Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hzo old fashioned tanzania zipo mpka leo
Utamdanganya nani mzee, mabasi kidogo basi mnajikuta matajiri
endelea kuota ndoto za mfalme juha,

yaani Tz uweke old fashion ya buses utapoteza soko ndani ya sekunde na kama ukipata abiria basi ni wakikenya na kwenye seat mtajikuta mnapwaya
 
kuhuda wa kushangilia nikitukanwa! Magufuli ni muuaji na inapaswa wasaidizi wake kuulizwa Saanane na Gwamba wako wapi!
Ila hapa ulimsifia muuwaji au sio wewe.
Screenshot_20211019-000233.jpg
 
Hiajakubalika na wote bana, kuna maandamano na lawsuits kila sehemu. Huku waliko zitengeneza hizo mNRA , sasa wanashurutisha watu wachanje, la sivyo inabidi uache kazi. Wengi wameshaacha na tunatarajia mamilioni kuacha kazi siku zijazo.
Kaka wacha kujidanganya, bila certificate ya chanjo huruhusiwi kuingia nchi yoyote hapa duniani, karibu mashirika yote ya ndege bila kuchanjwa hawakuruhusu kupanda ndege zao.

Nitajie nchi yoyote iliyoendelea ambayo wananchi wake wamegomea kuchanjwa. Sasa hivi nchi Kama Netherlands wanakaribia 80% coverage rate.

Mkuu, lazima tukubali kwamba sisi waafrika Elimu hii ya sayansi haijatufikia kwa wingi, sisi ni watu wa imani na kuamini maneno ya mitaani zaidi, bila kuchapwa viboko au kusukumwa Kama alivyokua anatusukuma Magufuli hatuwezi kukubali Jambo lolote la maana, hapo ndipo atakapofeli mama Samia.
 
Niambie kipi kibaya nilichoandika? Ukinitukana mama yako anahusika!
Ukifikia hatua ukaona kwamba wewe ndiye uliyeumba matusi na wewe ndiye mwenye hatimiliki ya matusi huo ni ujuha. Kuna watu humu wana factories za matusi lakini wanachill kwa sababu kwanza hatuna sababu ya msingi ya kutukanana lakini pia kwa watu waliostaarabika kutukana kwao wanaona ni kujiongezea au kukuza conflict na siyo solution ya kujibu hoja.( has kwa sisi watz). Kila mtu akimua kutukana huma hata huu uzi utafungwa hivyo wengine wanaamua kuwa wapole lakini siyo kwamba hawajui kutukana. Wanjua sana na wana viwanda vya matusi tena ya kiwango cha SGR mbovu ya Kenya!~ BE OLD DOG!
 
Ukifikia hatua ukaona kwamba wewe ndiye uliyeumba matusi na wewe ndiye mwenye hatimiliki ya matusi huo ni ujuha. Kuna watu humu wana factories za matusi lakini wanachill kwa sababu kwanza hatuna sababu ya msingi ya kutukanana lakini pia kwa watu waliostaarabika kutukana kwao wanaona ni kujiongezea au kukuza conflict na siyo solution ya kujibu hoja.( has kwa sisi watz). Kila mtu akimua kutukana huma hata huu uzi utafungwa hivyo wengine wanaamua kuwa wapole lakini kwamba hawjui kutukana tena kwa kiwango cha SGR mbovu ya Kenya!~ BE OLD DOG!
Behave, huna ruksa ya kunitukana! Na si lazma unijibu! End of story!
 
Kaka wacha kujidanganya, bila certificate ya chanjo huruhusiwi kuingia nchi yoyote hapa duniani, karibu mashirika yote ya ndege bila kuchanjwa hawakuruhusu kupanda ndege zao.
Kuna badhi ya nchi zinatoa religious or medical exemptions, hivyo msafiri anachotakiwa kufanya ni kuonesha negative covid test (24hrs before boarding).
Nitajie nchi yoyote iliyoendelea ambayo wananchi wake wamegomea kuchanjwa. Sasa hivi nchi Kama Netherlands wanakaribia 80% coverage rate.
Marekani, watu wengi tuu wamegoma (karibu 80mil) na ndiyo sababu ya kuanzisha ushurutishwaji.
Mkuu, lazima tukubali kwamba sisi waafrika Elimu hii ya sayansi haijatufikia kwa wingi, sisi ni watu wa imani na kuamini maneno ya mitaani zaidi, bila kuchapwa viboko au kusukumwa Kama alivyokua anatusukuma Magufuli hatuwezi kukubali Jambo lolote la maana, hapo ndipo atakapofeli mama Samia.
Tanzania watu wameishi na Corona kwa zaidi ya mwaka bila kuwa na outbreak kama za nchi nyingine, kuna sababu gani ya kulazimisha wakati uhalisia ulishaonekana kuwa si tishio?

Swali la kizushi.
Unafikiri ni nini kilichoifanya Uingereza ghafla kuiweka Tz kwenye "safe" list ya nchi zinazoruhusiwa raia wake kwenda Uingereza, wakati 99% ya Watanzania hawajachanja. Tena baada ya Tony Blair kuwa "mshauri" wa masuala ya Uviko?
 
Huyo atakuja kutambuliwa na rais wa kizazi kijacho, Nyerere amekuja kutambuliwa na kizazi cha Magu.
Washenzi wanajaribu kuzima nuru ya magufuli lakini wapi ona wanavyo shindwa kuwa upgrade wamashinga wamebaki kulalamikia magufuli, wakati magufuli alikuwa anajua hatima ya machinga katika mikakati yake ya kiuchumi
 
Ndio sababu Kuna wataalamu wa Afya wenye uwezo wa kutoa majibu ya maswali yako, sisi waafrika tatizo letu ni kujifanya wajuaji wa kila Jambo, hatuaheshimu kabisa "Professionalism", ninachokiona kwako ni upungufu katika eneo la "Medical Epidemiology and Biostatistics".

Hivi kwanini Malaria inaendelea kuua watu hata Kama wametumia dawa za Malaria ambazo tunaamini zinatibu, hivi kwanini tunashauriwa kutumia kondom hata baada ya kugundua kwamba wote MKE na mume ni HIV+?.

Wizara ya Afya na WHO ndiko kwenye wataalamu wa Mambo ya tiba, tuwasikilize na kuwaheshimu, ni ajabu kwa wasomi kuyumbushwa na watu Kama Gwajima ambaye hajulikani eneo alilobobea, yeye ni mtaalamu wa kila kitu "Kwa jina la yesu". Waafrika lazima tujitathmini upya.
Wewe unajua mimi ni mtaalamu wa nini ? Hao unaosema wataalamu wengi awajachanja au ujui ?
 
Hii Jf ni ya watz co ya Wakenya, hii kenyan section iliwekwa na mTz manake co kwamba founder ni mkenya, so nyie wakunya mkiona hampendezwi nayo ondokeni, mm nataka nyie wote muondoke humu ndani tubaki pekeetu tupeane vitasa.
Wewe kwanza ni mdanganyika mmoja mjinga sana na mwenye IQ ya chini kabisa kwenye hii Kenyan section. Heri mama yako angezaa mkate angalau angeula ashibe. Mitandao ya kijamii kama forums au Facebook ni ya kila mtu.
 
Back
Top Bottom