Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo Rwanda iko sawa na nyie kwenye railway network
but human is to error!.. hii kidogo nadhani ni mpiga chapa kakosea, kurudia data za kenya pia kwa rwanda. ila ingine yote ni accurate. that, am rest assured! tunaweza bet. nipe mmda kiasi nifanye upekuzi zaidi google
 
🤔🤔humu ndani wakenya tuko wachache sana, nadhani ata hatufiki 15, lakini nyie watz humu mko kibao tu, ata zaidi ya 60. ndo maana ushindani dhabiti sio kamilifu

hadi saazinge mna form jukwaa baina yenu nyinyi wenyewe humu ndani
 
but human is to error!.. hii kidogo nadhani ni mpiga chapa kakosea, kurudia data zakikenya mle rwanda. ila ingine yote ni accurate. that, am rest assured! tunaweza bet. nipe mmda kiasi nifanye upekuzi zaidi google
So imeandikwa na mtu au sio
 
Wewe unanishangaza sana ujue. Yaani upo sawa Wamarekani wakikataa kuwachagua wanawake na unasema tu vizuri kwamba hio ni demokrasia. Ila huku Kenya Wakenya wapiga kura wakikataa kuchagua watu kutoka kabila ndogo ndogo kuwa rais unasema kwamba hakuna demokrasia Kenya? Vipi hueleweki msimamo wako. Kwa hivyo Wamarekani wana haki ya kuwakataa wanawake ila Wakenya hawana haki ya kuwakataa wawaniaji urais kutoka kabila ndogo? Unajicontradict.
Kenya mnaunganisha vyama kikabila kila uchaguzi, ili muendeleze "demokrasia" ya makabila makubwa mawili kuongoza. Hiyo unaiongeleaje?
 
na ukumbuke huyu Suluhu Hassan, tulimpokea kwa kiasi cha aja mle ikulu ya nairobi mwaka jana. sisi hatuna ill feeling na majirani zetu. wakenya sisi ni wakarimu sana. ila nyinyi raia wa watz ndo mnataka kuleta ubishi baina ya hizi nchi mbili
si bure we unamatatizo,,

ni lini kiongozi yeyote wa kenya aliyekuja Tz akapokelewa vibaya?

hilo swali nimekuuliza kulingana na maelezo yako
 
si bure we unamatatizo,,

ni lini kiongozi yeyote wa kenya aliyekuja Tz akapokelewa vibaya?

hilo swali nimekuuliza kulingana na maelezo yako
na maanisha raia.. ile beef mli nayo dhidi ya wakenya is beyond measure. mkenya wowote kuonekana ndani ya tz itakua ni show, ata kama ako na stakabadhi zote kumruhusu akue pale. aafu wabongo wote waliomo huku ata bila documentation, sisi hatuna issue. nenda gikombaa utaelewa
 
na ukumbuke huyu Suluhu Hassan, tulimpokea kwa kiasi cha aja mle ikulu ya nairobi mwaka jana. sisi hatuna ill feeling na majirani zetu. wakenya sisi ni wakarimu sana. ila nyinyi raia wa watz ndo mnataka kuleta ubishi baina ya hizi nchi mbili. beef ilioje
Umba upya dunia ili haya uliyoyaandika yawe kweli
 
dem
Due you allow voters to vote based on their tribes or religion, if that is the case Baraka Obama wouldn't be voted by the Whites to be their president because Whites make 80% of all voters in USA.

Hii tabia yenu ya kuchagua mtu kutoka kabila lake ndio maana ya "tribalism". Wherever there is tribalism, there is no democracy.
ocracy allows you to choose who ever you want no matter your reason so if people choose to choose based on tribes due to democracy you cant defy their will..... so there is pure democracy althor my personal opinion is voting because of tribe is not a good thing but they say democracy is like a double edged sword it cuts both sides meaning it has its advantages and disadvantages one disadvantage being the tribal vote thing but being a democracy you just have to abid by it
 
nawahurumia kazi kukataa tu ukweli you have a long way to go denial stage will soon end
hii ilishawah kuletwa humu na tukaijadili na imeonekana ni uongo
1. Rwanda kuna reli yoyote? hizo 3,300km ni za rwanda ipi?
 
Back
Top Bottom