The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 37,808
- 82,275
Alafu wanatumia maglas ya kushare na corona hiiBongo buru buru!!! wengine huko wanakunywa pombe bila kula msosi asbh wanavamia supu ya mapupu!!,tena kwa mkopo!!!*****!!! Dyfre anazunguka tu na mtoto wa watu anamshindilia mapombe!!!hawajala toka asbh!!!!Pombe zenyewe wanazokunywa ngumu!!!