Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Walewale....
Walewale....
Mbona wananchi hawakupewa nafasi ya kumachagua Saitoti?Wewe huelewi maana ya neno demokrasia unataka ufundishwe kama mtoto mdogo. Demokrasia ni pale ambapo wananchi wenyewe wanapatiwa fursa ya kumchagua kiongozi wanaomtaka. Hata kama viongozi wote wanatokea kabila moja hakuna shida. Tofauti ya Egypt na Kenya ni kwamba Kenya raia wanapatiwa fursa ya kumchagua rais wao ilhali huko Egypt raia hawapati fursa ya kumchagua rais wao, wanatawaliwa kimabavu.
Kwani ni lazima rais awe mwanamke au LGBTQIA ndiyo kuwe na demokrasia?Marekani bado haijapata rais mwanamke ila sijasikia ukipinga kwamba Marekani ina demokrasia ya kweli.
hilo dude linaitwa machinga complex unitworld class bus from kunyaland
View attachment 1987033
unaongeaga matope mzee ojwani,Ukweli lazima ukutese, umia pole pole kilaza, bingwa wa maboya humu
Wewe nadhani una kichaa si bure, wewe nenda kapimwe. Kwa hivyo huna tatizo Wamarekani wasipomchagua rais mwanamke na wamechagua rais wanaume pekee kwa miaka zaidi ya mia mbili ila una tatizo kwamba Wakenya wamechagua rais kutoka kabila mbili kwa miaka chini ya sitini? Why are you contradicting yourself?Mbona wananchi hawakupewa nafasi ya kumachagua Saitoti?
Kwani ni lazima rais awe mwanamke au LGBTQIA ndiyo kuwe na demokrasia?
FYI, 2016 ndani ya democrat, kuna wafuasi wengi wa Bernie hawakumpigia kura Hillary, ndiyo maana akakosa kura muhimu kwenye zile swing states. Hata hivyo, chaguzi za rais zinatumia mfumo wa electoral college ambao siyo demokrasia unayoiongelea wewe.
George Musengi Saitoti, naye alishindwa kwasababu ya kukosa kura za wengi?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣George Musengi Saitoti, naye alishindwa kwasababu ya kukosa kura za wengi?
KQ ni Mwenda zake mtarajiwa.Last kicks of dying horse, stupid Country
Wanaiogopa Kenya wakati wameshawauwa wakenya wengi SanaUganda wameanza kuviziwa na magaidi. Milipuko imeanza kitembea. Cha kushangaza ni kuwa hawa Shabab wanaiogopa Kenya yaani wanapitia Kenya bila kutulipua wanakwenda kulipua Uganda.
Pia wakisha ondolewa machinga wasafishe na kujenga vizuri hayo maeneoHivi ndivyo Magufuli alivyotaka wamachinga kufanya biashara, sio kweli kwamba Magufuli aliruhusu wamachinga kuzagaa na kufanya biashara popote.
Mama Samia anasimamia na kutekekeza Yale aliyoelekezwa na Magufuli
The best 007
Geza Ulole
Hivi ndivyo Magufuli alivyotaka wamachinga kufanya biashara, sio kweli kwamba Magufuli aliruhusu wamachinga kuzagaa na kufanya biashara popote.
Mama Samia anasimamia na kutekekeza Yale aliyoelekezwa na Magufuli
The best 007
Geza Ulole
Na leo wamerudia tena ule upumbav!Kuna mjinga mmoja wa kikunya alishawahi kuleta humu kipicha kilichoandikwa eti Rwanda ina mtandao mrefu wa reli kushinda Tanzania
Very feki