Ni kawaida hakuna haja ya kushangaa
kwa kweli hatushangai tena, hayo ndo matokeo ya ‘elimu bora’ wanayoinasibu kila siku
Ni kawaida hakuna haja ya kushangaa
Punguza kuropokwa hata kama hujui maana ya context. You are only displaying your ignorance. 10k is the addition to the previous 11k done by previous governments. That's the data from Kenya Roads Board. The citation is very clear from this article. State values road network at Sh3.5trn before auditAu ww ndio chizi usiye jua pia currently ina manasha so far hapo ndio mlipo fikia fool
Dar es SalaamView attachment 1976231
Wewe ni muongo mzee sisi kigoma mjini na kasulu mjini tulijengewa stand na magufuli tembea uone
Pesa ya wachache majority mko hoi!!!vipi sukuma wiki iko tayari?!au na leo unatoboa mpk asbh?!.😂View attachment 1977732
Hii pesa ya kenya sijui iko na nini.. sijui ni majuju? east africa nzima ina abudu hii hela, ata hadi zimbabwe na eritrea, ethiopia. aafu birr inaishida lakini bado hakuna mwenye anataka hio birr. ata wa ethiopia wenyewe
Hao ni kujibiwa tu kwa evidence.Kuna watu walidai ndege haziendi huko
Muhandisi wa serkali anakula kempinski bwanaPesa ya wachache majority mko hoi!!!vipi sukuma wiki iko tayari?!au na leo unatoboa mpk asbh?!.😂
We live large wee nyamaza. very proud to be classed as 'kenyan' middle classMuhandisi wa serkali anakula kempinski bwana
Basi serikali yenu inaajiri mazwazwa kweli kweli!! na wewe pia ni engineer?!No wonder kila kukicha maghorofa yanaanguka huko kwenu!!! Garbage in Garbage Out!!! Pathetic!!!.Muhandisi wa serkali anakula kempinski bwana
Very Cheap bro!!!kama hapo ni kwako unanialika nina dili ya job poa mahali!!!sikupi!!!.Coz hiyo ni part of my interview!!! You lack art, creativity and exposure pia, kwa kifupi wewe ni mshamba!!!How comes una vitu cheap hivyo, better buy kidogo kidogo those furnitures and appliances ila vitu vinavyo make statement!!!