu uje umlinganishe na huo uchafu wa Lagos 😂😂😂 Huu mradi una ukubwa sawa na eneo zima la .. HUNA HATA AIBU 😂😂😂

Kumbe kizungu hujui, tatu city parent company rendeavour wanajenga city Nigeria point yangu ni muitishe msaada kama Nigeria musaidiwe🤣🤣🤣 alaro usifananishe na estate yenye Haina horizontal infrastructure. If you don't Gerrit fogerrit!😂😂😂
 
Kumbe kizungu hujui, tatu city parent company rendeavour wanajenga city Nigeria point yangu ni muitishe msaada kama Nigeria musaidiwe🤣🤣🤣 alaro usifananishe na estate yenye Haina horizontal infrastructure. If you don't Gerrit fogerrit!😂😂😂
Leta hiyo Tatu City yenu tulinganishe renda na reality ili tuone ni mradi gani Kati ya 3 City na Dege eco village Kigamboni uko na maana.? au unaogopa.? Unafkiri Dege ukiisha unaweza kuitaja Tatu City kweli.?😂😂😂
 
Mkuu sijajua arguments zinapingana zenyewe Kwanza kuna mkunya anasema kipawa ward ni slum lakini kipawa ilivunjwa ndipo ilipo airport terminal 3 . Angalia kule kurasini palibana sana wamenunua watu pamevunjwa kuna project ambazo ziko integrated na bandari zinaendelea . Angalia renovation ya mbagala kuu kuanzia barabara na kila kitu . Angalia kiwalani hadi buza , tandika na sehemu za tandika kuna tarmac road mitaani kabisa tena na taa za barabarani . Same to vingunguti kule inakopita reli walikua wananunua nyumba kama walivyofanya kurasini. So kuna improvement kubwa kwenye urbanization . Changes haziwezi kua kama mushroom yaani overnight tuzune uyoga
Tatizo ni kuwa miaka yote hii serikali imekaa idle bila kufanya implementation yoyote ya urban planning hasa kwenye miji mikubwa. Mfano ni Mwanza. Mwanza ni mji wenye miinuko mingi na watu wanajenga majengo yao kiholela milimani ambapo naona ingekuwa heri kama serikali ingeilinda Hiyo milima isikaliwe na watu. Pia ni vigumu kwa makazi haya ya mlimani kufikiwa na huduma kama sewers, maji safi na umeme. Na Ndio Maana mvua ikinyesha watu wanafungua septic tanks zao mvua ichukue uchafu wote kwenda bondeni! Hasara ni ipi? Magonjwa kama Cholera, ambayo pia yanagharimu serikali pesa kuyatokomeza!

Mwanza
E4443006-ECB2-49FD-8923-5C44CC838B25.jpeg
3CE5D64B-934D-4842-9B20-1BC90FC1F28D.jpeg
AEAE4572-46CB-484E-B82A-F3D96049D72B.jpeg
 
Nitoe sababu zipi? Nyie mlioridhika Kuishi kwenye makazi haya mseme kwanini mnadhani kuwa Hakuna improvement yoyote inayohitajika.
Dar unaijua wewe.? Improvement iliyofanyika ni kubwa mno, ingawa ukweli ni kwamba Safari ni ndeefu lakini tulipo now sio kama zamani ..maeneo mengi ya makazi yameboreshwa na kuwa center za kibiashara, hata hapo makumbusho tunapigizana kelele hapakua hivyo like 5-6 years back .. kesho nitakuchambilia vizur kwa picha na video ili ujue namaanisha nini
 
Dar unaijua wewe.? Improvement iliyofanyika ni kubwa mno, ingawa ukweli ni kwamba Safari ni ndeefu lakini tulipo now sio kama zamani ..maeneo mengi ya makazi yameboreshwa na kuwa center za kibiashara, hata hapo makumbusho tunapigizana kelele hapakua hivyo like 5-6 years back .. kesho nitakuchambilia vizur kwa picha na video ili ujue namaanisha nini
Dar es salaam ninaifahamu. Wala usihangaike. Tanzania ina urban centers nyingi; na population inayokua kwa kasi. Serikali isipoanza kutatua tatizo kwenye miji yote basi vizazi vijavyo vitaendelea na matatizo tuliyotengeneza sisi wenyewe. Kwa hiyo usitetee uchafu uliopo.
 
Hatuongei kuhusu Nyerere hapa. Tunaongea kuhusu Magufuli na sera zake mbovu zilizofanya world bank wakate mrija wa pesa waliokuwa wanawapa kwa ajili ya elimu. Usilete Nyerere kwenye mambo ya Magufuli.

Kama maamuzi ya Magufuli yalikuwa sawa mbona jana mama Suluhu ameyabadilisha?

Kwa hiyo wewe tony unaweza kujifananisha akili zako na akili za magufuli
 
Hamna lolote hapa! You’re just patronizing Tanzanians on this thread. Kama Tanga Ndio role model ya miji yote ya Tanzania kwenye urban planning basi ni wazi kuwa hii nchi ina Tatizo kubwa sana.
Tutajie miji yenye urban planning nzuri Tz zaidi ya Tanga na Moshi
 
Kumbe kizungu hujui, tatu city parent company rendeavour wanajenga city Nigeria point yangu ni muitishe msaada kama Nigeria musaidiwe alaro usifananishe na estate yenye Haina horizontal infrastructure. If you don't Gerrit fogerrit!
Wewe ndio unaejua kizungu
 
View attachment 2023599
Hii si Ndio Tanga unayozungumzia? Hii Sio urban planning ninayozungumzia mimi. Urban planning Sio mpangilio wa makazi katika grids! Makazi haya Kwa kuyaangalia tu unaona ni duni! Hapa hata sewarage system sidhani kama ipo! Barabara zenyewe vumbi Tupu!

Inabidi tuwe honest. Kuficha uchafu uliipo ni Sawa na kuufanyia promotion undelee kuwepo. Tena nafurahi wakenya wanavyotubeza ili aibu tupate.
Una elimu gani?
 
Back
Top Bottom