Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

At least you are the one among Tanzanians who's eager and ready to please these Kenyans!!!!you can tell even from their response!!!Hatuko hapa kwa ajili ya kujiabisha!!!Tuko hapa kwa ajili ya kufungua macho na akili za Wakunya thinking that they are way far better from other countries in East Africa!!! While it's not true!!! That's why we sell the good side of us and also the got equal chances to do the same!!! Lesson learnt!!!Kile kiburi chao na ego,dharau za kishamba juu ya Tanzania soon kitakwisha kbs!!! Tanzania na Kenya bado tunasafari ndefu!!!Huwa nawashangaa watu wanaomkubali Lukuvi!!! Wengine wanaona anafaa hata kuwa Rais aisee!!! Sijui utawashauri nini kipya hawa wahusika the have everything in papers beyond your thoughts Mr 255!!!!!! Trust me!!!Ni utekelezaji tu!!!Ni kama ilivyokuwa master plan ya Dodoma ikaenda kutekelezwa Nigeria huko!!!
Sasa mwenzako Walker255 akisema ukweli mnasema kwamba anawapendelea Wakenya. Geza Ulole akiongea ukweli kuhusu Magufuli mnamkashifu. Watanzania wacheni ukondoo huu mnaoufanya huku. Tabia za kikondoo hizi za kufuatana hovyo na kukashifu mtu aliye na mawazo kinzani. Mimi huwa sina haja ya kusikilizana na Wakenya wengine wala Watanzania. Mawazo yangu ni mawazo yangu na siwezi kuyabadilisha ili kufurahisha umati. Ukitaka kubadilisha mawazo yangu basi nipe evidence na facts. Bila kunipa verifiable proof usitegemee kwamba nitabadilisha mawazo yangu ili kufurahisha umati ulioko huku. Geza Ulole na Walker255 endeleeni kuwa watu wenye mawazo huru. Continue being independent thinkers. Msiogope mtu yeyote hapa afterall hamjuani, hawakujui huwajui.
 
Wewe endelea na battle zako za slums.
Vitu vya muhimu hutaki kuongelea kwasababu ya itikadi zisizo na msingi. Idadi ya Wanawake ni kubwa kuliko ya wanaume kwenye karibu kila nchi. Elimu Kwa Wanawake ni mwanzo mzuri wa kuleta maendeleo. Lakini nchi inayozuia kuwapa elimu Wanawake ni nchi isiyoelewa jinsi Wanawake wanavyoweza kuleta mchango mkubwa kwenye maendeleo ya nchi!
Niseme tu kwa kifupi kwamba kama mamangu mzazi hangepata masomo na hamgesoma hadi college enzi zile za zamani ambapo wasichana hawakuwa wanasomeshwa sana hapa Kenya na yeye kupata kazi nzuri basi mimi nami singepata masomo ya hali ya juu. Pengine hata singemaliza chuo cha sekondari, sahau kabisa mimi kufika chuo kikuu na pia sasa naendelea na masomo zaidi ya hapo. Baba ni kweli alichangia ila alichangia kidogo sana kwenye masomo yangu. Hadi kumaliza kwangu kwa chuo kikuu na hata kupata nafasi za kuenda ulaya yote ilikuwa ni mchango wa mama. So watu wanaofikiria kwamba kusomesha watoto wa kike ni kupoteza hela au kupoteza muda basi hamjui mnachosema.
 
Si rahisi kama unavyodhani angalia concentration ya watu katika eneo moja ni lazima uwahamishe na kuwajengea ama kuwafidia watu hao pahala pengine!!Na resistance iko hivyo hivyo kutokana na wingi wa watu bora Bongo Wakenya hawana uvumilivu hata kidogo!!!Lile ni bomu na Serikali zote zinapakwepa kweli kweli!!achana hizo slums bado kuna maeneo mengine Nairobi kuna makazi duni tu!!!acha kusifia vitu vya kijinga!!!
Of course Bongo kuna tatizo ila pia unaona uongozi haujaamua kulivalia njuga swala hili si lazima ukalifanya overnight unaweza ukaliwekea mkakati swala hili ndani ya miaka kadhaa!!!Ukitaka kuona jamaa hawako serious tumeshajifunza ila bado wanaachia raia kujenga kiholela japo ardhi ni mali ya serikali!!!Pia sidhani kama kuna Taasisi iliyo imara kwa ajili ya kufidia ardhi na ikawa inatengewa fungu la maana kwa ajili ya kazi hiyo!!!!Kuna maeneo mengine ya kimkakati yamefanyiwa uthamini ila miaka inapita hakuna fidia zoezi linarudiwa tena gharama inakwenda juu maradufu.Siwangelipa tu na kupaacha wazi na kuweka uzio na mabango ya tahadhari mpk time ya utekelezaji wa project itakapofika!!!!
 
Of course Bongo kuna tatizo ila pia unaona uongozi haujaamua kulivalia njuga swala hili si lazima ukalifanya overnight unaweza ukaliwekea mkakati swala hili ndani ya miaka kadhaa!!!Ukitaka kuona jamaa hawako serious tumeshajifunza ila bado wanaachia raia kujenga kiholela japo ardhi ni mali ya serikali!!!Pia sidhani kama kuna Taasisi iliyo imara kwa ajili ya kufidia ardhi na ikawa inatengewa fungu la maana kwa ajili ya kazi hiyo!!!!Kuna maeneo mengine ya kimkakati yamefanyiwa uthamini ila miaka inapita hakuna fidia zoezi linarudiwa tena gharama inakwenda juu maradufu.Siwangelipa tu na kupaacha wazi na kuweka uzio na mabango ya tahadhari mpk time ya utekelezaji wa project itakapofika!!!!
Pia siasa nyingi kuna makampuni makubwa ya private yataka kununua maeneo makubwa uswahilini kwa kuwapa watu mpunga wasepe serikali inaingilia kati mfano ni pale vingunguti!!!
 
Imebeba abiria wa kenya sababu ndio wanaweza afford kulipa nauli. Watanzania hawana pesa ya kusafiri mashambani krismasi watapandaje ndege?
KQ flights dar-nairobi bado zmejaa kama kawaida.
Ulivyo comment unaonekana kabisa hujawahi kupanda ndege.
 
Pia siasa nyingi kuna makampuni makubwa ya private yataka kununua maeneo makubwa uswahilini kwa kuwapa watu mpunga wasepe serikali inaingilia kati mfano ni pale vingunguti!!!
Na Ukitaka kujua jambo hili linawezekana angalia pale kipawa kulikuwa na uswazi moja hatari lakini leo hakuna kuna TB3 na wananchi walitafutiwa eneo jingine wakapimiwa na kupewa fidia juu!!!.Na kuna miji mingine duniani huwa inakwisha kbs kwa majanga ya asili au vita ila inajengwa upya kbs!!!Tenga maeneo pima subsidized vifaa vya ujenzi kwny maeneo hayo!!!Pale ulipowatoa lazima pawe potential jenga vitega uchumi urudishe hela yako uza hata ardhi itakuwa na thamani kubwa kuliko hata mwanzo!!
 
Of course Bongo kuna tatizo ila pia unaona uongozi haujaamua kulivalia njuga swala hili si lazima ukalifanya overnight unaweza ukaliwekea mkakati swala hili ndani ya miaka kadhaa!!!Ukitaka kuona jamaa hawako serious tumeshajifunza ila bado wanaachia raia kujenga kiholela japo ardhi ni mali ya serikali!!!Pia sidhani kama kuna Taasisi iliyo imara kwa ajili ya kufidia ardhi na ikawa inatengewa fungu la maana kwa ajili ya kazi hiyo!!!!Kuna maeneo mengine ya kimkakati yamefanyiwa uthamini ila miaka inapita hakuna fidia zoezi linarudiwa tena gharama inakwenda juu maradufu.Siwangelipa tu na kupaacha wazi na kuweka uzio na mabango ya tahadhari mpk time ya utekelezaji wa project itakapofika!!!!
Inakera sana, naona mitaani bado watu wanauziana viwanja kwa kukatiana, na hili ndio tatizo lenyewe, mipango miji wapo na hawachukui hatua.
 
.
Screenshot_20211126-143746.jpg
 
Back
Top Bottom